Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 259
Binadamu baadhi yetu wana wivu, chuki na roho mbaya inayowafanya kutumia njia zozote kuhakikisha jambo lao baya linafanikiwa.
Soma alichokisema mtoto huyu ambaye ni msanii kutoka Congo namna alivyopata upofu wakati alizaliwa akiwa anaona vizuri.
"Mimi sikuzaliwa kipofu, nilizaliwa naona kama watoto wengine lakini kwa sababu ya kipaji changu alikuja mama mmoja na nguo nyeusi akanifuta nayo uso na kuanzia hapo nikapoteza uwezo wa kuona.
"Kwa sasa nimepata miwani ambayo ninaitumia inanisaidia kuona" - MC Baby mwimbaji kutoka Congo.
Chanzo: Clouds Media