Unyama: Diwani wa CHADEMA Mbeya Mjini anusurika kuuawa na watu wasiojulikana, apigwa panga la utosi, hakuna uchunguzi

Kama mtu anaomba amuue Tundu Lissu na hashitakiwi au bungeni wanapendekeza fulani auwawe na polisi hawachukui hatua yoyote unafikiri kitu gani kinachoendelea? Tulipofikia inasikitisha sana lakini lazima tukubali ukweli. Vyama vya upinzani havitakiwi kwa njia yoyote ile lazima vitoweshwe ila wamesahau "Maendeleo ya nchi ndiyo yatasababisha vyama kukua au vingine kufa".
Kabla sijaanza kutoa laana zangu kwa Serikali ni vyema ungeongezea nyama taarifa yako ili tuweze kupata mwanga ni nini haswa kilichotokea.
 
Mbona wana sisiemu hawapigwi mapanga wala kutekwa kama ilivyo kwa wakosoaji&vyama pinzani..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
🤔🤔🤔
  • Inakuwaje kama alikuwa amechukua mke wa mtu?
  • Inakuwaje kama alikuwa na ugomvi na baadhi ya watu?
  • Inakuwaje kama ni vibaka walitaka kumpora?
  • Inakuwaje kama yeye mwenyewe ni mwizi?
  • Inakuwaje kama ni kisasi?

Kisa yeye ni Diwani haimaanishi kuwa kila tukio linalomtokea ni la kisiasa.
 
Uongo utakusaidia nini ?
 
pole sana mtanzania mwenzetu
 
Yes inawezekana ni wapinzani wake kisiasa ,ila kuconclude ni wanasisiemu si sawa maana huwezi jua wakati mwingine watu wanakuwa na maadui zao kutokana namna ya maisha yao wanayoishi mitaani.......anyway kwasababu ndiyo upepo uliopo saizi basi
 
amevamiwa na kupigwa panga kwa sababu ni diwani wa Chadema , hilo ndio kosa lake
Yaani wewe kila kitu unaweka siasa tu! Umesema alikuwa anatoka kwenye biashara zake kwa nini hufikirii kuwa hao ni vibaka waliomvamia? Kama unasema ni mambo ya kisiasa unawajua waliohusika kwa majina? Au siasa uchwara dada!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…