Unyama mwingine wa Tanpol. Aminywa mapumbu na kuteswa akituhumowa kuiba Mil 17 za DED Kilwa. Sasa hawezi kusimamisha dudu.

Unyama mwingine wa Tanpol. Aminywa mapumbu na kuteswa akituhumowa kuiba Mil 17 za DED Kilwa. Sasa hawezi kusimamisha dudu.

Kuna dogo aliuziwa simu ya wizi yy hakujua km imeibiwa walikuja wakamdaka dogo anakuja kutoka kituo cha polisi afya yake ilikua mbovu sana hakutaka kuogea mengi alikua sometime analia tu pekeyake ilibidi ndugu zake wampeleke kijijini sijuo yule dogo walimfanya nn.
 
Kuna dogo aliuziwa simu ya wizi yy hakujua km imeibiwa walikuja wakamdaka dogo anakuja kutoka kituo cha polisi afya yake ilikua mbovu sana hakutaka kuogea mengi alikua sometime analia tu pekeyake ilibidi ndugu zake wampeleke kijijini sijuo yule dogo walimfanya nn.
HAWA WATU WANABAKA KINUME CHA MAUMBILE NINI?

any way tuacheni kununa simu za mikononi.
Usalama wetu uko hatarini.
rahisi inazaa madhara.
 
Kuna dogo aliuziwa simu ya wizi yy hakujua km imeibiwa walikuja wakamdaka dogo anakuja kutoka kituo cha polisi afya yake ilikua mbovu sana hakutaka kuogea mengi alikua sometime analia tu pekeyake ilibidi ndugu zake wampeleke kijijini sijuo yule dogo walimfanya nn.
To be honest mimi ntakulipizia tu yani naweza kuuza kila kitu changu ili nkurudshie maumivu mara 10 ya ulonipa
 
Wapo wengi Sana wanaofanyiwa unyama huo hata hapa mtaani kwetu kuna kijana mmoja alifanyiwa ukatili huo na sasa hawezi tena
Tunatakiwa tuache ukondoo. Ukifanyiwa hivyo, unatakiwa ulipe kisasi kwa namna yoyote ile hata kutumia miungu hadi polisi aliyekufanyia hivyo awe shoga au naye asisimamishe. Dunia ni uwanja wa fujo na ubaya ubaya tu.
 
Back
Top Bottom