Unyama mwingine wa Tanpol. Aminywa mapumbu na kuteswa akituhumowa kuiba Mil 17 za DED Kilwa. Sasa hawezi kusimamisha dudu.

Unyama mwingine wa Tanpol. Aminywa mapumbu na kuteswa akituhumowa kuiba Mil 17 za DED Kilwa. Sasa hawezi kusimamisha dudu.

Kulingana na tukio hili, mamlaka yanaweza kuchukua hatua za ziada ili kuhakikisha uchunguzi unafanyika kwa uwazi na usawa kama ifuatavyo:

1. Kuunda kamati huru ya uchunguzi inayojumuisha watu wa kitaifa na kimataifa wenye uzoefu katika masuala ya haki na utawala bora. Hii itasaidia kujenga imani ya umma katika mchakato.

2. Kuhakikisha uchunguzi unafanyika kwa uwazi na kwa kuzingatia mchakato ulio wazi kwa umma. Kubainisha masuala yote yanayoshughulikiwa na kutoa taarifa za maendeleo.

3. Kuwawezesha wahusika wote, ikiwemo maafisa wa polisi wanaohusika, kushiriki kikamilifu katika uchunguzi bila ya hofu au upendeleo.

4. Kufanya ukaguzi wa ndani wa taratibu na njia zinazotumika katika kushughulikia madai ya uhalifu katika mfumo wa polisi na serikali.

5. Kujenga uwezo wa watendaji wa mfumo wa sheria na haki ili kuimarisha utendaji wao wa haki na usawa.

Hatua hizi zinaweza kusaidia kuhakikisha uchunguzi unafanyika kwa uwazi, usawa na kujua ukweli kamili na DED asimamishwe kazi,kupisha uchunguzi

weli kamili.
 
Tunatakiwa tuache ukondoo. Ukifanyiwa hivyo, unatakiwa ulipe kisasi kwa namna yoyote ile hata kutumia miungu hadi polisi aliyekufanyia hivyo awe shoga au naye asisimamishe. Dunia ni uwanja wa fujo na ubaya ubaya tu.
Hamza Mohamed wa Selander Bridge hakuwa gaidi. Pia usidhani kwamba alikuwa mtu mwendawazimu.
 
Sasa hapo wasije wakamdedisha tu mana hawachelewi
Kayakoroga kusema hadharani, na mwenyewe kasema hapo kwamba mpaka usalama wa taifa walikuwepo hiyo siku anapewa kibano... Sasa sijui aliwajuaje, (Maana hiyo si kazu yao... Ingawa wapo wachache wasio na akili sawasawa wanaweza kushiriki kufanya hayo, au ni polisi njaa walijitambulisha hivyo kumtisha dogo aseme chochote anachokijua) ila kama wameshaiona hii nafkiri wanaweza kumuwinda wakammaliza kabisa. (kama kweli walishiriki hao anaowataja)

Nchi yetu bado tunafanya mambo kizamani sana Maskeen! Kama aliyeibiwa ni DED, inamaana hao wakubwa wote wa vyombo vya ulinzi na usalama aliowatumia kumpa dogo kibano... Walishindwa kutumia uwezo, uzoefu na mamlaka waliyonayo kwa kufanya kwanza uchunguzi wa kina kwa muda kadhaa?! Intelijensia gani sasa hii?! Dahh! Nafkiri tuboreshe mifumo na si kukurupuka kutesa watu, kupiga hovyo na kuua!
 
Ukatili unazidi kuongezeka Mwenyezi Mungu ainfilie kati atunusuru vingine hakuna aliye salama,tutamalizwa
 
Hii mbona ya kitambo sana hii?? Nadhani ni ya mwaka juzi
Bafagih amekuwa DED Kilwa tangu mwezi May 2023, hii imetokea mwaka huu.

Na miongoni mwa washukiwa alikuwa ni rafiki yake pamoja na walinzi.
 
Boss aliepiga 4b na hazina maelezo kaachiwa huru
Ila huyu aliemuibia mwenzie kabanwa kende

Yaani hizi sheria sijui zikoje
Hizo B ni nyingi mno kiasi anaweza akawa amegawa sana
 
Back
Top Bottom