Unyanyasaji wa wanawake wanaohudumu katika kumbi za starehe (Baa)

Unyanyasaji wa wanawake wanaohudumu katika kumbi za starehe (Baa)

Wahudumu wanavumilia, kwasababu kwa wengi wao ndio njia pekee ya kuwaingizia kipato kwakua wengi wao hawana uwezo wa kupata njia nyingine ya kuingiza kipato kwasababu pia ya kutokua na elimu ya kutosha ambayo itawawezesha kupata kazi nyingine au njia nyingine ya kuwaingizia kipato kwahiyo inawa walazimu
Tunapowapa ofa za bia pia mbona hawalalamiki? Kutokua na elimu ya kutosha sio kigezo cha kuwa barmaid, kuna wanawake wamesoma vizuri tu ila wanauza mihogo ya kukaanga, ubuyu, mitumba, mashuka etc. Barmaid pia ni kazi na kushikwa shikwa ni vionjo tu vya kazi na wenyewe wanapenda asiyependa huwezi kumshika, Wengine tunaondoka nao kwenda kujipumzisha nao pamoja na kuwapatia ujira wao. naongea kutokana na uzoefu.
 
Vijana muoe na akina mkubali kuolewa.

Matatizo haya yote yameanzia Mwanamke anapotaka kutunisha misuli na kuanza kutangatanga eti kutafuta maisha, hapo ndio shida inapoanzia.

Hawa viumbe wanapaswa kukaa ndani na kuoelwa wengi wengi, tofauti na hapo ni matatizo makubwa duniani.
 
Back
Top Bottom