mwanamabadiliko
JF-Expert Member
- Oct 30, 2010
- 938
- 1,540
Uongozi wa WCB chini ya Diamond ni moja kati ya lebo inayowanyanyasa na kuwanyonya wasanii wake na kuwasainisha mikataba ya kina Chief Mangungo isiyokuwa na haki na iliyojaa unyonyaji wa kupita kiasi.
Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji, lakini wanachofanya wao bora hata Clouds.
Msanii Rich Mavoko ameondoka coz ya kunyonywa, Hamonaizi ameondoka na mdeni wa mil 500 mpaka kupelekea nyumba zake kupigwa mnada. Rayvanny na Lavalava wanalalamika chini chini, na huenda huu mwaka usiishe watakuwa washajitoa.
Diamond si mtu mzuri, alimnyanyasa sana Mwarabu Fighter,. Pia ni lazma awanyonye kama baba yake tu aliemtoa kiunoni kwake alimnyanyasa ndo ije Rayvanny na Mavoko.
Tubadilike jamani WCB
Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji, lakini wanachofanya wao bora hata Clouds.
Msanii Rich Mavoko ameondoka coz ya kunyonywa, Hamonaizi ameondoka na mdeni wa mil 500 mpaka kupelekea nyumba zake kupigwa mnada. Rayvanny na Lavalava wanalalamika chini chini, na huenda huu mwaka usiishe watakuwa washajitoa.
Diamond si mtu mzuri, alimnyanyasa sana Mwarabu Fighter,. Pia ni lazma awanyonye kama baba yake tu aliemtoa kiunoni kwake alimnyanyasa ndo ije Rayvanny na Mavoko.
Tubadilike jamani WCB