Unyonyaji unaofanywa na Diamond/WCB kwa wasanii hauna tofauti na ule wa Clouds na waliekuwa wanamtuhumu

Unyonyaji unaofanywa na Diamond/WCB kwa wasanii hauna tofauti na ule wa Clouds na waliekuwa wanamtuhumu

Diamond huyu ni mmoja kati ya wasanii ambao clouds walitumia nguvu nyingi sana kumpromote na kumeweka kwenye ramani na jamaa alifanya vizuri baadae wakazinguana jamaa akaendelea na maisha yake mengine

Anaona kama diamond alitokea tu
 
Umbumbu ndo unawasumbua, Clouds na Wasafi wala sio wanyonyaji hawa ni wafanya biashara na mfanya biashara yeyote lengo lake ni kupata faidi kubwa kadili iwezekenavyo Salaam SK anamsemo wake kwamba yeye hasindikizi mtu kwenye Utajiri, ukitegemea huruma toka kwa mfanyabiashara ujue umekwisha
 
Back
Top Bottom