Yusuph Hashim
Senior Member
- Feb 22, 2014
- 111
- 132
Hahahaha atakuwa form two huyu,,,,,[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
wenzako muda huu wako prepo,we unajomaa na kunyonywa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wenzako muda huu wako prepo,we unajomaa na kunyonywa
Okeeey.Alitaka useme wasanii
Add the word extra to ur word so everybody can hear your whisper😀😀Shit here
shit there
shit everywhere
Kwani mikataba ya kazi alisaini mwenyewe au hakusaini? Umeshaona mikataba yake? Hivi kweli unaamini huwa habakiwi na kitu? Kama ingelikuwa kweli huwa hapati kitu sasa hivyo vitu alipata vipi na hao mabodigadi ana walipa vipi kama si matunda ya WCB?
Ahaaaaaaaah kama ningemtaka ningekuwa nae,maana ananisumbuaga PM kama njugu.Dingi Mbona unamwandama sana bi mdashi?,tafuta style nyingine ya kumtongoza...
Kama hujui terms za mikataba ya wasanii, ni bora ungekaa kimya tu usubiri wenye uelewa kuhusu hili waanzishe nyuzi... Kum-manage msanii sio kazi ndogo kama wengi wanavyofikiri, hasa ikiwa msanii bado mchanga kabisa. Hii migogoro ya mikataba kati ya msanii na management yake iko duniani kote...
Ndio maana pale WCB mtu yeyote anayetoka pale au hata fununu tu kuwa anataka kuachana na lebel, huwezi kukuta Diamond anaongelea popote, hajawahi kuzungumza lolote kuhusu Kifesi, Mwarabu fighter, Q boy, Rich Mavoko na hata huyu Harmonize wa juzi Diamond hatazungumza chochote... hujiulizi kwa nini anakaa kimya pamoja na watu wengi kutamani aseme neno?
KkkkkkkkkBora ungepara miwa tunywe juice ya miwa
Kama Harmonize alikuwa hivi basi kweli Mond anajua kuwanoa vijanaUongozi wa wcb chini ya diamond ni moja kati ya lebo inayowanyanyasa na kuwanyonya wasanii wake na kuwasainisha mikataba ya kina chief mangungo isiyokuwa na haki na iliyojaa unyonyaji wa kupita kiasi.
Ni hawa hawa waliokuwa wanailalamikia clouds kupitia na wakurugenzi wao kuwa ni wanyonyaji, lakini wanachofanya wao bora hata clouds.
Msanii rich mavoko ameondoka coz ya kunyonywa, hamonaizi ameondoka na mdeni wa mil 500 mpaka kupelekea nyumba zake kupigwa mnada. Rayvanny na lava lava wanalalamika chini chini, na huenda huu mwaka usiishe watakuwa washajitoa.
Diamond c mtu mzuri, alimnyanyasa sana mwarabu fighter,. Pia ni lazma awanyonye kama baba yake tu aliemtoa kiunoni kwake alimnyanyasa ndo ije rayvany na mavoko.
Tubadilike jamani wcb
Kidogo kinachobaki ndicho wanapewa... serious!!!Mashabiki wengi wa wcb wanafikiri ukiea msanii unatakiwa uwe na jina kubwa wengi hawaangalii maslahi ya msanii yakoje na unapowaambia ukweli utashambuliwa vibaya mno ila ukweli ni kwamba wanaofaidi kule ni Diamond na wale managers kidogo kinachobaki ndio wanapewa hao madogo wengine na ni ngumu kutoka huko kutokana na masharti magumu ambayo yanalinda reputation ya kampuni, kama ni kuzuri kihivyo mwarabu fighter asingeondoka kwani yeye hapendi pesa, Rich mavoko asingeondoka kama kuna maslahi na Harmonize nae asingeondoka tatizo mashabiki hatuangalii yule mtu pale ana pata nin akiondoka tunamtupia maneno mabaya trust me Jux anapata pesa kuliko hata wakina Rayvanny hata harmonize kipindi yupo ila kwa jina amezidiwa na hao kina Rayvanny.
Unadhani kwanini hazungumzi???Kama hujui terms za mikataba ya wasanii, ni bora ungekaa kimya tu usubiri wenye uelewa kuhusu hili waanzishe nyuzi... Kum-manage msanii sio kazi ndogo kama wengi wanavyofikiri, hasa ikiwa msanii bado mchanga kabisa. Hii migogoro ya mikataba kati ya msanii na management yake iko duniani kote...
Ndio maana pale WCB mtu yeyote anayetoka pale au hata fununu tu kuwa anataka kuachana na lebel, huwezi kukuta Diamond anaongelea popote, hajawahi kuzungumza lolote kuhusu Kifesi, Mwarabu fighter, Q boy, Rich Mavoko na hata huyu Harmonize wa juzi Diamond hatazungumza chochote... hujiulizi kwa nini anakaa kimya pamoja na watu wengi kutamani aseme neno?
Wenyewe wanakuambia Harmonize ana kipaji kweli kweli wakati ukimsikiliza ni Diamond mtupu!!!Kama Harmonize alikuwa hivi basi kweli Mond anajua kuwanoa vijana
Umeandika kwa kirefu sana lakin mwenyew amesema alikua hana hizo pesa kabisa ameuza mali zote zake huwezi jua mke anapacent ngap kwenye hiyo kama umemsikia between words management yake imemsaidia but still hajamaliza so usitake kusema kwamba wamempa gharama hizo wakijua hataweza kupata but mwisho wa siku amepata kiasi.Kidogo kinachobaki ndicho wanapewa... serious!!!
Leo hii baada ya takribani miaka 5 tu, Harmonize ameuthibitishia umma kwamba anawalipa WCB Sh. 500M. Ni Watanzania wangapi hata baada ya kufanya kazi kwa miaka 30+ wakija kustaafu wanaweza kuwa na ubavu wa kulipa 500M?!
Go back kwa GRADUATES WOOOOOOOOOOOTE Tanzania unaowafahamu na walioanza kazi miaka 5 iliyopita halafu njoo hapa na orodha ya graduates wenye huo ubavu unaofanywa sasa na kijana aliyeishia darasa la saba!!
Go back kwa GRADUATE WOOOOOOOOOOOOTE unaowafahamu wa Tanzania walioanza kazi miaka 10 iliyopita halafu rudi hapa na orodha ya graduate wenye huo ubavu unaofanywa na Harmonize ambae hata ukimuuliza "what is civics" ataishia kujiuma uma tu!!!
Watanzania ni wanafiki sana!!! Generally speaking, at least 75% ya hao graduates niliowataja hapo hadi kesho watakuwa wanaishi kwenye vyumba vya kupanga tena Uswahili huku wakigombania daladala kwenda "kazini!"
Lakini huwezi kusikia wakiwalalamikia waajiri wao kwamba ni wanyonyaji kama watakavyowalalamikia watu "wanaowanyonya" wasanii!! Yaani mkiskia msanii fulani kagombana na radio au management.
Tena management au radio yenyewe iwe WCB au Clouds, mtaruka hapa kuimba jinsi Diamond na Clouds walivyo wanyonyaji huku mkisahau wengine na madigrii yenu bado hadi kesho mnapanda daladala na mnakuwa na adabu kweli kweli kwa waajiri wenu wanaoishia kuwapa pesa ya kula wali maharage, nyama mara mbili kwa mwezi ili usilale njaa na kushindwa kwenda kazini siku inayofuata!!
Hapa mtabaki kuimba Harmonize amenyonywa sana na Diamond huku wenyewe mkishindwa kununua hata Samsung 8 ingawaje mmeajiri kwa zaidi ya miaka 5 sasa huku mkiwa na elimu ya chuo kikuu!!!
Wakati yenyewe yanalipwa Sh. 600K kwa mwezi lakini wanaweza kupigwa hata makofi na mabosi wao na wasifanye kitu lakini wanataka wasanii wanaolipwa maradufu ya wao ndio wawe wanawavimbia waliowafikisha hapo!!! Mtu ukisema utasikia oh, "...mnaogopa ku-take risk" wakati wenyewe wanalipwa laki 3 na hawaachi kazi au kuwavimbia mabosi wao!!
Nyie watu acheni unafiki! Ni kweli tunaweza kusema wananyonywa lakini kumfanya mtu ambae alikuwa hafahamiki hata mtaani kwao akawa anafahamika kote Afrika sio jambo dogo, na hiyo ina thamani kubwa sana!!
Ni kutokana na hilo ndio maana mikataba ya wasanii popote pale duniani ni migumu kwa sababu labels/management companies zinafahamu baada ya msanii kuachana nae, wakati huo atakuwa na thamani mara milioni moja kabla hajajiunga nao!!!
Serious! Yaani unaamini kabisa kwamba hizo mali alizouza ni za Sarah?! Na kama umemsikia katika hicho ulichokiita kwamba "...between words", ungefahamu kwamba there's no way angeweza kusema kwamba eti ana pesa!!Umeandika kwa kirefu sana lakin mwenyew amesema alikua hana hizo pesa kabisa ameuza mali zote zake huwezi jua mke anapacent ngap kwenye hiyo kama umemsikia between words management yake imemsaidia but still hajamaliza so usitake kusema kwamba wamempa gharama hizo wakijua hataweza kupata but mwisho wa siku amepata kiasi.
Mkuu umetumwa kuandika ujinga
Ukweli ni kwamba maisha ya Wasanii wa WCB ukimtoa Diamond ambao ni boss wao wengine wanaishi maisha mabaya Sana,kazi kweli wanafanya Sana lakini pesa ni Kama vile wanaenda kumtaftia Diamond na washirika wake.Mwaka juzi hamonize aliandaa shoo Mtwara kwa gharama zake lakini aliporudi dar pesa yote ilienda ofisini na badala yake yy na Vijana wake wakakaa wiki wanasubiri boss arudi apige hesabu kulingana na mkataba unavyoeleza ili yy agawiwe chake nayeawalipe Vijana wake
Mkuu ww ni nani pale WCBUkweli ni kwamba maisha ya Wasanii wa WCB ukimtoa Diamond ambao ni boss wao wengine wanaishi maisha mabaya Sana,kazi kweli wanafanya Sana lakini pesa ni Kama vile wanaenda kumtaftia Diamond na washirika wake.Mwaka juzi hamonize aliandaa shoo Mtwara kwa gharama zake lakini aliporudi dar pesa yote ilienda ofisini na badala yake yy na Vijana wake wakakaa wiki wanasubiri boss arudi apige hesabu kulingana na mkataba unavyoeleza ili yy agawiwe chake nayeawalipe Vijana wake