Elections 2010 Unyumba wa Dk. Slaa wamfanya Benno Malisa wa UVCCM kuzomewa Geita

Elections 2010 Unyumba wa Dk. Slaa wamfanya Benno Malisa wa UVCCM kuzomewa Geita

benno hajui alitendalo tumsamehe kwa hili
 
Ni kweli suala hili la unyumba wa SLAA na JOSEPHINE linaleta ukakasi fulani ndani ya mioyo ya waumini wa baadhi ya dini. Japo ukweli halisi haujajulikana, nini hasa kimetokea, kama ni kuporwa mke au huyo mume wa awali wa BI Josephine kuikimbia familia, maana haiyumkiniki mume ati kudai kuwa alokuwa mume wa Josephine asema alishangaa tu kuona mkewe katoweka home hadi siku alipo muona akitambulishwa rasmi jangwani. Japo ni kweli kuwa hatumtafuti Sheikh au Padre wa kuiongoza nchi, lakini kuna baadhi ya wapiga kura wameanza kushawishiwa na baadhi ya viongozi wa dini (Rejea vipindi vya redio moja ya kidini ya jan usiku na TV moja inayorusha kipindi cha dini kila siku kama ya jana mida ya saa nne usiku. Jitihada ya ziada inatakiwa kufanywa, vinginevyo historia huenda ikajirudia.:hand::hand:
 
Yaani sisiki raha mpaka na mimi nizomee pia - hilooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooo halina aibuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
 
Kwani yeye mwenyewe Benno msafi? CCM ni lazima watambue kumzungumzia mke wa Slaa kwa sasa ni kumpa chati tu.

Waachane na hiyo habari watuambie WATATUFANYIA NINI KIPYA, KILICHOSHINDIKANA KWA MIAKA 50.
 
Hii karata ya 'kupora mke wa mtu' CCM wamejaribu kuicheza kwa kutumia magazeti ya kipuuzi kama Mtanzania na Rai, lakini wapi! Naona kweli watanzania sasa wameamka. Tunataka Rais mwenye uthubutu wa kuzuia uporaji wa raslimali zetu, basi. Sisi hatujali kama ana hawara au anatembea na mke wa mtu. Tumegundua kwamba huyu anayetaka tena miaka mingine mitano hana uwezo wa kuzuia uporaji wa raslimali zetu kwani waporaji ni marafiki zake wakubwa. Sasa anataka tumchague ili....?? NGUVU YA UMMA ndio silaha yetu pekee katika kuondokana na unyonyaji huu unaotufanya tuwe maskini katika nchi tajiri.
Hapo umenena mkuu Mporaji wa mke wa mtu na mporaji wa rasilimali za watanzania nani zaidi?
Siasa za ccm za kitoto sana.....hawakawii kusema dr slaa na kamili mkewe wa kwanza wameachana kwasababu dr slaa alikuwa hampi unyumba vizuri!!!! hawana issues za msingi za kuongea zaidi ya upuuzi tuuu!!
 
Chadema,

Ninaomba wana sheria wa Chadema na hasa Mzee Marando wawaburuze katika kipindi hiki Mama Salma na Kinana kwa kuleta risiti feki za kukodisha ndege na pia:

Huyu jamaa kwa kuongelea swala ambalo liko mahakamani basi na yeye aburuzwe ili akachezewe na Washikaji huko Keko.

Asiachiwe hivihivi kwa kuongelea swala lililoko mahakamani.

Kidogokidogo hadi wataanza kujifunza na kuheshimu sheria. Mpandisheni haraka sana kizimbani.

Hii itaanza kutuma ujumbe wa wazi kwa Vijuha vyote nchini vinavyojiona vyenyewe vinaTAWALA Tanzania.
 
Mara nyingi ukishaishiwa point kinachofuata ni mashudu au pumba.
Na huu si wakati wa kupokea mashudu mda umeisha ndo maana wakamzomea
Watu washakuwa na maamuzi yao tayari.
Unajua kuna vijiji wanajua raisi mpya ni Dr Slaa nilifurai nilipokuwa nasikia iyo comment from one of the villages kwenye basi
 
"F malisa" hivi si watumie hata historia ku analyse mambo, hivi unyumba wa mandela ulikuaje?, hivi wa2 kama kina bill klinton na kashfa zao za mahouse girl ziliathiri vipi utendaji wao?, hivi zuma anao wanawake wangapi hadi wengine anasaidiwa na walinzi, lini ameharibu kwa sababu hiyo?, Hivi anajua kua huyo wa chama chake anao wangapi??

Stupid, walah siku tunawaondoa madarakani tutawachapa fimbo m1 baada ya mwingine.
 
Back
Top Bottom