Unywaji chai kwa wingi ni hatari kwa afya?

Unywaji chai kwa wingi ni hatari kwa afya?

Mkuu Chimunguru mimi leo ninakupa faida ya chai nunuwa chai boksi moja kisha nunuwa tangawizi kavu ya unga gramu 25 nunuwa Mbadalasini ya unga gramu 25 changanya kwenye hayo majani yako ya chai pika uwe unakunywa kila siku itakuwa inakusaidia sana matatizo ya nguvu za kiume haya tena usimwambie mtu fanya hivyo kisha utakuja kunipa feedback kama shemeji hakutoka mbio kitandani kwa nguvu za kiume zinavyozidi kwako kazi kwako mkuu.

Always a life saver MziziMkavu,ngonja na mimi nifanye hiyo mixer..!
 
mkuu chimunguru ikiwa hujamuowa usije ukamtia tu mimba mtoto wa kichaga shauri yako dawa kiboko hiyo mmi huku shemeji yako ninamuendesha mchakamchaka ananiuliza kulikoni mume wangu unatumia viagra ninacheka tu nina ongeza na asali kijiko kimoja kabla ya mechi kuanza wee kasheshe kweli shemeji yako anaomba half time uwanjani.

mbwembwe tu
 
Back
Top Bottom