Unywaji wa kahawa chungu

nsalu

JF-Expert Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
1,189
Reaction score
1,240
Naomba kuuliza wataalamu wa afya kuhusu unywaji wa kahawa chungu ambazo watu hunywa na kashata. Je haina madhara kiafya? Nilijaribu kuonja siku moja nikaona ni chungu mno lakini watumiaji wanakunywa kila siku. Je haina madhara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…