N nsalu JF-Expert Member Joined Apr 10, 2012 Posts 1,189 Reaction score 1,240 Apr 19, 2014 #1 Naomba kuuliza wataalamu wa afya kuhusu unywaji wa kahawa chungu ambazo watu hunywa na kashata. Je haina madhara kiafya? Nilijaribu kuonja siku moja nikaona ni chungu mno lakini watumiaji wanakunywa kila siku. Je haina madhara?
Naomba kuuliza wataalamu wa afya kuhusu unywaji wa kahawa chungu ambazo watu hunywa na kashata. Je haina madhara kiafya? Nilijaribu kuonja siku moja nikaona ni chungu mno lakini watumiaji wanakunywa kila siku. Je haina madhara?