Unywaji wa pombe kupindukia husababishwa na kutokujua kiwango cha unywaji

Unywaji wa pombe kupindukia husababishwa na kutokujua kiwango cha unywaji

Sky Eclat

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2012
Posts
57,761
Reaction score
216,011
Wengine wanaokunywa bar walizozizoea wakilewa na kulala wake zao wanapigiwa simu. Kweli dignity iko wapi hapo, mke anakukuta umetapika au kujikojolea.

Wengine wenye bar wana wafungia ndani kwa usalama wao. Sasa moto utokee usiku bar wakati imefungwa ndiyo tunaimba parapanda.

Wengine hufanyiwa vitendo vichafu bila kujieleza. Sasa hela yako ikutese, kwani hujui kuwa bia mbili au tatu ndiyo mwisho wangu, nikizidisha nitaharibu?

Msiache kunywa pombe wote, manunuzi yenu yana afya katika kodi yetu.
 
Wengine wanaokunywa bar walizozizoea wakilewa na kulala wake zao wanapigiwa simu. Kweli dignity iko wapi hapo, mke anakukuta umetapika au kujikojolea.

Wengine wenye bar wana wafungia ndani kwa usalama wao. Sasa moto utokee usiku bar wakati imefungwa ndiyo tunaimba parapanda.

Wengine hufanyiwa vitendo vichafu bila kujieleza. Sasa hela yako ikutese, kwani hujui kuwa bia mbili au tatu ndiyo mwisho wangu, nikizidisha nitaharibu?

Misachte kunywa pombe wote, manunuzi yenu yana afya katika kodi yetu.
Nimepita chap nikajua Kuna picha
 
Wengine wanaokunywa bar walizozizoea wakilewa na kulala wake zao wanapigiwa simu. Kweli dignity iko wapi hapo, mke anakukuta umetapika au kujikojolea.

Wengine wenye bar wana wafungia ndani kwa usalama wao. Sasa moto utokee usiku bar wakati imefungwa ndiyo tunaimba parapanda.

Wengine hufanyiwa vitendo vichafu bila kujieleza. Sasa hela yako ikutese, kwani hujui kuwa bia mbili au tatu ndiyo mwisho wangu, nikizidisha nitaharibu?

Misachte kunywa pombe wote, manunuzi yenu yana afya katika kodi yetu.
Ww tulia kunywa mirinda hapo Tandika wacha tulipe kodi
 
Ila pombe ikizid sio kabisa,weekend hii ilitaka kunipeleka ndivyo sivyo.Tunywe kwa kias jaman.Ila tatizo unaweza ukawa unakunywa unaona hulewi ila ghafla tu unaanza kuona network zinakata
Ukiona network inaelekea kukata ondoka haraka bar na ikiwezekana be a chupa mbili umalizie nyumbani.
 
Mshana Jr

Naomba uweke hapa ile video ya jamaa kapanda juu ya kiti pombe imemkolea akiwa anacheza akasarura bukta na boksa na kuacha mambo hadharani...😅.

Lengo sio kumfeshehesha ila kuna wataokuja kusema picha ikwapi....!

Asprin njoo kidogo...

Ukishiba K Vant bila kula huwa unaishia kuongea kiinglish au unaanzisha masumbwi..?!!😆😆

Pombe ni nzuri sana ila tuu ukiitumia sawia.
 
Jana nimekimbiza chupa ya grant asee vibe lilikuwa la nguvu sana. Lilichagizwa na Hatrick ya CR7 mambo yakawa bam bam.
 
Watu weusi wengi hawana kiasi, sio kwny pombe tu hata chakula.

Mtu anapita kwny bufee na kujaziwa sahani kila anachoona mezani na mwishoni anabakisha

Ngono ndio balaa...hasa watu maskini
 
Kuna babu mmoja mstaafu wa kitambo kiasi maeneo ya Ubungo Maziwa, anatoroka nyumbani, bibi na wajukuu wanasambaa kumuwinda alikokwenda kunywa, akipatikana inabidi wakusanyike maana kumtoa hapo siyo kazi nyepesi
 
Back
Top Bottom