Unywaji wa pombe kupindukia husababishwa na kutokujua kiwango cha unywaji

Unywaji wa pombe kupindukia husababishwa na kutokujua kiwango cha unywaji

Wengine wanaokunywa bar walizozizoea wakilewa na kulala wake zao wanapigiwa simu. Kweli dignity iko wapi hapo, mke anakukuta umetapika au kujikojolea.

Wengine wenye bar wana wafungia ndani kwa usalama wao. Sasa moto utokee usiku bar wakati imefungwa ndiyo tunaimba parapanda.

Wengine hufanyiwa vitendo vichafu bila kujieleza. Sasa hela yako ikutese, kwani hujui kuwa bia mbili au tatu ndiyo mwisho wangu, nikizidisha nitaharibu?

Msiache kunywa pombe wote, manunuzi yenu yana afya katika kodi yetu.
Mimi huwa nachangaa sana, hela yako mwenyewe then ikutese! Lazima tuwe na kiasi kadiri ya uwezo. Mara nyingi, mshindi si yule anayeshinda Vita pelee, bali pia, ushindi dhidi ya nafsi.
 
Wengine wanaokunywa bar walizozizoea wakilewa na kulala wake zao wanapigiwa simu. Kweli dignity iko wapi hapo, mke anakukuta umetapika au kujikojolea.

Wengine wenye bar wana wafungia ndani kwa usalama wao. Sasa moto utokee usiku bar wakati imefungwa ndiyo tunaimba parapanda.

Wengine hufanyiwa vitendo vichafu bila kujieleza. Sasa hela yako ikutese, kwani hujui kuwa bia mbili au tatu ndiyo mwisho wangu, nikizidisha nitaharibu?

Msiache kunywa pombe wote, manunuzi yenu yana afya katika kodi yetu.
Drink responsibly,because Pombe si chai...
 
Urafi,Sifa za kijinga,mashindano,kuonyesha ubabe na ushamba
 
Parapanda Italia paranda
Parapanda Italia parapanda.....
Daa!! Kumbe jamaa hajafa, K-Vant imemzimisha!
Ghafla anazinduka!(jeneza liko chumbani),
anapepesa macho huku na huku, anawaza, ( hee! niko mbinguni nini?, hao malaika wanaimba!!)
 
Wengine wanaokunywa bar walizozizoea wakilewa na kulala wake zao wanapigiwa simu. Kweli dignity iko wapi hapo, mke anakukuta umetapika au kujikojolea.

Wengine wenye bar wana wafungia ndani kwa usalama wao. Sasa moto utokee usiku bar wakati imefungwa ndiyo tunaimba parapanda.

Wengine hufanyiwa vitendo vichafu bila kujieleza. Sasa hela yako ikutese, kwani hujui kuwa bia mbili au tatu ndiyo mwisho wangu, nikizidisha nitaharibu?

Msiache kunywa pombe wote, manunuzi yenu yana afya katika kodi yetu.
Msisahau na wale wake za watu na visichana vya chuo tunavyovimufumua marinda kisa savannah...muwakumbushe na hao
 
Mbona mnapenda kuihusisha pombe kwenye machukizo yenu masta??? Iacheni pombe iwe huru mnaisema sema sana
 
Mshana Jr

Naomba uweke hapa ile video ya jamaa kapanda juu ya kiti pombe imemkolea akiwa anacheza akasarura bukta na boksa na kuacha mambo hadharani...๐Ÿ˜….

Lengo sio kumfeshehesha ila kuna wataokuja kusema picha ikwapi....!

Asprin njoo kidogo...

Ukishiba K Vant bila kula huwa unaishia kuongea kiinglish au unaanzisha masumbwi..?!!๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†

Pombe ni nzuri sana ila tuu ukiitumia sawia.
Nikipiga ulabu yani napiga kimombo, malkia Elizabeth anasubiri...

K Vant ibarikiwe sana
 
Nikipiga ulabu yani napiga kimombo, malkia Elizabeth anasubiri...

K Vant ibarikiwe sana

Daah babu nimesoma vibaya...๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ

Hilo neno kimombo limesomeka vingine kabisa blangatani kwangu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…

Labda niko nyegezi sina habari...๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Ukiona network inaelekea kukata ondoka haraka bar na ikiwezekana be a chupa mbili umalizie nyumbani.
Network imenikatia nikiwa njian narud nyumban na km ningekuwa peke yangu sijui ningefika vp nyumban maana ni ghafla tu nilianza kuona hali sio ikabid niombe msaada wa mtu niliyekuwa nae.
 
Daah babu nimesoma vibaya...๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ๐Ÿ™ˆ

Hilo neno kimombo limesomeka vingine kabisa blangatani kwangu ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜…

Labda niko nyegezi sina habari...๐Ÿค”๐Ÿค”๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Khaaaaa... imebidi nichomoe shati ghafla.

Ningeadhirika hadharani na umri huu
 
Khaaaaa... imebidi nichomoe shati ghafla.

Ningeadhirika hadharani na umri huu

Aahahahahhaaaa

Hutembei na funguo nyingi, au mabetri makubwa yale ya kuweka kwenye tochi au sarawili haikuwa na mifuko ya kuweka mikono mfukoni.
 
Back
Top Bottom