Uoga na aibu ndo muhimili mkuu wa umasikini na ufukara

Tena aibu hii wanayo sana wanaume tena awe na ka degree umwambie tulime tuanze na ka heka kamoja hizo dharau sasa
 
Haya tutangazie biashara yako sasa.

Post sent using JamiiForums mobile app
Mkuu unataka kazi yangu kwa ajili upate Hapitite? au uoate Busta?

Jina langu na Avata zinaeleza na pia iko Verfied kabisa.

AIBU na UOGA ndo Muhimumi wa Kuto fanikiwa.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Haya tutangazie biashara yako sasa.

Post sent using JamiiForums mobile app
Hizi ndo moja ya sababu kwamba oo mbona fulani sijui mtaji amepewa na wazazi mara fulani aliiba ndo akawa tajiri.

Angali wewe kama wewe na sio mimi kama mimi.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Safiii

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Kwa yeyote mwenye dili za pesa hata Kama ni za kutumia nguvu kwa hapa Moshi njoo inbox tusaidizane mi nataka pesa ya kianzio tu Nina mpango wa kufuga

Tatizo mtaji sina,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Poa mkuu tukomae tu maana vyeti havisaidii kipindi hiki Nina Imani Kuna watu wanaweza kutusaidia hum hata hizi kazi ngum ili pengine ndoto zetu zitimie

Tunaombeni watanzania wenzetu,

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa Kaka, Nimelivaa jukumu la kuitunza familia nikiwa bado kijana mdogo sana, lazima tukubali ukubwa na pia tukubali kujitoa kwa ajili ya wenzetu ambao wanatutegemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…