CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
UOGA NA AIBU NDO MUHIMIL MKUU WA UMASIKINI NA UFUKARA.
Leo hii mtaani wamejaa Graduates, Majumbani wamejaa Magraduate,Kazini watu wanafanya kazi huku wana nung'unika tu.
Leo hii Wazazi/walezi wanalea watu hadi wa miaka 30 kisa kamaliza chuo then kaaa nyumbani kisa eti hajapata kazi.
Wengine tunaishi kwa mashemeji yaani shemeji ananitunza mimi na Dada angu. Hahaaaa
Wengine tunaishi kwa Wajomb,MashangaziBaba wa ubatizo,babu,bibi na ladhalika.
KISA CHA HAYO YOTE NI UOGA NA AIBU
Aibu na Uoga sasa inafichwa kwenye kisingizio cha sina mtaji au sina pesa.
AIBU na UOGA ni kwa sababu hizi.
-Kuonea aibu ndugu jamaa na marafiki
-Kuobea aibu majirani
-Kuonea aibu wafanyakazi wenzangu
-Kuonea aibu Baba mkwe na Mama mkwe
-Kuonea aibu Mchumba/mme/mke
KAMA Kuna ulazima wa kuonea aibu basi wanao paswa kuonewa aibu ni walio kuzaa, wakakulisha, wakakupeleka hospitali, wakakuvisha nepi,
How come unawaonea aibu third part?
SIKU AIBU NA UOGA VIKITUONDOKA NDO HAPO MAFANIKIO YATAKAPO ANZIA.
Kamwe na Daima Aibu na Uoga haviwezi kaa pamoja na mafanikio.
By
Chasha Farming
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app
Leo hii mtaani wamejaa Graduates, Majumbani wamejaa Magraduate,Kazini watu wanafanya kazi huku wana nung'unika tu.
Leo hii Wazazi/walezi wanalea watu hadi wa miaka 30 kisa kamaliza chuo then kaaa nyumbani kisa eti hajapata kazi.
Wengine tunaishi kwa mashemeji yaani shemeji ananitunza mimi na Dada angu. Hahaaaa
Wengine tunaishi kwa Wajomb,MashangaziBaba wa ubatizo,babu,bibi na ladhalika.
KISA CHA HAYO YOTE NI UOGA NA AIBU
Aibu na Uoga sasa inafichwa kwenye kisingizio cha sina mtaji au sina pesa.
AIBU na UOGA ni kwa sababu hizi.
-Kuonea aibu ndugu jamaa na marafiki
-Kuobea aibu majirani
-Kuonea aibu wafanyakazi wenzangu
-Kuonea aibu Baba mkwe na Mama mkwe
-Kuonea aibu Mchumba/mme/mke
KAMA Kuna ulazima wa kuonea aibu basi wanao paswa kuonewa aibu ni walio kuzaa, wakakulisha, wakakupeleka hospitali, wakakuvisha nepi,
How come unawaonea aibu third part?
SIKU AIBU NA UOGA VIKITUONDOKA NDO HAPO MAFANIKIO YATAKAPO ANZIA.
Kamwe na Daima Aibu na Uoga haviwezi kaa pamoja na mafanikio.
By
Chasha Farming
Sent from my SM-J500H using JamiiForums mobile app