Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
We hujielewi ko kikosi kikipangwa ivo ndo uogaBaada ya wadau wanaolitakia mema soka la bongo kupiga kelele na kulalamikia marefa wanavyoisadia simba koko ni wazi kabisa kelele zimewafikia wahusika na wameingia upepo...
Simba kushusha mziki wote dhidi ya timu dhaifu ya jkt tanzania sio dalili nzuri kabisa...
Poleni sana mikia huu ni mwanzo tu,marefa wakibadilishwa hadi Mo ataingia uwanjani lakini hamtopata ushindi wa aina yoyote.
View attachment 1084695
Mmeingia upepoWe hujielewi ko kikosi kikipangwa ivo ndo uoga
Hakikaawasipopewa penati leo hawashindi
Vyura ndo mmeingia upepo subiri dakika90 na ubaki hapa hapa kwenye Uzi wakoMmeingia upepo
Kama Tulivyocheza na Yanga na Kagere akafunga goli LA Kichwa LA Penati??wasipopewa penati leo hawashindi
We Mzee,hawa ni wachezaji wetu unatupangia jinsi ya kuwatumia??Unafeli sana MzeeBaada ya wadau wanaolitakia mema soka la bongo kupiga kelele na kulalamikia marefa wanavyoisadia simba koko ni wazi kabisa kelele zimewafikia wahusika na wameingia upepo...
Simba kushusha mziki wote dhidi ya timu dhaifu ya jkt tanzania sio dalili nzuri kabisa...
Poleni sana mikia huu ni mwanzo tu,marefa wakibadilishwa hadi Mo ataingia uwanjani lakini hamtopata ushindi wa aina yoyote.
View attachment 1084695
Wanatamani tucheze nao tena ili wapate namna ya kuishiKila nikikumbuka ile mechi ambayo Simba ilinunua na kuifunga Yanga goli moja kupitia Kagere naweweseka sana.
Kweli kabisa Mkuuwasipopewa penati leo hawashindi
VipiVyura ndo mmeingia upepo subiri dakika90 na ubaki hapa hapa kwenye Uzi wako
Mnyamaaa kalamba 3Vipi
Vip nini or hujaona matokeo?Vipi
Soma iyooooooooooooVipi
Dk 98Soma iyoooooooooooo
Ngapi hukooooooooooo
Simba hakuna wakumzuia
Hata iwe ya 100, tatizo wengi ushabiki wameanza juzi baada ya mfumko wa mitandao ya kijamii. Nyie koromeni, mnyama yeye analamba point tu! Makalio yanawacheza saizi!Dk 98