Uonevu kwa raia na manyanyaso

Uonevu kwa raia na manyanyaso

Cleverman324

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2018
Posts
389
Reaction score
631
Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..

Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."

Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.

Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..

Hili kisheria likoje?
 
Kosa lako kubwa wamekuambia ni nini?una ushahidi wa hayo yote?
 
Umeandika kwa kukurupuka ,tulia shusha pumzi anza kutupa kisa vizur.Hawa jamaa wanavipigo lakini vingi vinasababu zake.usje ukawa wewe ndo umezichanga karata hovyo.




Pole ila kupigwa kiboya namna iyo sio poa,jipige kifuani mara tatu Kisha SEMA Mimi Ni fala
 
Umeandika kwa kukurupuka ,tulia shusha pumzi anza kutupa kisa vizur.Hawa jamaa wanavipigo lakini vingi vinasababu zake.usje ukawa wewe ndo umezichanga karata hovyo.




Pole ila kupigwa kiboya namna iyo sio poa,jipige kifuani mara tatu Kisha SEMA Mimi Ni fala
Omba yasikukute dogo
 
Umeandika kwa kukurupuka ,tulia shusha pumzi anza kutupa kisa vizur.Hawa jamaa wanavipigo lakini vingi vinasababu zake.usje ukawa wewe ndo umezichanga karata hovyo.




Pole ila kupigwa kiboya namna iyo sio poa,jipige kifuani mara tatu Kisha SEMA Mimi Ni fala
Mkuu temea mate chini na omba kwa Mungu wako yasikukute
 
Omba yasikukute dogo
Mtu mzma unaejitambua uanze kupigwa bila sababu ?.na wasiwasi na muonekano wake ,kwa kujieleza tu utaeleweka labda Kama kajichanganya kakutana na askari wasiojielewa
 
Mkuu temea mate chini na omba kwa Mungu wako yasikukute
Yananikuta mkuu,SEMA sisi ni binaadamu tumeumbwa kwa namna ya kuweza kuelewana na kuelekezana .ikifikia hatua unaanza kupigwa tu bila kusikilizwa ujue Kuna shida pahala fulani.
 
Umeandika kwa kukurupuka ,tulia shusha pumzi anza kutupa kisa vizur.Hawa jamaa wanavipigo lakini vingi vinasababu zake.usje ukawa wewe ndo umezichanga karata hovyo.




Pole ila kupigwa kiboya namna iyo sio poa,jipige kifuani mara tatu Kisha SEMA Mimi Ni fala
Nimekuja kuandika hii kama kero. Ila fala Mimi nilitii sheria na manyanyaso kwani wameshika silaha za moto na virungu..ukizingatia hapo benk nilienda kuweka pesa kwa ajili ya matibabu ya mama huko shamba..wenzetu wenye nguvu za kiuchumi na nyazifa sio mafala..ningekuwa mbishi nifapigwa risasi nani amemuuguza mama..inauma sana hii
 
Inawezekana ninashida ila baada ya kuniachia niliacha begi langu na kwenda pembeni ya mtaro nikitafakari akaja mmoja na begi langu huku akinisihi siyapuuze kwani wanadam wanakosea.
 
Tunavyoenda hivi nitanunua uchawi tu
Usifike huko boss ,huo uchawi utakufanya hata mama yako unaemuuguzi utamuua.Cha msingi uli give up ,upo hai acha maisha yaendelee .You never know life has been a long story but isiwe too much for you to blame all time
 
Back
Top Bottom