Uonevu kwa raia na manyanyaso

Uonevu kwa raia na manyanyaso

Mimi huwa napenda kujifunza kwa wanajeshi, Usionee mtu hadi awe ameingia kwenye anga zako

Tungetafutana mtaani tu
 
Natamani niwe na hiyo namba..pia police aliyenipiga mmoja wao nina namba yake h-9090
Namba za ma RPC hzo
20210529_145710.jpg
 
Mtu mzma unaejitambua uanze kupigwa bila sababu ?.na wasiwasi na muonekano wake ,kwa kujieleza tu utaeleweka labda Kama kajichanganya kakutana na askari wasiojielewa
Kilamtu ni mbabe kwenye hali ya utulivu na amani.
 
Umeandika kwa kukurupuka ,tulia shusha pumzi anza kutupa kisa vizur.Hawa jamaa wanavipigo lakini vingi vinasababu zake.usje ukawa wewe ndo umezichanga karata hovyo.




Pole ila kupigwa kiboya namna iyo sio poa,jipige kifuani mara tatu Kisha SEMA Mimi Ni fala
😂 😂 😂Ila we jamaa
 
😂 😂 😂Ila we jamaa
Nmekuja hapa kushare hii kitu kwa uchungu sana. Sikuwa na kosa lolote
.je wapo wangapi wanaonyanyaswa na hawa jamaa.sawa nimekosea kwa nini mnitukane matusi na kunipiga .je kwa nini msinipeleke kituoni...nilichoona hawa wanakawaida ya kutafta namna itakowanufaisha kutoka kwa raia..kitendo cha mimi kuwa mtiifu bila kuwapinga kimewastua kwa maana walinisoma pia nilivyofocus kuangalia namba zao..what if kunifanyia hivyo ni kunipa hasira ili nipambane nao ili wapate mwanya wa kuniibia ama kunibambikia kesi....
 
Nmekuja hapa kushare hii kitu kwa uchungu sana. Sikuwa na kosa lolote
.je wapo wangapi wanaonyanyaswa na hawa jamaa.sawa nimekosea kwa nini mnitukane matusi na kunipiga .je kwa nini msinipeleke kituoni...nilichoona hawa wanakawaida ya kutafta namna itakowanufaisha kutoka kwa raia..kitendo cha mimi kuwa mtiifu bila kuwapinga kimewastua kwa maana walinisoma pia nilivyofocus kuangalia namba zao..what if kunifanyia hivyo ni kunipa hasira ili nipambane nao ili wapate mwanya wa kuniibia ama kunibambikia kesi....
Pole mkuu
 
Hao walifikiri una hela kwenye begi njaa Kali mkuu
Sio swala la kucheka ila natamani wenye mamlaka waone hii..hivi chombo hiki kunifanyia hivi alafu kesho unasema tuisaidie police kufichua uovu..mbona uovu upo sebuleni kwao
.
 
Nipo nyumbani hapa shughuli zangu zimesimama nahisi maumivu kwenye kifundo cha mguu.natamani niende maturubai kituo cha police nikashtaki kwa mkuu wa kituo ila naogopa kwani wale ni kitu kimoja. Wanaweza kunibadilishia kesi...for this nimejiona takataka sana..sina kosa napigwa vitu vinamwagwa mfuko mmoja nilibeba matunda wameukanyaga na t shirt imechanwa..eti kisa natembea polepole kwa kujiamini
 
Siku hii ya Jumamosi tarehe 29 May..nimekutana na madhila ya kupigwa kudhalilishwa na kutukanwa na police..tukio limetokea Mbagala Rangi tatu maeneo ya Benki ya Akiba..

Nilitokea Bank kuweka pesa ila baada ya kumaliza zoezi na kutoka nje kwa mshangao niliitwa "we fala potea hapo."

Cha kushangaza sikiwa nimesimama nilikuwa kwenye mwendo, baada ya kusikia hivyo mi nikaongeza mwendo ila niliskia tena "we m*enge kaa chini," nilivyosimama nilipigwa mtama na tanganyika jeki juu. Wakanipeleka kwenye chumba chao na kipigo heavy kiliendelea sikupewa nafasi ya kufanya chochote zaidi begi lilifunguliwa vitu vyangu vilimwagwa chini. Nmetukanwa mara **** la mama ako mara uta*irika.

Baada ya kutii kila kitu na kiwasujudia waliniachia huku wananipiga makofi wakicheka..

Hili kisheria likoje?
Angalia zinazokufaa kwa tatizo lako kisha ripoti moja kwa moja bila kutumia care of c/o

 
Kwa sasa police maeneo ya bank mtu akibeba bag na muonekano usioeleweka,wanaanza kukutilia mashaka tena hasa ukiwa unageuka geuka hovyo
 
Kwa sasa police maeneo ya bank mtu akibeba bag na muonekano usioeleweka,wanaanza kukutilia mashaka tena hasa ukiwa unageuka geuka hovyo
Walinda amani wanavunja amani.hivi ningekufika ile point of no return nikapora silaha yake hapo tungekuwa tunaongea mengine sasa.physical fitness niko vizuri kuliko wao..wajue tu ipo siku watu watachoka... na maamuzi mabaya hayapangwi ila yanatokea papo kwa papo
 
Back
Top Bottom