Uonevu tangu 1948 Palestine

Uonevu tangu 1948 Palestine

Wapo wanaojaribu kuifuta Palestine kwa kutumia mbinu zote ziwe za nguvu za kijeshi kama vile marekani au kiudini - lskini Palestine ilikuwepo na uwezo wa Allah itakuwepo. Itakavyokuwa kila kitu kina mwisho. Palestine itarudi. Imepita miaka 75 tangu wakandamizaji, wabaguzi wa kizayuni walowezi wa kizungu waliopewa nchi sio yao, kuanza mauaji ambayo mpaka leo yanaendelea,
Ndugu Tumia akili yako vizuri acha upotoshaji kama hujui Historia bora ukataka kujua ili watu wakujuze kuliko kutuonyesha ni jinsi gani ulivyo zwazwa na kufa gany wa na Propaganda za waarabu!!!
 
Mtaokoteza sana viji-quote! Huyo m'bibi ni yahud pure; ni yahud kweli kweli Netanyahu arudi shule kujifunza uyahudi!

Tangu lini yahud akaaminika kwa kauli zake? Hamjui mshike lipi muache lipi mumebaki kudandia kauli kukidhi haja zenu ovu! Mtaifuta Israel? That's the last thing that might happen if and only if no God!
Fafanua usemi wako!!
 
Israel ina Waziri mkuu kama vile India anakuwa hana sauti. Nchi inaongozwa na Waziri mkuu kama vile sasa shetani Netanyahu wa Israel na Modi wa India. Uingereza ni nidhamu hiyo hiyo ila wao hawana raisi . Kazi ya raisi anakuwa ni malkia au mfalme.
Tumia akili zako vizuri Israel Ina Rais!!!
 
Israel ina Waziri mkuu kama vile India anakuwa hana sauti. Nchi inaongozwa na Waziri mkuu kama vile sasa shetani Netanyahu wa Israel na Modi wa India. Uingereza ni nidhamu hiyo hiyo ila wao hawana raisi . Kazi ya raisi anakuwa ni malkia au mfalme.
Tumia akili zako vizuri Israel Ina Rais
Mkuu umetaja na Allah kabisa. Nitajie AYA yoyote kwenye KITABU inayoitambua palestine, halafu pia nitajie AYA inayopinga Wayahudi na ardhi yao. Fanya hivo fasta mkuu
sidhani kama ana ufahamu huo Najua hawezi kukujibu maana nimeshamuona anaongozwa na mihemko ya kidini ambayo yeye mwenyewe haijui kwa hiyo ni ngumu sana kawkę kukujibu!!! Akikujibu nijulishe na mimi nione anavyobwabwaja!!
 
Jf kuna shida ya uelewaji haswa lugha ya bibi. Heading inasema uonevu tangu 1948..

Ukurupukaji ni mwingi watu wa mnyaz wanadanganya kwa uwazi na ujinga wamefanukiwa kumuingiza ujinga raisi wa France Emmanuel Marcon eti Israel imepata uhuru kwa idhuni ya UN yaani hata Watoto walicheka..

Hiyo history ya 1948 ukiisoma utabakia mdomo wazi na utajiuliza imekuwaje Israel wana huruma hivyo...

1948 Waarabu after mkutano wa UN wakajilusanya kuua kila myahudi Genocide ethnic cleansing.. mziki ukaanza matokeo wakabondwa wao Israel alichofanya kufukuza na wengine kuwaacha waishi pamoja.. ila ilitakiwa aue wote au kutimua wote tusingesikia Arabs ndani ya Israel, na Arabs waliopo Israel wanaraha na hawatakii kusikia huu upuuzi wenu kwani wana hadi wabunge na majudge..

Anachozungumzia Mama huyo ni Palestine under United Kingdom not Arabs Arabs walikuwa vibarua tu kipindi hicho ukiacha pact ya katiri Umar aliyeivamia Jerusalem maiaka hiyo akaacha chembe chembe chafu za waarabu ambao hawatakiwi na nduguzo Arabs hata ukimbizi.. ni same na waarabu wa zenji walilataliwa kurudi Oman
Waambie labda wewe watakuelewa. Ki ukweli Wafuga Midevu na Majini wanapata taabu sana hasa kwenye uelewa???
 
Kwenye Quran Israel or Wayahudi wametajwq mara nyingi sana tu; labda wewe ndio hujui. Tuachane na hata na Biblia maanake huko utasena nakudanganya. Wewe hujiulizi, wale waliondikiwa Quran wapo kimya ju ya huo mgogoro except Iran ambayo nayo wala haipigani kwa maslahi ya Uislam, yenyewe inapigana ili Iran aje kua super power middle east but anajua kikwazo kuifikia hiyo hatua ni Israel. Again, Iran kwenye Uislma haina hata mji mmoja ambao dini inautambua kama mtakatifu, as we speak, miji inayotambulia na Uislamu kama kwao ni mitakatifu ni Madina, Makkah (ipo Saudia) then kuna Jerusalem pamoja na Baghdad iliopo Iraq. Hindio miji au nchi ambazo manabii wanaotambulika na Waislamu wamewahi kuishi. Iran haipo, bora hata Misri
Wape vidonge vyao Wakimeza wasimeze Shauli yao!!!
 
Ndugu Tumia Akili zako vizuri Mungu amekupa bure zitumie vizuri!!!
 
Nilikuwa najaribu kukufahamisha kutoa ujinga kuwa kuna baafhi ya nchi waziri mkuu ndiye raisi. Umefahamhu?
Acha uongo huo waziri Mkuu ni Waziri Mkuu na Rais ni Rais tu acha kupotosha watu!!
 
Unajitoa ufahamu ? Rais wa Palestina alikuwa Nan ?
Hapo ndipo umemuua kabisa akikujibu niite nije ni one jibe lake!!! Hawa Jamaa waarabu Wame wadanganye sana na wanawafanya kama Misukule yao!!
 
Back
Top Bottom