Kwenye Quran Israel or Wayahudi wametajwq mara nyingi sana tu; labda wewe ndio hujui. Tuachane na hata na Biblia maanake huko utasena nakudanganya. Wewe hujiulizi, wale waliondikiwa Quran wapo kimya ju ya huo mgogoro except Iran ambayo nayo wala haipigani kwa maslahi ya Uislam, yenyewe inapigana ili Iran aje kua super power middle east but anajua kikwazo kuifikia hiyo hatua ni Israel. Again, Iran kwenye Uislma haina hata mji mmoja ambao dini inautambua kama mtakatifu, as we speak, miji inayotambulia na Uislamu kama kwao ni mitakatifu ni Madina, Makkah (ipo Saudia) then kuna Jerusalem pamoja na Baghdad iliopo Iraq. Hindio miji au nchi ambazo manabii wanaotambulika na Waislamu wamewahi kuishi. Iran haipo, bora hata Misri