Ngurukia
JF-Expert Member
- Feb 25, 2023
- 4,407
- 16,942
Kuna jopo la watu limezagaa Dar es Salaam wanaovaa uniform za shati jeupe na suruali nyeusi wanaokamata magari kwa madai ya wrong parking.
Natumia neno kwa madai kwa sababu ni kama wanaotengeza mazingira ya kukamata magari kwa nia ya kutaka kujipatia fedha.
Haijalishi umekidhi vigezo vyote vya kusimama sehemu wanaichukulia ni wrong parking, kama vile kuwasha double hazard, kutokuzima gari, kutozuia magari mengine kupita na dereva kutotoka kwenye usukani.
Bado watakuvamia kama majambazi na kukuzulia kesi.
Huwa wanatembea kwa magroup, jambo la kwanza wanalo force ni kuingia ndani ya gari walilokamata. Hii kiueledi na kiusalama sio sawa. Mbaya zaidi huwa wana kauli mbovu mno zilizojaa vitisho.
Kudhihirisha kuwa kuna kitu hakipo sawa, daima wanakwambia kuwa mtandao una matatizo hivyo hakuna control number ulipe cash tu na kufuata risiti baadae.
Nadhani ifike mahali mamlaka husika ziajiri watu wanaofaa kufanya baadhi ya kazi kuliko kutumia vibaka ambao nia yao ni moja tu kupeleka kila gari yard yao ili kujipatia pesa za commission.
Natumia neno kwa madai kwa sababu ni kama wanaotengeza mazingira ya kukamata magari kwa nia ya kutaka kujipatia fedha.
Haijalishi umekidhi vigezo vyote vya kusimama sehemu wanaichukulia ni wrong parking, kama vile kuwasha double hazard, kutokuzima gari, kutozuia magari mengine kupita na dereva kutotoka kwenye usukani.
Bado watakuvamia kama majambazi na kukuzulia kesi.
Huwa wanatembea kwa magroup, jambo la kwanza wanalo force ni kuingia ndani ya gari walilokamata. Hii kiueledi na kiusalama sio sawa. Mbaya zaidi huwa wana kauli mbovu mno zilizojaa vitisho.
Kudhihirisha kuwa kuna kitu hakipo sawa, daima wanakwambia kuwa mtandao una matatizo hivyo hakuna control number ulipe cash tu na kufuata risiti baadae.
Nadhani ifike mahali mamlaka husika ziajiri watu wanaofaa kufanya baadhi ya kazi kuliko kutumia vibaka ambao nia yao ni moja tu kupeleka kila gari yard yao ili kujipatia pesa za commission.