Uongo gani mkubwa uliwahi kuongopewa na mwenza wako ukaja kujua ukweli?

kile kidada kiongo sana kiliniambia siku aliyozaliwa vile alivyokuwa analia ati alikuwa ananililia mimi!!..
sasahivi mimi ndo nalia sasa walimwengu sio watu wanakuhadaa halafu wanakuja kukuacha solemba!.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Tukiwa high school, alisema alikuwa bikra, nilipomkula sikuikuta. Nilipoondoka akanitext eti "babe nimeona vidamudamu after you left"
๐Ÿ˜„๐Ÿ˜„
Me: Just chill bixch, wala sikuwa na nia na hiyo bikra yako.
fikiria 6 years in relationship Natumiwa hii kitu juzi....na nimenyimwa mara kibao nikaona mwanamke si ndo huyu ila wanawake ni konyo asee ๐Ÿšฎ๐Ÿ’”
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ