KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,185
- 37,239
- Thread starter
-
- #161
Pole sana ndugu yangu......hizi ni nyakati ngumu sana kupenda ingawa haipendezi lakini ni afadhali ubakie single utakuwa na amani.......Mm n mpare na nilijiwekea siwezi kuwa na mpare mwenzangu.
Mara paaaap kuna single mother mpare hv Tena pisi kali kabisa akautengeneza moyo wangu mpaka nikampenda sana hadi kupitiliza na kumuamini kwa kila ahadi aliyonipa.
Ila baada ya yeye kupata alichokuwa anakitafuta kwangu na kuona siwezi kumpa tena akaniacha kwa dharau sana.
Pole nduguDah mie nililea mimba hewa na watoto mapacha wakazaliwa halafu wakafa nikaombwa na hela ya kuwafanyia arobaini dah WE BINTI WA KITANGA nashkuru sana aisee
Me sijawahi kutana na uongo wa kutisha ni hizi za lashalasha maana Sina tabia ya kuwa na manzi wengiHabari wakuuu,
Kama tunavyojua kwenye harakati au maisha ya kimapenzi tunakutana na misuko suko ya hapa na pale, misuko suko ambayo inatufanya tuyachukie mapenzi au mahusiano.
Moja ya mambo yaliyoshamiri kwenye ndoa na mahusiano ya nyakati hizi ni UONGO uliokithiri.
Mimi binafsi niliwahi kuongopewa ujauzito na binti mmoja miaka ya nyuma kwa kuwa tulikuwa tukiishi mikoa tofauti na nilikuwa namuamini sikumtilia shaka.
Pia soma: Jambo gani baya umewahi kumfanyia mpenzi wako na utajutia milele?
Nililea mimba mpaka miezi mitano ndipo dada yake alipokuja kuniambia baada ya kuwa na yeye alikuwa anakereka na jambo alilokuwa akinifanyia mdogo wake, baadae alikuja kukiri na kuniomba msamaha, Sikumsamehe.
Rafiki yangu na yeye ilimkuta kwa binti mmoja wa Kihehe mpaka mimba ikazaliwa baadae akasema mtoto amekufa.
Je, wewe ndugu uliwahi kukutana na uongo upi kwenye ulimwengu wetu wa mapenzi?
Siwezi kusema kuwa umesalimika maana bado safari ni ndefu na upande wa pili wameshadhamiria ubaya......kitu pekee kitakacho kuokoa kwenye hili ni FAHAMU ZAKO......Me sijawahi kutana na uongo wa kutisha ni hizi za lashalasha maana Sina tabia ya kuwa na manzi wengi
Nani anakukera mchuchu wangu ππππBasi tu nikiboreka nakunywa
Nakubali mkuu hizi vitu ukiingia mzima umeishaSiwezi kusema kuwa umesalimika maana bado safari ni ndefu na upande wa pili wameshadhamiria ubaya......kitu pekee kitakacho kuokoa kwenye hili ni FAHAMU ZAKO......
Kamwe usiache fahamu zako mbali na moyo wako.......USIBEBWE NA MANENO MATAMU KWENYE SAUTI NZURI KAMA KASUKU........
Pole sana mpwa......nikimuona nitamchapa......Aliniambia ameachana na mke wake anataka tuwe pamoja. Nikamuamini nikawa nae mara ghafla nikashangaa kimya hapokei simu wala hajibu sms kumbe karudiana na mkewe.
Dah watu wanaamini watu kirahisi sanaMwaka 2016 alinidanganya ana mimba, nmelea mimba mpaka kazaa siku wah kumuona, kaja kasema mtoto kafa, nakuja kuambiwa kumbe hakufa. Kwa ufupi alinipiga matukio had na mtoto nikamwachia
Mara nyingi hutangulia mapenzi mazito kabla ya hali hii na kama unavojua kwenye ulimwengu wa mapenzi upofu ndio hali halisi......unakuja kuuona ukweli baadae sana mapenzi yakishaondoka......Dah watu wanaamini watu kirahisi sana
tupo 6Halafu kumbeπππ€£π€£
AsanteBaby siuliumia hiyo sindano ilipaswa nikusaidie baby
Acha nkae kmy
WatejaππNani anakukera mchuchu wangu ππππ
MmmhWatejaππ
Nini sasaMmmh
Wateja wanakukera mpaka unaamua kunywa vituz π€π€Nini sasa
Sio tu watejaππ kuna mwenye nyumbaWateja wanakukera mpaka unaamua kunywa vituz π€π€
Tujenge ya kwetu sasa wasije wakakuua wenye nyumba hao π€£π€£πSio tu watejaππ kuna mwenye nyumba
ππππ€£π€£ yani natamanTujenge ya kwetu sasa wasije wakakuua wenye nyumba hao π€£π€£π