Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Ukiwa na dingi mkali au mbabe, huyu lazima umdanganye, hakuna namna
Ili umnase demu lazima utupie uongo
Walimu wanoko, dawa yao uongo tu.
Hata kanisani wengi ni waongo na wanafiki, nyuma wameficha ukweli mchungu
Na sehemu nyingi, uongo haukwepeki
Uongo ni sehemu ya maisha yetu. Ukweli kidogo uongo kidogo ndo maisha yanavoenda.
Huku kuogopa kusema ukweli ni matokeo ya mfumo wa udikteta na ubabe katika ngazi ya familia.
Tulijifunza tangu utotoni kama njia ya kujisafisha mbele ya wazazi wanaokaripia sana.
Mpaka mtu unakuwa mtu mzima unajikuta umebobea kwenye uongo bila kujua.
Uongo haukwepeki.
Ili umnase demu lazima utupie uongo
Walimu wanoko, dawa yao uongo tu.
Hata kanisani wengi ni waongo na wanafiki, nyuma wameficha ukweli mchungu
Na sehemu nyingi, uongo haukwepeki
Uongo ni sehemu ya maisha yetu. Ukweli kidogo uongo kidogo ndo maisha yanavoenda.
Huku kuogopa kusema ukweli ni matokeo ya mfumo wa udikteta na ubabe katika ngazi ya familia.
Tulijifunza tangu utotoni kama njia ya kujisafisha mbele ya wazazi wanaokaripia sana.
Mpaka mtu unakuwa mtu mzima unajikuta umebobea kwenye uongo bila kujua.
Uongo haukwepeki.