Uongo mbaya, Dee Andy haendani na Godzilla

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,467
Kwanza niweke wazi tu kwamba huyu dada alikuwa ni mtangazaji wa Clouds FM japo kwa sasa sijamsikia; sijui katemwa au katema.

NINAMPENDA SANA ila kashawahiwa. Kuwa na jamaa yule mwanamuziki wa freestyle hawaendani kwa sasabu GodZilla sio HB na wala hajui hata kuvaa. Yaani ukiwaangalia hata hawaendani.
 
Huo ndo wivu sasa unataka amuache Hod aje kwako!
 
kipenda roho huzua msala,unakutana na demu mkali afu anatembea na joh makini
 
alafu jamaa wack! Wewe kunauhusiano gani wa mapenzi na u H.B ?????...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…