Uongo mbaya, Dee Andy haendani na Godzilla

Uongo mbaya, Dee Andy haendani na Godzilla

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,467
Kwanza niweke wazi tu kwamba huyu dada alikuwa ni mtangazaji wa Clouds FM japo kwa sasa sijamsikia; sijui katemwa au katema.

NINAMPENDA SANA ila kashawahiwa. Kuwa na jamaa yule mwanamuziki wa freestyle hawaendani kwa sasabu GodZilla sio HB na wala hajui hata kuvaa. Yaani ukiwaangalia hata hawaendani.
 
Kwanza niweke wazi tu kwamba huyu dada alikuwa ni mtangazajia wa clouds fm japo kwa sasa sijamsikia ,sijui katemwa au katema,NINAMPENDA SANA,ila kashawahiwa ila kuwa na jamaa yule mwanamuziki wa freestyle hawaendani.kwa sasabu godizilla sio hb na wala hajui hata kuvaa.yaani ukiwaangalia hata hawaendan
Huo ndo wivu sasa unataka amuache Hod aje kwako!
 
Kwanza niweke wazi tu kwamba huyu dada alikuwa ni mtangazajia wa clouds fm japo kwa sasa sijamsikia ,sijui katemwa au katema,NINAMPENDA SANA,ila kashawahiwa ila kuwa na jamaa yule mwanamuziki wa freestyle hawaendani.kwa sasabu godizilla sio hb na wala hajui hata kuvaa.yaani ukiwaangalia hata hawaendan
kipenda roho huzua msala,unakutana na demu mkali afu anatembea na joh makini
 
Kwanza niweke wazi tu kwamba huyu dada alikuwa ni mtangazajia wa clouds fm japo kwa sasa sijamsikia ,sijui katemwa au katema,NINAMPENDA SANA,ila kashawahiwa ila kuwa na jamaa yule mwanamuziki wa freestyle hawaendani.kwa sasabu godizilla sio hb na wala hajui hata kuvaa.yaani ukiwaangalia hata hawaendan
alafu jamaa wack! Wewe kunauhusiano gani wa mapenzi na u H.B ?????...
 
Back
Top Bottom