Uongo mbaya, Dee Andy haendani na Godzilla

mkuu ndo mapenzi hayo mwingine utaona anapendw tu watoto wazur hana pesa wala usharo ila mwingine mpaka aonge ndo apige so kama huna bahati ya kupendw na warembo vumilia tu usiumie kias hichi
 
😀😀😀😀
 
Wewe ni hb
 
Unaendana nae wewe, kamwambie tu aanze kukupekenyua marinda
 
wengine hatumjui ungeweka kapicha ingekuwa rahisi kulinganisha.
 
Tuwekee picha yako ww basi tuone mnavyoendana mkuu
 
Hata B12 n shadee hawaendan sijui b12 aliona nn pale ila mapenzi upofu
 
Ndio maisha yanavyokuwa Mzee, Kwani mengi anaendana na Kyline?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…