Uongo mbaya, Dee Andy haendani na Godzilla

Kwani mapenzi ni kuvaa tu na uhandsome?,
 
uchawi huo mkuu hadi wameachana kweli sasa. Ona sasa godzilla kila interview akiulizwa swali anajibu tofautiiii
 
Mapnz ni HISIA tu... Kwani bila hisia huyo unayemuona mrembo au HANDSOME ni UCHAFU TU
 
Mbona kamtu kenyewe kakipisi watu wafupi mna matatizo sana mwanaume anajisifia sura nzuri hujui unaweza kua chakula cha mtu
 
Farao
 


Kuna mwanamuziki gani wa bongo fleva anajua kuvaa? Jibu ni hakuna, wote ni wababaishji tu.
 
Hajui Kuvaa?
Unamaanisha nini unaposema hajui kuvaa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…