Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Tusisahau kuwa wapo hata matajiri wapuuziHapo vip!!
Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.
Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.
Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.
Nimeigopa jamhuri!!
Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Gaidi anaomba bora Magufuli angekuwa haiHapo vip!!
Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.
Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.
Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.
Nimeiyogopa jamhuri!!
Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Umefufuka leo, karibu na utupe habari mpya🏃.Gaidi anaomba bora Magufuli angekuwa hai
Hapo vip!!
Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.
Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.
Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.
Nimeigopa jamhuri!!
Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Ulihangaika na Sabaya hadi akala 30 ukiona hivi hivi. Naona umebaki ukiwa sasa, unadandia usiyoyaelewa.Gaidi anaomba bora Magufuli angekuwa hai
Alipataga koma baada ya lile lasha lake kula 30 yrs Kisongo. Amefufuka sasa.Umefufuka leo, karibu na utupe habari mpya🏃.
Leo wamesema wanasusia kutumia mtandao wa Tigo. Nadhani hii itasaidia Mbowe kushinda [emoji23][emoji23]Hapo vip!!
Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.
Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.
Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.
Nimeiyogopa jamhuri!!
Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Huwa na jiuliza is it possible hii kesi ni yakunga..na kama ni yakutunga niamini kesi ya namna gani sasa?Na uccm wangu hii kesi serikali ni aibu tupu ushahidi wa kiutopolo nani ashindwe. Kesi ya utopolo ubatizo wake ni utopolo. Dhihaka kwa mahakama na fani ya sheria.
This is a kind of its own on political spinning. Irregular and infantry spinning, fake and illogical laps are exposing a demising state.
Mkuu we waache tu, lakini Gaidi na Hujumu Uchumi Mbowe LAZIMA lile mvua za kutosha!Hapo vip!!
Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.
Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.
Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.
Nimeiyogopa jamhuri!!
Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Namwambia karibu tulijenge taifa na sii kulibomoa taifa, tuuvae uzalendo halisi na tuuvue uzalendo maslahi.Alipataga koma baada ya lile lasha lake kula 30 yrs Kisongo. Amefufuka sasa.
Twita tena..Kwani watu wa twita wanasemaje kuhusu huyu shahidi wa leo
Mkuu na hii post utalipwa ?Bado mnalipwa 7000/?.Mbowe hata wakimfunga hakuna shida tunataka katiba mpya.Hapo vip!!
Nafuatia kwa karibu sana hii kesi ya mbowe ila jamuhuri wamejipanga kwa ushahidi.
Binafsi naona meli inazama taratibu huku kelele,ambazo hazitasaidie kuokoa meli zikiongezeka.
Kwa ushahidi sidhani naona kama umenyooka kuliko hata ule wa Sabaya wa kuunga unga...na technologia aidanganyi...sijui tusubiri.
Nimeiyogopa jamhuri!!
Propaganda za vyomba habari na mitandaoni na hazitamsadia yule bwana.
Katiba mpya ndio mpango mzima kwani upuuzi no mwingi wakati huu ndani ya taifa, na ufumbuzi ipo ndani ya katiba mpya.Mkuu na hii post utalipwa ?Bado mnalipwa 7000/?.Mbowe hata wakimfunga hakuna shida tunataka katiba mpya.
We jamaa SITASAHAU kesi ya Sabaya ulivyotuaminisha kwa Comments zako nikajua SABAYA ANACHOMOKA.Huwa na jiuliza is it possible hii kesi ni yakunga..na kama ni yakutunga niamini kesi ya namna gani sasa?
We jamaa SITASAHAU kesi ya Sabaya ulivyotuaminisha kwa Comments zako nikajua SABAYA ANACHOMOKA.
Kumbuka kuna kufungwa na kuwekwa ndani.We jamaa SITASAHAU kesi ya Sabaya ulivyotuaminisha kwa Comments zako nikajua SABAYA ANACHOMOKA.