Uongo mbaya. Kwa huu mwaka huyu ndiye msanii anayeingiza pesa nyingi

Uongo mbaya. Kwa huu mwaka huyu ndiye msanii anayeingiza pesa nyingi

Aisee jamaa umeongea uongo ulopitiliza.Konde alifanya shoo gani za ulaya baada ya kutoka WCB?Au wewe uko ulimwengu gani?
 
Harmonize ka spend zaidi ya alicho ingiza niamini mimi....bado ana pitia kipindi cha kutoa sana

Full stop

sijui itakuaje
 
Back
Top Bottom