Space and Time, ni sisi binadamu tulio invent,
Kwenye vitabu vyenu hawajaeleza issue ya space and time.
Na Kwa mujibu ya nadharia ya space and time,
Hakuna kinacho exists nje ya space and time
Ujinga tu na ego ya intelligence waliopewa
Watu wanataka Mungu awe wanavyotaka wao ili wampime kwa kadiri ya ufahamu wao
God is beyond Matter Space and time
Ukiangalia Kwa Makini Tabia za mungu zinafanana kabisa na za shetaniKuna watu mtakwenda kuwa kuni za kuchomea wengine motoni
Mungu yupo
Mtafute kwa bidii utamjua
Najiuliza kwanini watu wengi wanakuja na ishu ya Mungu wakati hapa mleta mada anazungumzia hasa dini na sijui watu wanaelewa nini kuhusu neno mungu, kumbuka hapa mtoa mada hajakataa uwepo wa Mungu ila huyo Mungu wa kwenye hizo dini ndio anafikirisha harafu enyi watu weusi kumbukeni hizo dini mnazozililia hazina umri mrefu huku duniani hiyo ni civilization ya miaka 2000 iliyopita so mnataka kutwambia binadamu walikuwa hawamjui Mungu kabla ya wakati huo? Free up your minds [emoji18] [emoji92] binafsi naamini uwepo wa nguvu iliyokuu (kwa lugha ya kiimani MUNGU) ambayo ndio inacontrol the balance of nature. so linapokuja suala Mungu wa kwenye hizo dini zilizokuja juzi hapa napata ukakasi mwingi juu ya mafundisho na matendo yao.Huu ujasiri unautoa wapi ndugu yangu?
Mungu yupo na hakika wakati ukifika utajutia haya uliondika
Walikuwepo wengi waliompinga lakini sasa wako wapi?
Hata wewe utapita lakini Neno la MUNGU litasimama daima hadi ukamilifu wa dahari
Una akili timamu pasi na shakaPhilosophically,, every thing that does exist must have a cause ,,that cause is what we call the first principle,from that principle arise all realities,, Aristotle called it the first cause,,hii ipo hata waafrika tulikuwa tunatambua hivyo kwamba Kuna chanzo Cha kila kitu,mfano Kuna kabila lilikiita hicho chanzo Mlungu,,wengine Nyasaye,,na kwa kiswahil tunakiita MUNGU,,wazungu wanakiita God,,,lkn xax mm nakuunga mkono kweny muktadha wa dini jinsi wanavyomuelezea MUNGU sivyo kabisa,na ndio maana tunafeli sisi waafrika ktka nyanja mbali mbali
Ukiangalia Kwa Makini Tabia za mungu zinafanana kabisa na za shetani
MTOTO WA KUZINI. WAZANZIBAR NDIVYO WANAVYOITA HIVYO,WAZAZI WASIO DINI MOJA.Nimezaliwa na kulelewa mazingira ya uislam kwa mama na ukristo kwa baba, nazijua jua vizuri hizi dini
Mkuu Unataka kusema Mungu ni black hole.Mungu hawezi kuwa unavyo taka wewe mkuu
Mungu sio mtumwa wa Space time and matter
Kila kitu kinaangukia hapo kasoro Mungu
Nje ya space time matter binadamu know nothing
Eti Huyo mudi aka argue na Mungu kama watu wawe na swala 50 kwa siku ,wakapunguziana hadi 5 kwa sikuDunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Mayu, Mimi mtani wako kwa mara ya kwanza nitakusifu.Kwa hoja hii Niko pamoja na wewe kwa asilimia zaidi ya mia kama inaruhusiwa!. Dini zote ni ulaghai usio na mantiki hata kidogo! Only simple minded and those who benefit from the scam as you called it work on that! Hakuna shaka yoyote kuwa binadamu hawezi kujua lolote kabla ya uwepo wake. Haingii akilini kuniambia eti Wahindi wekundu huko Marekani na Waafrika, Wachina, Wazungu na waarabu wote tumetoka kwa Adam na Hawa. Pundamilia hazai punda kihongwe! Ni uongo wa aibu unaoaminiwa na hata wasomi wakubwa.Wanakabidhi uwezo wa kufikiri kwa watu ambao wakati mwingine ni wajinga kabisa.
Mkuu Unataka kusema Mungu ni black hole.
Mungu aliumba ulimwengu Kwa siku 6 ya 7 aka rest .
Hii inaonyesha Hata mungu hawezi kufanya chochote nje ya space and time .
Lakin kuna concept ya absolute time and absolute space.
Maana ya Kwamba time and space ni ya tofauti Kwa kila element.
Kwa hiyo mungu aliposema ameumba Kwa 6 na ya 7 aka rest, ni kulingana na sehemu alipo mungu na Kwa wakati huo.
Hata Sisi Huku duniani tumejiwekea Muda na space ambazo tumezipa majina.
Lakini ikitokea ukaishi nje ya dunia Basi time and Space vitabadilika , you know why? Bcz
Kila element ina time yake na space yake tofauti na mwingine.
Kwa hiyo space and time is illusions
📌Bibilia inasema siku moja kwa Mungu inaweza kuwa miaka mamilioni ya kibinadamu📌Bibilia ina ujumbe mkuu na wa msingi wa MUNGU but you have decide to deal with minor issues like numbers place name etc
Bibilia inasema siku moja kwa Mungu inaweza kuwa miaka mamilioni ya kibinadamu
Kabla ya huu ulimwengu kuumbwa hapakuwa na time space matter, viliumbwa pamoja
Hakuna akili ya binadamu inaweza kwenda beyond that
Dini ni hiari kufuata au kutokufuataDunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever