Space and Time, ni sisi binadamu tulio invent,
Kwenye vitabu vyenu hawajaeleza issue ya space and time.
Na Kwa mujibu ya nadharia ya space and time,
Hakuna kinacho exists nje ya space and time
Sisi tume invent majina tu
Ni kama hewa ya oxygen tu hatuja ivent sisi bali tumeipa jina tu