Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Watu wanataka Mungu awe kama wanavyotaka wao aweje

Jibidiishe sana kumtamfuta Mungu badala ya kutoa kufuru kwamba hayupo
 
Mpumbavu Namba moja duniani naweza kusema pacha wa firauni wewe. Wewe mtoa post ni firauni wa pili, mwenzio aliomba poo kwasbb aliletewa mtu wa kumuonya na akakana. Wewe ujumbe umeukuta na shuhuda za waliopita umezisikia na zipo vitabuni ila unajitia ubazazi dawa yko iko jikoni.
 
Wewe umemfanyia nini Mungu aliyekuumba, akakujaalia uhai, chakula, malazi, afya, pumzi and all you have!??? Zaidi ya kukufuru tu na kukithirisha UASI!!!!!
Hivi Kati ya alietengeneza Gari na Gari lenyewe yupi alikuwa anamuhitaji mwenzake? Of course ni alietengeza Gari ndie alikuwa anahitaji sana Gari! Na sio Gari kumuhitaji mtengenezaji, Sasa unaposema amemfanyia nini mungu hili swali linakosa mantiki! Hapo kiuhalisia anaemuhitaji mwenzake sana ni Mungu ndio anamuhitaji sana binadamu ndio maana akamuumba!
 
Hivi Kati ya mungu na binadamu ni nani aliyekuwa na uhitaji na mwenzake? Kati ya mtengenezaji na mtengenezwa?
 
Unaposema amekupa uhai je ulimuomba akupe uhai? Hapo naona huyo alah ali force mambo sababu, je kama mimi nilikuwa sitaki huo uhai? Je, Alinipa uhai kwa kujua kuwa nitafurahi sana? Je kama nilikuwa sitaki? Hapa alah amelazimisha mambo!
 
Na wanawake wanapewa nini huko peponi maana naona ahadi nzuri ni kwa wanaume tu!
 
Yesu hawezi kuwa Mungu hajawahi kuwa Mungu na hatokuwa Mungu.

Kijana nasisitiza hatuishi kwa kubahatisha, leta mfano hai.
Bwana kisai naomba unisaidie majibu haya, chanzo cha dhambi ni nini! Shetani ni nani alitokea wapi! Kama dunia hapo mwanzo ilikuwa na watu wawili tu mbona Kuna races mbali Bali mfano waafrika, wahindi, wachina nk. Asante
 
Bwana kisai naomba unisaidie majibu haya, chanzo cha dhambi ni nini! Shetani ni nani alitokea wapi! Kama dunia hapo mwanzo ilikuwa na watu wawili tu mbona Kuna races mbali Bali mfano waafrika, wahindi, wachina nk. Asante
Kisai unahitajika hapa ndugu
 
We mfia dini firauni sio Jina la mtu ni cheo ama wadhifa...ni kama Rais au mfalme, ukitaja firauni lazima utaje ni firauni yupi mana Egypt ya zamani ilitawaliwa na firauni kadhaa.
Halafu pia utuambie huyo mtu alieletwa Kwa firauni alikuwa wa dini ipi? Alikuwa mkristo ama muislamu?
 
Mkuu kwa umri wangu huu unadhani nitatishika na vitisho vya kitoto kama hivyo? πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…