Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Nimejua kwa sababu Mungu huyo haonekani, Hashikiki, Hasikiki wala Haisiki.Umejuaje kama Mungu hayupo ?
Kuna vitu viwili nikusaidie.
Wewe uko muathirima wa vita inayoendelea kwa sasa duniani. Vita vya fikra. Uko brainwashed.
Kila mmoja yuko brainwashed lkn je tu nani aliyechongwa na akatengezwa usahihi.
Computer zimetengezwa marekani, Lkn ili uweze tuzitumia na kutengeneza wanatoa kitu kinachoitwa manual.
Hivyo hivyo kwa Mwenyezi Mungu. Alipomiumba mwanadamu kampa Manual. Ambayo ndio Quran.
Bahati mbaya kuwa wapinga Quran. Na tishio zaidi wanafamika kama Orientalism.
Wewe ni miongoni mwa waliochukua mafunzo yao. Hivyo huwezi kuelewa upande wa pili wa Quran hadi pale kwanza uuache moyo wako huru ili uweze kuijua hii manual kwa usahihi.
Quran ni kama dawa yyt ile ukiweza isivyo sahihi itakudhuru.
Nimalizie kwa kukupa baadhi ya maana halisi ya maneno ambayo kwasasa yamebadilishwa maana.
Concept ya ibada au kuabudu.
Kwa asili mwanadamu kaumbwa kuwa submitted na kitu. Hivyo kama hutoweza kumsujudia muamba wako utasujudia other creatures or non creatures. Mf. Bangi, Pombe nk
Kitu chochote unakifanya kwa mazoezi ndio Mungu wako. Bila shaka hata wewe pamoja na kukataa lkn kuna kitu unachokiangukia. Huyo ndio Mungu wako.
Kwani kuna tofauti kati ya Mungu na Mwenyezi Mungu. Haya ni maneno mawili yanayopingana.
Mungu ana uwingi kwa maana Miungu.
Mwenyezimungu hana uwingi.
Wakati Mungu wako wengi waweza kuwa chchte, akowemo huyo shetani,
Sanamu, ng'ombe, miti, uchi nk.
MwenyeziMungu ni mmoja na wa pekee. Ambae ni Eloi au Allah kwa kiarabu.
Kwa mfano waTEC wanapoimba Mungu ibariki wanamaanisha Yesu ndie Mungu wao. Tofauti na mabaniani wakiamuni Ng'ombe.
Kama utakuwa na swali lolote kuhusu Mwenyezi Mungu niukuze.
Mimi ninalo.Kuna vitu viwili nikusaidie.
Wewe uko muathirima wa vita inayoendelea kwa sasa duniani. Vita vya fikra. Uko brainwashed.
Kila mmoja yuko brainwashed lkn je tu nani aliyechongwa na akatengezwa usahihi.
Computer zimetengezwa marekani, Lkn ili uweze tuzitumia na kutengeneza wanatoa kitu kinachoitwa manual.
Hivyo hivyo kwa Mwenyezi Mungu. Alipomiumba mwanadamu kampa Manual. Ambayo ndio Quran.
Bahati mbaya kuwa wapinga Quran. Na tishio zaidi wanafamika kama Orientalism.
Wewe ni miongoni mwa waliochukua mafunzo yao. Hivyo huwezi kuelewa upande wa pili wa Quran hadi pale kwanza uuache moyo wako huru ili uweze kuijua hii manual kwa usahihi.
Quran ni kama dawa yyt ile ukiweza isivyo sahihi itakudhuru.
Nimalizie kwa kukupa baadhi ya maana halisi ya maneno ambayo kwasasa yamebadilishwa maana.
Concept ya ibada au kuabudu.
Kwa asili mwanadamu kaumbwa kuwa submitted na kitu. Hivyo kama hutoweza kumsujudia muamba wako utasujudia other creatures or non creatures. Mf. Bangi, Pombe nk
Kitu chochote unakifanya kwa mazoezi ndio Mungu wako. Bila shaka hata wewe pamoja na kukataa lkn kuna kitu unachokiangukia. Huyo ndio Mungu wako.
Kwani kuna tofauti kati ya Mungu na Mwenyezi Mungu. Haya ni maneno mawili yanayopingana.
Mungu ana uwingi kwa maana Miungu.
Mwenyezimungu hana uwingi.
Wakati Mungu wako wengi waweza kuwa chchte, akowemo huyo shetani,
Sanamu, ng'ombe, miti, uchi nk.
MwenyeziMungu ni mmoja na wa pekee. Ambae ni Eloi au Allah kwa kiarabu.
Kwa mfano waTEC wanapoimba Mungu ibariki wanamaanisha Yesu ndie Mungu wao. Tofauti na mabaniani wakiamuni Ng'ombe.
Kama utakuwa na swali lolote kuhusu Mwenyezi Mungu niukuze.
Je Mungu huyo atabaki kuwa ni wa upendo wote!?Tetemeko ni sehemu ya WARNING SIGNS na ALAMA za uwepo wake....
Likitokea mwanadamu huhisi powerless na hutambua uwepo wa SUPREME POWER [SLMIGHTY GOD].....
Mwenyewezimu zna majesho mbinguni ns ardhini....
Tunatakiwa tutubie na kumrejea YEYE
Zaburi 53:1 Mpumbavu amesema moyoni hakuna Mungu......Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa βBibilia Neno la Mungu takatifuβ
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, βakashushiwaβ aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
Africans have been totally brainwashed and religious indoctrinated.1 Mungu ni mweza ya yote. 2 Mungu ni mwema. Hizo sifa mbili zimekaaje? Maafa yakitokea huwa Mungu analala? Amemshindwa shetani? Tusipokee tu kwa kuwa ni wazungu walisema, nasi tuhoji! Mimi kwa sasa nahoji mpaka "ufufuko " je ni kweli?I think not a historical event!!
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Je Mungu huyo atabaki kuwa ni wa upendo wote!?Tetemeko ni sehemu ya WARNING SIGNS na ALAMA za uwepo wake....
Likitokea mwanadamu huhisi powerless na hutambua uwepo wa SUPREME POWER [SLMIGHTY GOD].....
Mwenyewezimu zna majesho mbinguni ns ardhini....
Tunatakiwa tutubie na kumrejea YEYE
Bado hujajibu swali langu.Hayupo kwa sababu haonekani, Hashikiki, Hasikiki wala Haisiki.
Hayupo kwa namna yeyote ile, zaidi ya mawazo ya kufikirika tu.
Mungu huyo Hayupo katika uhalisia bali ni dhana ya kufikirika tu, imaginations just an illusion.
Uwepo wa ulimwengu unakupa ishara gani ? Kwamba je ulimwengu umetokewa pasi na chochote au Ulimwengu umejiumba ? Kama una sifa hizo mbili, thibitisha.Kitu kinaweza kuwepo angalau kwa namna mojawapo ya kuonekana, kusikika, kushikika au kuhisika.
Sasa, Mungu huyo Hayupo kwa namna yoyote ile.
Hapa bado hujaonyesha kutokuwepo kwa Mungu, bali umeonyesha ufinyu wa maarifa yako juu ya jambo la Mungu. Yaani humjui.Kitu ambacho hakipo, Kina sifa ya kutokuwepo katika uhalisia wa kuonekana, kushikika, kusikika au kuhisika.
Sifa yake ni mawazo ya kufikirika tu imaginations.
Hivyo hakipo kwa namna yoyote ile.
Wewe unaye mjua huyo Mungu elezea basi alivyo na mimi nipate kumjua?Hapa bado hujaonyesha kutokuwepo kwa Mungu, bali umeonyesha ufinyu wa maarifa yako juu ya jambo la Mungu. Yaani humjui.
Hapa kwenye mawazo ya kufikiria naomba ufafanuzi na uthibitisho.
Swali zuri.Sasa kama unajua Mungu yupo,
Niambie Mungu huyo yupo katika namna gani?
Kama unajua Mungu yupo Niambie ana umbo gani?
Kama umeweza kujua Mungu yupo elezea, umewezaje kujua yupo elezea yupo kwa namna gani, Na si mawazo yako ya kufikirika tu.
Sasa nazinguka vipi wakati nataka maelezo kwa anaye Pinga uwepo wake.Wewe unaye mjua huyo Mungu elezea basi alivyo na mimi nipate kumjua?
Mbona unazunguka zunguka sana.
We si una mjua huyo Mungu?
Eleza ana umbo gani na yupo kwa namna gani?
Mawazo ya kufikirika hayana uthibitisho kwa vile hayapo, sawa na huyo Mungu unaye sema yupo, ila mpaka sasa naku uliza yupo kwa namna gani una Zunguka zunguka tu...!!!!
Umemuelewa lakini ?Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja
Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
πππOkay so wewe upo submitted kwa mwarabu si ndio
Elezea sasa Mungu huyo yupo kwa namna gani na ana umbo gani?Sasa nazinguka vipi wakati nataka maelezo kwa anaye Pinga uwepo wake.
Ukifika wakati wangu hili rahisi sana.
Sikiliza ewe mpuuzi,unaye amini visivyo kuwepo.Sikilizeni enyi wapuuzi msioamini uwepo wa Mungu, injili itahubiriwa kwa mataifa yote, atakayeamini ataiponya nafsi yake. Msioamini mioyo yenu imejaa giza, mtaangamia kwa kukosa maarifa ya Mungu
Nimeshakujibu swali hili.Elezea sasa Mungu huyo yupo kwa namna gani na ana umbo gani?
Mimi nimesha kwambia kwamba π
Kisicho kuwepo haki hitaji uthibitisho wa kutokuwepo kwake kwa vile, Hakipo kwa namna yoyote ile ya kuonekana kusikika kushikika au kuhisika.
Haki elezeki, kwa vile hakipo kwa namna yoyote ile hata ya kuelezeka.
Sasa wewe unayesema Mungu huyo yupo,
Elezea yukoje, kwa namna gani?