Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

🤣🤣🤣🤣Asa mi natembea barabarani Kuna muislam anakuja na dini yake, wakristo wa aina zote, wahindu, wa Buddha...mbona kwenda mbinguni kunaanza kuonekana Kama mchezo wa kubahatisha upate jackpot
 
Ngumu kwa nani ? Wakati Waafrika wanajifunza Kiarabu na kuwasomesha Waarabu, bali ukisoma katika Historia wasomi wa lugha ya Kiarabu si Waarabu Kiasili.

Usiwasemee watu, sema wewe ndio unaona ngumu. Kijana naona umekosa hoja.

Hili kwake no rahisi ila hajataka kufanya hivyo, akaweka namna nyingine ambayo ndio hii.
 
Nataka ukosoe hayo kwa elimu na hoja.

Jua linatembea au halitembei ?

Suala la kuzama matopeni hili limeshaelezwa zaidi ya mara moja humu ndani.

Naam jua linaomba ruhusu, sababu ni kiumbe.

Hivyo vitu huvijui wewe, na hakuna zaidi ya Allah.

Nitakuuliza hivyo vitu vinaweza kuwa na sifa gani ?
 
Sijasema lugha ngumu nimesema means...yaani Kama Mungu ni muumbaji wa kila mtu...kwa Nini hatujazaliwa tunamjua...mpaka tukutane na mzazi muislam ndo atufundishe Quran au mzazi mkristo atufundishe biblia. If Mungu yupo ameshindwa kutoa means ya communication ambae kila mtu duniani angemwelewa kuliko hizi accident za geography na history
 
Nipe sababu tano za yule aliyeumba kila kitu na yeye alazimike kuumbwa ?

Unaamini Kuna Infinity series ?

Allah hajatokea bali yeye yupo.
🤣🤣🤣sababu ni moja .. according to u kila kitu lazma kiwe na mwanzo...so ukisema Allah Hana mwanzo tayari umejicontradict...umefanya special pleading
 
🤣🤣🤣🤣🤣Jua halizunguki dunia msianze kujikosha cjui milky way...nitafutie sehemu yoyote Quran nzima iliyotaja milky way...waislamu mnapenda kujikosha na kuforce vitu ambavyo havipo in ur books...🤣so usiku badala ya jua kua Brazil huko kumbe linaenda kumpigia magoti Allah lichomoze uarabuni Tena mtume alione...🤣 geography yenu nimeipenda
 
Mi nishasema jamani, mada hii inahusu dini kuwa scams, na ndo napogusia dini ni utapeli tu nothing else. Kuhusu kwa Nini embe tamu kuliko limao, kwa Nini jua linazunguka, that's non of our business wat we know we know wat we don't know tutaendelea kutafuta kadri ya uwezo wetu. Kwani vitu vingapi from earthquakes, magonjwa, volcanos, mvua, Radi etc tulikuwa tunajua ni act of gods lakini baadae watu wamekaa wametulia wamepata good natural explanations for this. Afu kingine, ukisema cjui kwanini matako mazuri au kwa Nini mavi yananuka, haya maswali kila dini inajifanya Mungu wake anamajibu. Kila dini duniani inajikuta ndo dini ya muumba mwenye uwezo wa kufanya na kujua kila kitu, so unakuwa hujasolve chochote asa. Wote hatujui tutulie tutafute majibu ambayo yanatuhusu na yanatusaidia mengine mdogo mdogo tutajua tu kwani Sayansi imeanza Leo....Leo mpaka watu wanaenda mwezini, Leo mpaka unaweza video call na mtu marekani, that's a miracle ujue and all that haijaja kwa kusali bali imekuja through research and development. Most ppo navyoona hawana shida na muumbaji kuwepo even though it's illogical let's assume it that way, by no means inafanya mtu aje aseme ametokewa na muumbaji pangoni yupo hivi na hivi na anataka hivi na hivi na Kama hutaki atakuchoma... that is childish stupidity ambapo watu wanabidi waache for realzy. Yaani kifo kimetumika Kama chanzo Cha kutishia watu maisha ambayo hayapo. Na dini zote zinatumia kifo kwa sababu no one Ashawahi kwenda na kurudi na kutuambia independently Nini Kiko kule coz if u die u die, haijalishi rich or poor, fat or thin, utakufa utaondoka wengine watakuja that's lyf. Asa kujikosha kwamba Kuna sehemu utaenda if u believe in an old man 2000 years ago, ni utoto mmoja tu. Why nisiadhibiwe now, Nina uhakika gani kwamba story yako ya ukweli na zingine za uwongo. Why is death the cut off, kwa Nini tusimwone huyo Mungu wa dini yenu afu ndo tuamini kuliko kufanya mtihani huko tumefungwa macho. It's pointless sometimes mpaka tunachokaga kubishana mada za kitoto hivi. Hizi dini ndo hata saa hivi zinaleta mgawanyiko within the nation, politicians wamezitumia Sana throughout history, wakoloni wamezitumia kutufanya watumwa, na bado watu wanazitumia kila siku kunyonya kaisari za watu maskini wakijenga majumba ya kifahari na kununua magari wakati wewe unaambiwa utapata vyako mbinguni.... it's very disappointing watanzania tumefanywa wajinga na hizi Mila na Imani potofu wakati wenzetu hata Kama Wana belief in God ila hawana this childish stupidity ya yote Mungu.

I said enough
 
Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja

Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
Mzee Masanja pale Gamboshi akipaa na ungo tunamuita mchawi na kumchukia, lazima Mzee Yesu wa Galilaya akipaa tunasema ni masihi anaenda Kwa Baba yake Mungu aliye hai..
Hizi dini zimetuhabia utamaduni Sisi waafrika
 
Nipe sababu tano za yule aliyeumba kila kitu na yeye alazimike kuumbwa ?

Unaamini Kuna Infinity series ?

Allah hajatokea bali yeye yupo.

Moja ya ushahidi wenu wa uwepo wa Mungu ni kwamba hii dunia na vyote vilivyopo LAZIMA kuna aliye viumba
Na ni MUNGU

Mkiulizwa na Mungu ameumbwa na nani kama kanuni inasema kila kitu lazima kimeumbwa na muumbaji?

Mnaanza ngonjera za kumuwekea Mungu u special kwamba alikuwepo tu

kanuni yenu inatoa hitimisho moja tu

Mungu ameumba dunia baada ya yeye kuwa aliumbwa, na aliye muumba na yeye aliumbwa....... infinity
 
Mkuu, eleza chanzo cha binadamu na utoe facts kama ulivyosema.

Hayo mengine unayoyafanya hapa ni uhuni tu.

Sijui kila kitu, ndo maana nakwambia unipe hizo facts za chanzo cha binadamu.
Nimekuambia wewe,mimi nitakuambia kaumbwa Mungu na wewe si hauamini...
 
Ana sifa zote
 
Ila kumpiga mtu mawe unaweza coz Imani yako Ina ruhusu...u see, this is wat religions do to ppo... matokeo yake watu wanalipua majengo na kuuwa watu...
Weka ushahidi wapi kwenye Uislamu hili limeruhusiwa ?

Achani uzushi na uzandiki, muwe mnasoma mnatupa tabu sana kwa ujinga wenu.
 
Sio hajaamini, sababu umepewa akili na moyo kwa ajili ya kutambua mambo, na kuhifadhi mambo na kujua ukweli na uongo.

Lazima utaadhibiwa sababu unakuwa umekaidi kwa makusudi na kufata upotevu.

Hilo haliwezekani sababu Yesu hawezi kuwa Mungu Wala hakuwahi kuwa Mungu. Nilikwambia huko mwanzo kwamba hatuishi kwa kubahatisha.
 
🤣🤣🤣🤣Asa mi natembea barabarani Kuna muislam anakuja na dini yake, wakristo wa aina zote, wahindu, wa Buddha...mbona kwenda mbinguni kunaanza kuonekana Kama mchezo wa kubahatisha upate jackpot
Akili ya kawaida inakubali ya kuwa kama Mungu ni mmoja basi dini ya Mungu lazima itakuwa Moja, mitume wote na manabii walikuwa Waislamu.

Sababu nyinyi sio wasomaji mnasikia sikia tu, ukisoma Historia ya hizo dini nyingine utaona uongo wake wa wazi.

Mbinguni huendi kwa kubahatisha, bali kwa elimu na kuitendea kazi elimu husika.
 
Wapo ambao wamezaliwa na wazazi ambao si Waislamu na Sasa ni Waislamu. Unaandika nini kijana ?

Hata hiyo means, Allah angetaka wote tuwe Waislamu tungekuwa ila hajafanya hivyo kwa hekima zake na taratibu zake kwa makusudi ili tufikie lengo la sisi kutuumba.

Kingine ametoka hiyo means na akaweka hali wezekano ya kuimudu hiyo means ndio maana hata sisi tusio Waarabu tumesoma na Tunaendelea kusoma na tunakijua.

Sasa kwa utaratibu wa Allah ni kuwa lazima uweke juhudi katika kuliendea jambo fulani na hapendi watu wazembe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…