Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously
emoji15.png
?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani
emoji15.png

Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Kama wewe ni Mkristo
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously
emoji15.png
?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani
emoji15.png

Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png

Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
Tafuta sana maarifa ya Neno la Mungu usije ukaangamia bila hiyo. Otherwise utubu kwa hayo maandiko unayopotosha nayo watu ili wakuamini. Tangu mwanzo wa maandiko yako hadi mwisho hakuna hata quote moja inayotoka kwa vitabu vya Munngu ikimaanisha ni mawazo yako ya kufikirika. Mungu huyo huyo akusamehe tu bure
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
 
Kama wewe ni Mkristo

Tafuta sana maarifa ya Neno la Mungu usije ukaangamia bila hiyo. Otherwise utubu kwa hayo maandiko unayopotosha nayo watu ili wakuamini. Tangu mwanzo wa maandiko yako hadi mwisho hakuna hata quote moja inayotoka kwa vitabu vya Munngu ikimaanisha ni mawazo yako ya kufikirika. Mungu huyo huyo akusamehe tu bure
Kwanza, Thibitisha kama huyo Mungu yupo na si mawazo yako ya kufikirika tu.

Eleza Mungu huyo yupo kwa namna gani?

Acha kuleta Hofu zako na propaganda za kidini hapa.
 
Ndio maana unaambiwa huo upendo wote wa mungu hauna mantiki

Inakuaje atuumbie mashida yote hayo wakati alikua na uwezo wa kutoziumba?
Binadamu anapewa mitihani na ameumbwa kuhangaika ...Mpaka elimu yako wewe lazima haoa duniani unapewa elimu ila utapewa mitihani ili kupima uwezo wako .
 
Mungu ni chanzo cha kila kitu duniani. Sisi kaballah tunaamini kuna nguvu kuu ambayo ndio inaendesha ulimwengu
Mungu ni kitu ama Si kitu?

Kama Mungu huyo ni "Kitu" kilichopo na Yupo, lazima awe na chanzo chake, Maana na yeye ana sifa ya kuwa "Kitu"

Maana umesema, Kila kitu kina chanzo. Basi hata huyo Mungu kwa vile ni kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo chake.

Kama Mungu huyo Si kitu, Basi HAYUPO maana kanuni ni kwamba, Kila kitu lazima kiwe na chanzo chake.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mbona unakimbilia kuniita maskini badala ya kujibu hoja (halafu hata hunijui[emoji23][emoji23]). Hii fallacy kwenye logical argument inaitwa Ad Hominem. Ni ujanja wa mtu kukwepa kujibu hoja ndo utaskia kwanza una sura mbaya huna neema ya sura nzuri, mara ohh we maskini huna neema ya utajiri. Maskini ndo wanaongoza kwenda kanisani kulia lia, kutolewa mapepo hutamkuta mtu mwenye uchumi mzuri anililia neema.

Nimeuliza na waliopata utajiri Kwa madawa, kudhulumu, wezi wa mashirika makubwa Hawa pia ni mungu ndo alipanga

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Ww si umesema wewe ni tajiri😂😂? wewe sio tajiri acha kudanganya watu ,wewe ni mtu wa hali ya chini ndio maana una makasiriko na neema za Mungu.

Hata hao pia Mungu kapanga ,Mungu anatoa kwa wanadamu wote hapa duniani na wala hatoi adhabu hapo kwa hapo....kwani wewe ukitoa logic yako hayo madawa na kudhumulumu kwako sio dhambi kwa vile huamini kweny Mungu.

Una wasiwas gani kwa wauza madawa na wanaodhulumu wakati huamini Mungu😂?

Haina mantiki kabisa kumsema muuza madawa wakati unaamini hamna Mungu,umejuaje kama kuuza madawa ni kosa kwa sheria zipi ?
 
Mungu ni kitu ama Si kitu?

Kama Mungu huyo ni "Kitu" kilichopo na Yupo, lazima awe na chanzo chake, Maana na yeye ana sifa ya kuwa "Kitu"

Maana umesema, Kila kitu kina chanzo. Basi hata huyo Mungu kwa vile ni kitu kilichopo lazima kiwe na chanzo chake.

Kama Mungu huyo Si kitu, Basi HAYUPO maana kanuni ni kwamba, Kila kitu lazima kiwe na chanzo chake.
Hicho chanzo ndio yeye.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] kupumua sio neema ndugu yangu tuna respiratory system kwenye miili yetu. Ikifunuliwa njia ya upumuaji wa binadamu utaweza kunionyesha sehemu ambayo hiyo neema ipo inasaidia upumuaji? Au kuna sehemu kwenye njia ya upumuaji inaitwa neema sisi hatujui?

Sent from my M10_Max using JamiiForums mobile app
Aliyekufa hana respiratory system 😂😂? Anayelipia oxygen ili kupumua akiwa hospital hana respiratory sytem?


Kama tunalipia oxygen kipind fulani kutokana na matatizo ,je hii oxygen ya asili tunayopumua ya nan?

Mbona hamna hoja kama sio wasomi..
 
Haya yote unayoyasema na unayoyafikiria na unatamani yawe kama wewe unavyotaka hizo zote ni sifa ambazo binadamu ameumbwa nazo

Yani kama usingekuwa na hivyo vitu akili mwako basi wewe usingekuwa binadamu ungekuwa ni kiumbe mwingine labda Ndege au Mbuzi hiyo inaitwa nafsi/matamanio ni viumbe wawili tu wamepewa binadamu na majini na ndio maana wamewekewa moto na pepo chaguo ni lao wapi wanataka waende

Malaika hawana nafsi/ matamanio na ndio maana wao wanaishi peponi na wataishi huko milele

Malaika anafanya Yale tu aliyoamlishwa na Mungu afanye asiyoamlishwa na Mungu hafanyi

Ila binadamu amepewa option

Kumbukumbu la Torati 11:26
Angalieni, nawawekea mbele yenu hivi leo baraka na laana;

Kumbukumbu la Torati 11:27
baraka ni hapo mtakapoyasikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, niwaagizayo leo;

Kumbukumbu la Torati 11:28
na laana ni hapo msiposikiza maagizo ya Bwana, Mungu wenu, mkikengeuka katika njia niwaagizayo leo, kwa kuandama miungu mingine msiyoijua.
Sikuelewi binadamu ameingiaje afu na ukaanza kunihadithia hekaya za wayahudi
 
Swali lako halijakamilika, nenda kasome mafundisho ya Uislamu juu hili, kisha uje kuuliza swali.

Kwenye nchi ya Kiislamu, Muislamu akiliritadi hukumu yake ni kuuliwa.
😙Asante kwa kunijibu...🤣
 
Hapa tunamuongelea Allah muumba ambaye hakosei.

Unapo muweka mwanadamu, ujue ni mkoseaji Kuna muda anapatia na Kuna muda anakosea.

Swali lako halina maana sababu umeweka mfano "Mfu".
🤣 Nimeweka mfano halisi, so far huna hoja... hoja yako ni kitabu Cha muarabu kimesema na ninaamini...so hatuwezi kuwa na serious convo
 
Aliyekufa hana respiratory system 😂😂? Anayelipia oxygen ili kupumua akiwa hospital hana respiratory sytem?


Kama tunalipia oxygen kipind fulani kutokana na matatizo ,je hii oxygen ya asili tunayopumua ya nan?

Mbona hamna hoja kama sio wasomi..
🤣Why nani... why kila kitu kiwe na mtu...yaani kuna mtu anamiliki oxygen...mbona tunaota ndoto za watoto jamani
 
Hivyo vitabu ni vya muongozo. Huwa najiuliza vijana mbona weupe sana. Halafu mnaingia katika mijadala kama hii ?

Yaani unaulizia swali la kijinga mpaka mtu unajiuliza kwanini usinge fatilia kwanza haya mambo kisha uje kujadiliana ?

Allah aliteremsha vitabu vinne na msahafu wa Ibrahimu, vyote wakati wake umepita kimebaki Qur'aan.

Maana yake Qur'aan ni kitabu ambacho ni muongozo kwa watu wa zama hizi mpaka pale Kiama kinasimama.

Sasa nitakuuliza wewe, kitu gani kwenye vitabu hasa Qur'aan hakielezei wakati huu ?

Qur'aan imekataza watu kula Riba, je Kuna zama ambazo watu wanakula riba kushinda zama hizi ? Mafundisho yanasema kutafikia zama watu watahalisha zinaa, je zama hizi zinaa haionekani kwamba ni halali ? Sasa unaandika nini kijana ?

Unakuta unapinga vitabu halafu hujawahi kusoma hata herufi Moja ya kitabu husika. Huu ni uhayawani.
Why muweza wa yote anatumia kitabu....? Wewe Leo ukitaka kujua kitu unatafuta kitabu au si unaingia mtandaoni unatafuta credible unbiased source, halafu hizi story za kutokeana kwa Nini asingesubiria tupate technology ya anga na ya internet na camera tuweze record Musa akivuka bahari, Muhammad akigawa mwezi, afu why no archaeological evidence au shetani ndo kaficha ili Mungu atutest...😴all of this doesn't make sense yo
 
Back
Top Bottom