Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Kwa nini ni hadithi za kusadikika?

Havina ushahidi wa uwepo wake

Na hadithi hizo hazina uhalisia haziendani wala kuleta MANTIKI

Unaambiwa shetani anatufanya tufanye dhambi...... anatufanya kwa vipi haswa? Wewe amewahi kukuhadaa? How?
Yaani napiga tungi kwa hiyari yangu hapo shetani anaingiaje? Mbona sijawahi kumuona au kumuhisi tu akiniambia kamata demu ukazagamue?

Roho ndio lidubwana gani linathibitikaje kuwa lipo?
 
Umepunguza hasira yangu dhidi ya uyu jamaa!

Yuko Blank kabisa!

Nitamjibu kwa kumsaidia baadaye!

Ila umempa kitu cha maana sana!

Kwamba Uchawi ndiyo lakini Mungu hayuko...Bogus a hundred times!!!
Umefatilia Uzi tokea mwanzo ama umebagua tu vya kusoma!
 
Hapo umesema malaika hawana nafsi je ni viumbe? Na je Wana mwili?
 
Mbingu Haipo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

If you fail to live on Earth, Heaven is an illusion.
Kwani mbinguni ni nini? Halafu kuishi kwa nini kuna mpaka. Yaani Kwa nini viumbe haviishi milele badala yake vikifika umri fulani hufa?

Mduara wa maisha (life circle) unajisimamia ama unasimamiwa na nani?
 
Lazima atajwe si ndio malezi tuliokuwa nayo. Neno mama linatajwa zaidi kuliko Mungu, ama utabisha
 
Kwani kutokuwepo kwa Mungu kuna maana mimi ndio niwe na hizo nguvu?
Ulivyo sema baada ya kuona watoto wanaumia namna ile.. na wewe ulisema uliumia sana.... Ukajiuliza huyu Mungu vipi huyu?... KWa maana hiyo.. una jawabu la tatizo la hao watoto.... Au uliumia tu na ukakosa la kufanya na KWa kwakuwa ukweli usiopingika ya kwamba huna la kufanya?
 
Kwanini Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya?

Unataka kusema Mungu angeshindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekni!?

Je Mungu hakujua kama kutatokea uasi!?
 
Ni hadithi za kusadikika kwa sababu Hazipo kwa namna yoyote ile,

Hazionekani, Hazishikiki, Hazisikiki, Hazihisiki.
Kuonekana kukoje. Kama kuonekana ni kizingiti kwa upeo wa macho kwa kweli Mungu haonekani.

Lakini kama Mungu kuonekana kwake kunatokana na fikira ya binadamu kuhusu maumbile ya ulimwengu na jinsi ulimwengu unavyotenda kazi, basi Mungu anaonekana.

Kwa nini umewaza kuwa Ili Mungu awepo ni lazima awe anashikika? Kwa ivo Kwa kuwa Mungu hashikiki basi ndiyo kwamba hayupo.

Unataka kuiona Mbingu Ili ufanyaje wakati unaambiwa kuwa Mbingu ni suala la kiroho??
 
Kwanini Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote kaumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya?

Unataka kusema Mungu angeshindwa kuumba ulimwengu ambao mabaya hayawezekni!?

Je Mungu hakujua kama kutatokea uasi!?
Wewe unataka ulimwengu usio na mabaya uumbwe na Mungu usiyeamini kuwepo kwake??

Kama huamini kuwa kuna Mungu basi amini pia kuwa hakuna shetani. Na kama hakuna Mungu Wala shetani basi hakuna uwezo wa kupima mema ama mabaya.

Maana jambo linakuwa jema ama baya kwa kigezo gani? Mtu akizini, akiiba, akisema uongo, akiua au akisingizia mtu, haliwezi kuwa jambo jema ama baya Kwa kuwa hakuna chanzo cha kuonesha jambo husika kama ni jema ama baya

Kama huamini kuwa kuna Mungu, basi usiuchukie ushoga!!!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bas Kama ni mmoja wote tungekuwa na Imani sawa...,[emoji1787]so roho yangu ndo imeumba ulimwengu...hii analogy mbona inaanza kuvunjika yenyewe umedanganywa na mchungaji gani
Wewe unahisi kile Mungu alipulizia kwenye udongo aliofinyanga kumuumba Adam ktk maandiko ilikua ni pumzi ya uzima kutoka respiratory za nani?
 
Ndio maana nakwambia hivi 👇

Mungu huyo, Hayupo katika uhalisia ila katika mawazo ya kufikirika tu.

Mungu ni dhana ya kufikirika, Imagination just an illusion.

Hayupo kwenye uhalisia.
 
Kwani mbinguni ni nini? Halafu kuishi kwa nini kuna mpaka. Yaani Kwa nini viumbe haviishi milele badala yake vikifika umri fulani hufa?

Mduara wa maisha (life circle) unajisimamia ama unasimamiwa na nani?
Mbingu ni dhana ya kufikirika ambapo watu hudhani kwamba baada ya kufa watakwenda huko.

Viumbe lazima vife ili vingine vipate nafasi ya kuishi.

Fikiria kwamba, Kungekuwa hamna Kifo Population ya watu, wanyama na viumbe wengine duniani leo hii ingekuwa kiasi gani?

Vuta picha kwanza hilo nyomi la watu lingekuwa kiasi gani?😄

Si kungekuwa hakuna hata nafasi ya kupita, Yaani tungekuwa tumebanana sana.

Yani tungekuwa billions of billions ya watu na wanyama.

Sasa unategemea hapo tunge ishije?

Watu na wanyama lazima wafe, ili viumbe wengine wapate nafasi ya kuishi.

Babu yako mzaa babu yako wa babu yako asinge kufa, Leo hii wewe ungeweza hata kumiliki ardhi hapo nyumbani kwenu?

Usinge pata hata hiyo nafasi.

Kifo ni muhimu ili nature iende na uwiano wa viumbe hai wote.
 
Je, kitendo cha kumchoma moto mtoto wako kama adhabu kitatafsiriwa na jamii kama cha upendo?
Ndugu na jamaa zako watakuona kama baba mwenye upendo au vinginevyo?

Vipi jirani yako angefanya kitendo kama hicho. Je, utaamini ukiambiwa jirani huyo alikua ni mtu mwenye upendo sana kwa mtoto wake??
 
Ni Watu wajinga tu wasioamini uwepo wa Mungu na mwanaye yesu kristo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…