Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Tatizo lako lilianzia hapa, Nna uhakika hata mama na baba yako hawakuishi pamoja hivyo bado una hasira na kukosa malezi pande mbili na umeona Mungu ndio wa kulaumiwa kwa hayo umepitia
Acha kuattack maisha yako usiyojua...jibu kwa hoja
 
😊Aaaw nyc story...
 
Tulia!

Soma vizuri!

Natural Disaster zinatokana na uchokozi wa Nature yenyewe!

Ni Uchokozi wa Mwanadamu kwa Nature!

Standard and Nature itself is Principally and Fundamentally God himself!
So tetemeko linasababishwaje na binadamu. Relate to morocco wamefanyaje mpaka tetemeko limetokea na mafuriko Libya binadamu wamefanya Nini mpaka mafuriko yametokea
 
Asa vita si inasababishwa na watu...na waliona watu washaanza chuki it was inevitable. Wangetabiri tetemeko au dunia kuisha mwaka fulani ndo ningewaona wa maana...hamna kazi hapo ni sawa mtu aone Russia na Ukraine wanabifu tokea 2014 afu aseme ametabiri vita cjui yeye ni mtume
 
Wewe haupo motoni wala mbinguni.Upoupo tu.
Mbinguni Kuna Nini ambacho unataka uende. Kumsifu Mungu 24/7 for millions of years...maana hata kanisani unaona uvivu... na old testament haina record of hell or fire. So it wasn't good enough, the only reason unataka kwenda mbinguni ni kwa sababu unaogopa moto. And that's what they want, kutishia watu into following their dumb rules n stupid unscientific mythological beliefs...
 
Kwa nini hukujiita paka shoga?
Sababu: Unapenda vitu vizuri na ukuu/kuogopeka.Una tofauti gani na anayetamani kwenda mbinguni?
 
Uzoefu wako upi?

Kwanza, Thibitisha huyo Mungu yupo?

Kisha eleza jinsi gani Mungu huyo hatetewi?

Maana ninyi kila mara mna mtetea Mungu huyo, panapo azishwa nyuzi za kutokuwepo kwake.
We mwenye ushahidi usiotia shaka kwamba hayupo tuwekee hapa. Sio porojo za maumivu ya sonona inayokusumbua unataka tuishiriki.
 
Hujanijibu bado

Ila umejibu kitu tofauti na nlichokuuliza mimi.

Habari ya kusema ni umaskini wa kugha na nyakati inakuwa haina mashiko,

kwenye kitabu cha Mungu wako, Utajuaje kama mstari uusomao leo uko sahihi kama inawezekana kulikuwa na umaskini wa lugha na nyakati?

Labda unataka kusema "Mungu kukasirika na kushusha gharika ili aue watu" ni umaskini wa lugha kipindi hicho?

Au mstari huo umekosewa?
 
We mwenye ushahidi usiotia shaka kwamba hayupo tuwekee hapa. Sio porojo za maumivu ya sonona inayokusumbua unataka tuishiriki.
Kisichopo ni hakipo tu.

Mungu muweza wa yote mjuzi wa yote na mwenye upendo wote aliyeumba ulimwengu huu wenye kuruhusu mabaya hawezekaniki.

This is a logical proof!!
 
Kuamini hukatazwi.

Ila ukisema ni ukweli na ni halisi utaombwa proof ya mbingu, jehanamu na Mungu.
 
Tatizo lako lilianzia hapa, Nna uhakika hata mama na baba yako hawakuishi pamoja hivyo bado una hasira na kukosa malezi pande mbili na umeona Mungu ndio wa kulaumiwa kwa hayo umepitia
Huyo Mungu yupo kweli?
 
Sasa adhabu si imeambatana na kuua, je mtoto asingekufa ingekuwaje ?

Kijana unakielewa unacho kiandika ?

Sawa nia yake ni kumuua, kwa kumuadhibu kwa njia ya moto, nia ni kumuadhibu kwa kumuua kwa moto, nia ni njema lakini njia aliyo itumia si sahihi ya kumuua kwa moto.
 
Wewe unaweza kumuua mtoto wako kwa kumchoma moto mpake afe pale anapokosea kwa kumhurumia??
Hili swali lingine Sasa, usiseme kwamba swali hili sijajibu.

Nakujibu Sasa swali hili, siwezi kumuua sababu kuua adhabu ya moto ni kwa Allah tu na mwanadamu harusiwi kutumia moto kuadhibu.
 
Naona unaendelea kudhihirisha utoto wako, sababu una akili ndogo.

Nukta ya kutegemea huenda hata hao ndugu wakafurahia kitendo hicho kutokana na makosa ya mtoto huyo, mara ngapi ndugu wa karibu hufurahia kufa kwa ndugu yao kutokana na usumbufu na tabia mbaya alizo nazo, mpaka wengine husema "Bora afe tu" ?

Lakini huenda pia wakahuzunika kutokanana njia iliyo tukiwa na mzazi, wakasema bora angemuua kwa njia nyingine lakini si kumchoma moto.

Shida yenu, huwa inakuja katika kuyatazama mambo, mara nyingi huwa mnayatazama mambo juu na si katika uhalisia wake, inapelekea kuacha mambo mengi ya msingi kuhusu mambo hayo.

Hakuna kejeli niliyo itumia zaidi ya kukupa stahiki, hivi ukimuita "Mwizi" mtu ambaye ni "Mwizi" kweli hilo ni kosa au unempa stahiki yake ?
 
Kwa hiyo Kwa kifupi ni kwamba Hawez kuumba Mungu mwingine mkubwa kuzidi yeye si ndio!?
Hili swali la uongo. Uliza swali sahihi, ushaambiwa hakuna kinachozidi uwepo wake, wewe unakuja kuuliza hawezi kuumba kinacho mzidi ? Unaakilo kweli kijana ?

Au huwa unafurahi kuleta utoto katika mada za wakubwa na za kielimu ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…