Adam alitumia kitabu/mwongozo upi mana umesema nae alikuwa islam
Mtoto asingekufa adhabu ingekua haijafanyika kabisa.Sasa adhabu si imeambatana na kuua, je mtoto asingekufa ingekuwaje ?
Kijana unakielewa unacho kiandika ?
Sawa nia yake ni kumuua, kwa kumuadhibu kwa njia ya moto, nia ni kumuadhibu kwa kumuua kwa moto, nia ni njema lakini njia aliyo itumia si sahihi ya kumuua kwa moto.
Sawa bana...😊amini chochote ni haki yako ya kikatiba😂😂Binadamu hajui kesho yake hatafanana vip na Mungu kiuwezo? 😂
Mjadala ni dini...na najua dini ni za uwongo na hata siendi mbali nasoma bible na Quran tu najua ni uwongo. Hata bila kuhangaika Sana... it's so easy to disprove religionSasa kwanini unajadili katika namna ya ujuaji na hujui ?
Maana haukupaswa kujadili mjadala huu.
🤣Si ndo hawezi asa...mbona unakimbiaHili swali la uongo. Uliza swali sahihi, ushaambiwa hakuna kinachozidi uwepo wake, wewe unakuja kuuliza hawezi kuumba kinacho mzidi ? Unaakilo kweli kijana ?
Au huwa unafurahi kuleta utoto katika mada za wakubwa na za kielimu ?
Basi mi namtii BuddhaSio kila mitume au manabii au wanadamu walipewa vitabu.
Adamu alikuwa anapewa maelezo ya Moja kwa moja toka kwa Allah. Kitendo Cha kujisalimisha kwake kwa kumtii pasi na kumshirikisha na chochote huo huitwa "UISLAMU".
Mara ngapi watu wanakusudia kuua na mtu hafi ? Na unaweza kuadhibu na mtu aside kama ulivyo kusudia ? Kwanini unaleta ubishi wa kitoto ?Mtoto asingekufa adhabu ingekua haijafanyika kabisa.
Baadhi ya adhabu zinaweza kuonya na kukemea. Hivyo nia yake ni njema, kukemea na kuonya ili kosa lisijirudie.
Nia ya kumuadhibu kwa kifo ni njema? Kuna jema gani kwenye hiyo adhabu?
Tusitoke kwanye mada.
Nilitaka kujua tu kile kitendo cha mzazi kumuua mtoto wake kama adhabu ni kitendo cha upendo?
Elewa neno kitendo. Ni hilo tu. Huko kwingine tuachane nako.
Leta huo uongo tuuone hasa katika Qur'an.Mjadala ni dini...na najua dini ni za uwongo na hata siendi mbali nasoma bible na Quran tu najua ni uwongo. Hata bila kuhangaika Sana... it's so easy to disprove religion
Sio kila mitume au manabii au wanadamu walipewa vitabu.
Adamu alikuwa anapewa maelezo ya Moja kwa moja toka kwa Allah. Kitendo Cha kujisalimisha kwake kwa kumtii pasi na kumshirikisha na chochote huo huitwa "UISLAMU"
Tushasema Mara kibao . Ila unaishia kujikosha tu..so tumechoka.Leta huo uongo tuuone hasa katika Qur'an.
Hawezi vipi ? Unajua maana ya swali la uongo ? Ushaambiwa hakuna kinachozidi uwezo wake, wewe unakuja kuuliza je anaweza kuumba kitu kinachozidi uwezo wake ? Hii akili au wendawazimu ?🤣Si ndo hawezi asa...mbona unakimbia
Huna akili.Basi mi namtii Buddha
Weka nukta Moja baada ya nyingine, na uhakikishe unacho kiweka unalijua, maana nyinyi mnashida ya kuokoteza vitu mitandaoni pasi na kuvifanyia uhakiki, mkivileta humu mkibanwanakimbia.Tushasema Mara kibao . Ila unaishia kujikosha tu..so tumechoka.
Katika mjadala wenye maelewano, kuna mwendelezo wa mjadala,Mfano ulio nipa hauendani na jambo kabisa Wala hata kukaribia jambo lenyewe. Maelezo ya kwanini hauendani nimekupa Sasa wewe ni jukumu lako kuonyesha kwa kipi mfano ulio utoa unaendana na jambo husika.
Ili ujue kama nimeelewa au sijaelewa soma maelezo niliyo kupa kisha uje kukosoa nilicho kiandika.
Vijana weupe sana, unataka kuhamisha goli sio ?
Hujui kuwa jua ni nyota!!Kitu gani ambacho sikijui nje ya Qur'aan nimekipinga ?
Mimi kitu ambacho sikijui huwa nakiri ya kuwa sikijui, sababu sishindani na mtu.
Onyesha kitu hicho ambacho sikijui nje ya Qur'an, katika mjadala huu ?
Na Mimi nikakujibu ya kuwa ili uone kama sijakuelewa kosoa ule ukosoaji wangu juu ya mfano wako.Katika mjadala wenye maelewano, kuna mwendelezo wa mjadala,
Ili tutoke hapa nmekuuliza swali ili tuuelewe mfano,
Kwasababu hujui chochote umerudi hapa hapa,
Umerudia tu kusema kwamba mfano hauendani.
Ila nlikuuliza kwamba unaelewa hata mfano nliokupa ulikuwa unalenga kujadili nini/dhana ipi?
Weww kama ni mwerevu Jibu hili tutoke hapa.
Kwanza umeshaelewa kuwa jua ni nyota?
Kwetu sisi Jua ni jua na nyota ni nyota, ila kwa Wanasayansi na watu wa Astronomy wanasema Jua ni nyota.Hujui kuwa jua ni nyota!!
Kisai, hilo swali nimeuliza post #1595. Hapo nimelirudia kwa mara ya pili. Either hausomi kwa makini au ni muongo kupindukia.Hili swali lingine Sasa, usiseme kwamba swali hili sijajibu.
Nakujibu Sasa swali hili, siwezi kumuua sababu kuua adhabu ya moto ni kwa Allah tu na mwanadamu harusiwi kutumia moto kuadhibu.
Sawa.Nukta ya kutegemea huenda hata hao ndugu wakafurahia kitendo hicho kutokana na makosa ya mtoto huyo, mara ngapi ndugu wa karibu hufurahia kufa kwa ndugu yao kutokana na usumbufu na tabia mbaya alizo nazo, mpaka wengine husema "Bora afe tu" ?
Lakini huenda pia wakahuzunika kutokanana njia iliyo tukiwa na mzazi, wakasema bora angemuua kwa njia nyingine lakini si kumchoma moto.
Huwezi kuona, utaonaje Sasa kwamfano? Mungu amejaza ubongo wote😂Sioni logic yako 🤣🤣kaa pembeni .!!