Adam alitumia kitabu/mwongozo upi mana umesema nae alikuwa islam
Sio kila mitume au manabii au wanadamu walipewa vitabu.
Adamu alikuwa anapewa maelezo ya Moja kwa moja toka kwa Allah. Kitendo Cha kujisalimisha kwake kwa kumtii pasi na kumshirikisha na chochote huo huitwa "UISLAMU".