Kupitia nadharia za Ki sayansi kama Big Bang ambazo Zina ushahidi wa kisayansiChanzo cha ulimwengu ni nini kwa unavyofahamu
Sasa nawewe unataka tuamini kwamba huamini ktkt haya sababu hukupata msingi thabiti katika kujifunza si ndio??
Kama ungeaminishwa vyema usingekuja na tantalila za aina hii,ungekuja na hizo unazoona ni za ajabu.
Imani bila kutumia akili nayo ni ujinga kama ujinga mwingine,aele mayo.Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Anataka kuvunja code of civilization. Religion is myth.Kwahiyo msingida point yako niipi au baada ya kuandika hivi nini kifanyike. Kumbuka huu ubaya wote uliopo duniani ungekuwa mara dufu bila dini kwahiyo unataka kufumbia watu macho ili uhalifu oungezeke sio???
Umesikika MKRISTO mla NGURUWEDunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu
Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea
Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata
Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje
Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake
Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair
Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu
Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk
Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Umesikika MKRISTO mla NGURUWE
Shida hapo ni ALLAH wala hauna tatizo lingine zaidi ya ALLAH
"How can you be sure of something you don't see and never have" hii ndio point yako ya msingi
Ok
"Look over there it's dark and you don't see the men,but with your goggles you see them"
"So,if you don't see the men,it doesn't mean they're not there, it means it's dark and you have no goggles"
Sasa wewe na najisi zako hizo,harufu ya NGURUWE,harufu ya pombe harufu ya uzinzi tena harufu ya Choo ulitaka umuone MWENYEZIMUNGU
STUPID
Element nzito ni kama zipi ? Na usawa wa joto kwenye ulimwengu umesema ni sawa katika mwelekeo wote ( yani unatumika kama ushahidi ) How ? Naomba ufafanuziKupitia nadharia za Ki sayansi kama Big Bang ambazo Zina ushahidi wa kisayansi
- Uenezi wa ulimwengu: Ulimwengu unapanuka, na ushahidi wa hii umepatikana kwa uchunguzi wa red shift ya nyota na galaksi.
- Usawa wa joto wa ulimwengu: Joto la ulimwengu ni sawa katika mwelekeo wote, na hii inaweza kuelezewa na nadharia ya Big Bang.
- Uundaji wa elementi nzito: Elementi nzito ziliundwa katika ulimwengu wa mapema, na hii inaweza kuelezewa na nadharia ya Big Bang
looh salaaleh..!Mnyiramba wakwanza wa hovyo sana.
Hujui kitu na huna akili hata moja
Huamini kuhusu Mungu ila unaamini uchawi bogus wewe
"barua ya Paulo" dahh.. Ila we jamaa weweHivi mkuu unajua kweli hata hiyo Bibilia kaiandika nani?
Ukianza kutoa mistari hapa utaanza kunukuu barua ya Paulo kwa Wagalatia na utahalalisha ni “maneno ya Mungu” wakati ni barua ya Paulo
Imani bila kutumia akili nayo ni ujinga kama ujinga mwingine
Utamuonaje na wewe una harufu ya Choo??Sasa na wewe “mtakatifu” si tupe hizo “goggles” tumuone huyo Allah ili tujue yupo
Au kama vipi washa kabisa taa tuone
Element nzito ni kama zipi ? Na usawa wa joto kwenye ulimwengu umesema ni sawa katika mwelekeo wote ( yani unatumika kama ushahidi ) How ? Naomba ufafanuzi
Ukimaliza kunijibu naomba unifahamishe huo ushahidi kwa kupitia picha au clip ambao hautaniacha na shaka yoyote
Element nzito ni kama zipi ? Na usawa wa joto kwenye ulimwengu umesema ni sawa katika mwelekeo wote ( yani unatumika kama ushahidi ) How ? Naomba ufafanuzi
Ukimaliza kunijibu naomba unifahamishe huo ushahidi kwa kupitia picha au clip ambao hautaniacha na shaka yoyote
What a crap ideaView attachment 2764129
[emoji115][emoji115] Picha hii inaonyesha ulimwengu unavyopanuka kutoka kwa nukta moja ya moto sana na yenye msongamano mkubwa. Kadiri ulimwengu unavyopanuka, joto lake linapungua na msongamano wake hupungua. Hii inaruhusu chembe za msingi kuunda, na hatimaye atomi za hidrojeni na heliamu.
Picha hii ni mfano tu, wa ulimwengu halisi.
Mlipuko wa supernova
Mlipuko wa supernova hutokea mwishoni mwa maisha ya nyota kubwa. Nyota kubwa hutumia akiba yake ya hidrojeni na heliamu kwa kasi zaidi kuliko nyota ndogo. Wakati akiba ya nyota kubwa inapoisha, huanza kuunganisha atomi za heliamu kuwa elementi nzito zaidi. Hii hutoa nishati nyingi, ambayo husababisha nyota kupasuka kwa ghafla.
.
BIG BANG THEORY: THE GREATEST BLUNDER IN HUMAN HISTORYNadharia ya Big Bang inaeleza kwamba ulimwengu ulianza kama kiasi kidogo cha nishati yenye joto kali sana. Kadiri ulimwengu ulivyopanuka na baridi, nishati ilibadilika na kuwa chembe za msingi, ambazo ziliungana kuwa atomi za hidrojeni na heliamu.
Elementi nzito zaidi ya hidrojeni na heliamu ziliundwa baadaye katika historia ya ulimwengu. Hii ilitokea katika michakato miwili kuu:
* Uundaji wa nyota:
Nyota hutengenezwa kutoka kwa wingu la gesi na vumbi. Kadiri nyota inavyowaka, huunda nishati kwa kuunganisha atomi za hidrojeni kuwa atomi za heliamu. Hii hutoa joto na shinikizo kubwa katikati ya nyota, ambalo husababisha kuunganishwa kwa atomi za heliamu kuwa elementi nzito zaidi, kama vile carbon, oxygen, na silicon.
* Mlipuko wa supernova:
Mlipuko wa supernova hutokea mwishoni mwa maisha ya nyota kubwa. Wakati nyota inapokufa, hupasuka kwa ghafla, na kusababisha kutolewa kwa nishati kubwa na chembe za msingi. Hii inaweza kusababisha kuunganishwa kwa atomi nzito zaidi, kama vile chuma, dhahabu, na risasi.
Uundaji wa elementi nzito ni muhimu kwa ulimwengu wetu. Elementi hizi hutengeneza sayari, nyota, na galaksi. Pia ni muhimu kwa maisha, kwani hutengeneza viumbe hai.
Hapa kuna maelezo zaidi kuhusu kila moja ya michakato hii:
Uundaji wa nyota
Nyota hutengenezwa kutoka kwa wingu la gesi na vumbi. Kadiri wingu linavyoanguka kwa uzito wake mwenyewe, linaanza joto. Wakati joto linapofika kiwango fulani, mmenyuko wa nyuklia huanza. Katika mmenyuko wa nyuklia, atomi za hidrojeni huunganishwa kuwa atomi za heliamu. Hii hutoa nishati nyingi, ambayo husababisha nyota kung'aa.
Kadiri nyota inavyozeeka, inatumia akiba yake ya hidrojeni. Wakati akiba ya hidrojeni inapoisha, nyota huanza kuunganisha atomi za heliamu kuwa elementi nzito zaidi. Hii hutoa nishati kidogo kuliko mmenyuko wa nyuklia wa hidrojeni, kwa hivyo nyota huanza kupoa.
Mlipuko wa supernova
Mlipuko wa supernova hutokea mwishoni mwa maisha ya nyota kubwa. Nyota kubwa hutumia akiba yake ya hidrojeni na heliamu kwa kasi zaidi kuliko nyota ndogo. Wakati akiba ya nyota kubwa inapoisha, huanza kuunganisha atomi za heliamu kuwa elementi nzito zaidi. Hii hutoa nishati nyingi, ambayo husababisha nyota kupasuka kwa ghafla.
Mlipuko wa supernova hutoa kipimo kikubwa cha nishati na chembe za msingi. Hii inaweza kusababisha kuunganishwa kwa Atomi nzito zaidi, kama vile Chuma, Dhahabu, na Risasi.
Mlipuko wa supernova ni muhimu kwa ulimwengu wetu kwa sababu husaidia kueneza elementi nzito. Elementi hizi hutawanywa katika nafasi, ambapo zinaweza kutumika kutengeneza sayari, nyota, na galaksi mpya.
Hizi tafiti ndizo zitakazo tupeleka kupata majibu ya maswali yetuBIG BANG THEORY: THE GREATEST BLUNDER IN HUMAN HISTORY
Wanachofurahisha zaidi ni pale wanapodai kwamba SUPERNOVA ndo chanzo cha maisha "uhai" [emoji23]