Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Nna wasi wasi na afya yako ya akili, Nmeshakueleza wazi pamoja na yule mwenzako, Jifunze meditation then mje mlete mrejesho hapa kuwa ile hali anayopitia mtu wakati wa meditation ni nini,

Unajibu bra bra

Sasa hivi unataka mimi ndio nikupe maelekezo tena na wakati maelekezo nmeshakupa kuwa ukafanye kwa vitendo, nmesema ukafanye kwa vitendo kwakua mna vichwa vigumu vya kuelewa maelezo ya bila vitendo...
Gautama alikuja na meditation baada ya kugundua Kuwa binadamu ni discontent....kwa kifupi ni kwamba sapien ni kiumbe kisichotosheka na mojawapo ya sababu ni kuwa na sifa ya fiction kwenye akili yake......Moja kwa moja inaonekana wewe meditation haijakusaidia, bado unasumbuliwa na illusion, meditation is all about facing reality
 
Gautama alikuja na meditation baada ya kugundua Kuwa binadamu ni discontent....kwa kifupi ni kwamba sapien ni kiumbe kisichotosheka na mojawapo ya sababu ni kuwa na sifa ya fiction kwenye akili yake......Moja kwa moja inaonekana wewe meditation haijakusaidia, bado unasumbuliwa na illusion, meditation is all about facing reality
Ha ha ha ha! Doh!

Unayo mengi ya kujifunza, Bado upo kwenye kiza kinene.

Labda nkuulize swali, Nliposema "Hali anayopitia mtu wakati wa meditation" ulielewa nini ? Au neno " Hali" kwenye meditation ulielewa nini ?
 
Ha ha ha ha! Doh!

Unayo mengi ya kujifunza, Bado upo kwenye kiza kinene.

Labda nkuulize swali, Nliposema "Hali anayopitia mtu wakati wa meditation" ulielewa nini ? Au neno " Hali" kwenye meditation ulielewa nini ?
Wewe ni mjinga....jitahidi tuu usiwe mpumbavu...
 
Hata nikikwambia huwezi kunielewa mkuu. Ndo maana nikaona nimshukuru huyo ambaye wewe unamwita carpenter.

Kwanini kumuelewa Mungu iwe ngumu kiasi hicho mkuu ukizingatia kuna moto wa milele kuchoma wote wasio elewa?
Huyu Mungu amefanya hivi makusudi ili apate kututia kibiriti?

Kwanini kumjua Mungu isiwe rahisi kama njaa, kwamba ukisikia njaa hata mtoto mdogo anajua chakula ndio dawa yake
 
Kwanini kumuelewa Mungu iwe ngumu kiasi hicho mkuu ukizingatia kuna moto wa milele kuchoma wote wasio elewa?
Huyu Mungu amefanya hivi makusudi ili apate kututia kibiriti?

Kwanini kumjua Mungu isiwe rahisi kama njaa, kwamba ukisikia njaa hata mtoto mdogo anajua chakula ndio dawa yake
Yes, huenda kumuelewa Mungu jinsi anavofanya maamuzi yake ni vigumu, lakini kuelewa uwepo wake ni simple with no single doubt.

YEYE ndiye aliyeweka mfuko wa uzazi kwenye tumbo la Mwanamke, lakini hajaweka mfuko huo kwenye tumbo la Mwanaume.

YEYE ndiyo aliye unda codes kwenye viumbe(RNA&DNA), codes ambazo mathematicaly zinaunda idadi ya vidole na idadi ya mbawa kwenye viumbe hai., Idadi ya mapafu, Idadi ya macho, Idadi ya figo,... Na kadhalika.


Nadhani mtu anahitaji kuwa humble na atumie akili yake Ili kujua uwepo wa Designer of all beauties of this Universe,good&bad, sweet & bitter, Ups&Downs,..


Ahsante.
 
Yes, huenda kumuelewa Mungu jinsi anavofanya maamuzi yake ni vigumu, lakini kuelewa uwepo wake ni simple with no single doubt.

YEYE ndiye aliyeweka mfuko wa uzazi kwenye tumbo la Mwanamke, lakini hajaweka mfuko huo kwenye tumbo la Mwanaume.

YEYE ndiyo aliye unda codes kwenye viumbe(RNA&DNA), codes ambazo mathematicaly zinaunda idadi ya vidole na idadi ya mbawa kwenye viumbe hai., Idadi ya mapafu, Idadi ya macho, Idadi ya figo,... Na kadhalika.


Nadhani mtu anahitaji kuwa humble na atumie akili yake Ili kujua uwepo wa Designer of all beauties of this Universe,good&bad, sweet & bitter, Ups&Downs,..


Ahsante.

Mkuu huko umekwenda mbali sana kusema Mungu kafanya hivi bila uthibitisho

Kuna miungu zaidi ya mamilioni na kila mtu anaamini mungu wa imani yake ndio kaumba na kufanya hayo unayosema

Dini imefika mahali imekua ni matokea ya historia jiografia wazazi na malezi...... hivi ndio vitu vinaamua kwa kiasi kikubwa mtu awe anaamini dini gani

Yaani ungezaliwa Iran na wazazi wa shia kwa 95% ungekuwa muislam wa kishia
Nahakika dini unayo iamini hujaichagua ukubwani bali akili yako imelishwa imani hiyo toka huna akili mtoto hadi leo hii unaiamini

Inawezekana wewe ni Muislam na unaona dini yako ndio sahihi lakini jiulize wale wachina B1.5 waislam ni asilimia 1.7 tu wengine wote wanaabudu miungu kutokana na wazazi mahali wanatoka na tamaduni
Sasa kwanini huyu mungu anakua mgumu namna hii kujulikana na kusababisha mabilioni hayo ya watu kwenda kuchomwa moto milele ?

Yaani kule china ndani ndani vijijini watu wanasikia tu kunadini inaitwa uislam au ukristo au uyahudi kwasababu maisha yao hayana nafasi hiyo
Yaani ni kama wewe ambavyo hujui kabisa kama ubudha upoje upoje
 
Kama babu wa babu yako yupo hadi leo mnakula naye ugali, basi endelea kufanya hizo kufuru zako. Labda unaona tu mama yako alivyopigwa yale mabao ilitosha wewe uzaliwe pasipo mapenzi ya Mungu unayemuongelea vibaya hapa. Tubu haraka we bwege kabla hujafa ukutane naye
 
Kama babu wa babu yako yupo hadi leo mnakula naye ugali, basi endelea kufanya hizo kufuru zako. Labda unaona tu mama yako alivyopigwa yale mabao ilitosha wewe uzaliwe pasipo mapenzi ya Mungu unayemuongelea vibaya hapa. Tubu haraka we bwege kabla hujafa ukutane naye

Acha uoga dogo
Hivyo vitisho vyenu ndio vinawafanya muamini visivyokuwepo
 
Mkuu huko umekwenda mbali sana kusema Mungu kafanya hivi bila uthibitisho

Kuna miungu zaidi ya mamilioni na kila mtu anaamini mungu wa imani yake ndio kaumba na kufanya hayo unayosema

Dini imefika mahali imekua ni matokea ya historia jiografia wazazi na malezi...... hivi ndio vitu vinaamua kwa kiasi kikubwa mtu awe anaamini dini gani

Yaani ungezaliwa Iran na wazazi wa shia kwa 95% ungekuwa muislam wa kishia
Nahakika dini unayo iamini hujaichagua ukubwani bali akili yako imelishwa imani hiyo toka huna akili mtoto hadi leo hii unaiamini

Inawezekana wewe ni Muislam na unaona dini yako ndio sahihi lakini jiulize wale wachina B1.5 waislam ni asilimia 1.7 tu wengine wote wanaabudu miungu kutokana na wazazi mahali wanatoka na tamaduni
Sasa kwanini huyu mungu anakua mgumu namna hii kujulikana na kusababisha mabilioni hayo ya watu kwenda kuchomwa moto milele ?

Yaani kule china ndani ndani vijijini watu wanasikia tu kunadini inaitwa uislam au ukristo au uyahudi kwasababu maisha yao hayana nafasi hiyo
Yaani ni kama wewe ambavyo hujui kabisa kama ubudha upoje upoje
Mkuu, unasema kuna miungu zaidi ya mamilioni, lakini Je hao miungu milioni unaosema ni miungu kweli?!

Yani kwa mfano wewe tukikuita Mungu wetu, utakua Mungu kweli? Au Mungu wa Mchongo? Tukikupa kazi ya kuumba kiumbe japo kidogo mfano wa Inzi au Kipepeo, utaweza? Bila shaka jibu ni hapana.

Mungu ni yule aliye initiate physical laws na Designs ambapo sisi wenyewe ni miongoni mwa designs hizo na bila shaka hata wewe ni shuhuda wa hilo,...

Lakini pia kuhusu suala la watu kwenda kuchomwa moto milele,... Jambo moja ambalo Designer ameliahidi specifically toka kwenye Qur'an ni kwamba "HAKUNA ATAKAEDHULUMIWA HATA MMOJA" hakuna atakaenda motoni kwa kuonewa.

As per the Holy Qur'an.. Allah is the most Just Judge (Hakuna mbora wa kuhukumu na muadilifu kama yeye), hivyo basi ondoa shaka kuhusu wachina na wengineo uliowataja maana hakuna atakaeonewa, atasamehe msamaha mkubwa kwa wanaostahiki na ataadhibu wanaostahiki kama alivyoahidi mwenyewe kwenye Holy texts.
 
Uwoga wa nguchiro ni sawa na uoga wako ? Hasira za Mbwa ni sawa na hasira zako ? Wivu wa nyegere ni sawa na wivu wako ?

Sasa vipi Allah awe na sifa hizo halafu zifanane na za mwanadamu ? Allah hafanani na kiumbe chochote katika sifa zake, sifa zake ni kamili.

Sasa usimlinganishe Allah na mwanadamu, Allah ana Mikono miwili yote ipo upande wa kulia, lakini Mikono yake haifanani na chochote. Hata birika Lina mkono kijana, je mkono wa birika ni sawa na mkono wako ?

Sasa ukijadili mambo ya elimu jadili kielimu.

Nasubiri unipe ushahidi wa kuwa Jua haliombo ruhusa, jua halisujudu.

Sasa Allah anahitaji kuwa na mikono ya nini yani? Yani Allah muweza wa yote mikono Ina umuhimu gani kwake. Ukisema ana mikono mana yake ana miguu pia, kichwa, kiuno. Na kiuno hakiwi kiuno bila makalio pia.
Oyaa acha ujinga wako hizi zote ni sifa za kiumbe hata kama hiko kiumbe sio mtu[emoji107]
 
Back
Top Bottom