Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uwoga wa nguchiro ni sawa na uoga wako ? Hasira za Mbwa ni sawa na hasira zako ? Wivu wa nyegere ni sawa na wivu wako ?

Sasa vipi Allah awe na sifa hizo halafu zifanane na za mwanadamu ? Allah hafanani na kiumbe chochote katika sifa zake, sifa zake ni kamili.

Sasa usimlinganishe Allah na mwanadamu, Allah ana Mikono miwili yote ipo upande wa kulia, lakini Mikono yake haifanani na chochote. Hata birika Lina mkono kijana, je mkono wa birika ni sawa na mkono wako ?

Sasa ukijadili mambo ya elimu jadili kielimu.

Nasubiri unipe ushahidi wa kuwa Jua haliombo ruhusa, jua halisujudu.
🤣We ni mtoto siwezi bishana na wewe kila mtu kakuambia hatupo kwenye "my book says so"
 
🤣We ni mtoto siwezi bishana na wewe kila mtu kakuambia hatupo kwenye "my book says so"
Sasa wewe unatakiwa ukosoe hicho nilicho kiandika ili uwe mkweli, Sasa unasema ni uongo na unashindwa kujibu hoja, Sasa mtoto nani ?

Yaani unakusha jambo ambalo huna elimu nalo, huu ni uchizi.
 
Sasa ukijadili mambo ya elimu jadili kielimu.

Nasubiri unipe ushahidi wa kuwa Jua haliombo ruhusa, jua halisujudu.
Mpaka radi inasujudu embu mueleze huyo

Koran 93;13. Na radi inamtakasa Allah kwa kumhimidi, na Malaika pia, kwa kumkhofu. Naye hupeleka mapigo ya radi yakampata amtakaye.......................
 
Sasa wewe unatakiwa ukosoe hicho nilicho kiandika ili uwe mkweli, Sasa unasema ni uongo na unashindwa kujibu hoja, Sasa mtoto nani ?

Yaani unakusha jambo ambalo huna elimu nalo, huu ni uchizi.
Mi nasema biblia ya ukweli .. mwingine aseme uhindu wa ukweli hatuwezi fika
 
Sasa ukijadili mambo ya elimu jadili kielimu.

Nasubiri unipe ushahidi wa kuwa Jua haliombo ruhusa, jua halisujudu.
Waislamu kufeli mashuleni , mngeanzia apa, elimu ya Allah inaenda kinyume kabisa na elimu ya darasani

Mtoto lazima achanganyikiwe asijue Cha kujibu

Fikiri mtoto anaulizwa aelezee solar system!?!
 
Yupi asa Kuna miungu mingi na kila dini inampa Mungu wake sifa ya uumbaji
Akishahusika na uwepo wangu aihitaji mapanga, marungu au makombora kumfikia, automatic nguvu zinasafiri kwa zaidi ya speed ya mwanga kumfikia yeye ambae ni zaidi ya majina.
 
Acheni kumkufuru Mungu jamani
Jamaa ni Tomaso anataka uthibitisho wa uwepo wa MUNGU.

Anahoji uhalisia wake.

Usimtishe mkuu mpe muongozo. Ajidhihirishe MUNGU yupo.

IMANI zetu zisitufanye kuwa wajinga.

Tunapopata mashaka tunahitaji majibu sio vitisho.

Moja ya swali alilouliza jamaa "iweje MUNGU amuumbe shetani ikiwa tango mwango alikuwa hiki kiumbe nachokiumba kitakuwa OVU na kunifarakanisha na viumbe wangu wengine wote."

Na achilia mbali why kwanini hakukifutilia mbali Ili kisiendeze UASI wake kwa viumbe wengine. Maana kina nguvu ya ushawishi.

Mi pia Nina maswali mengi sana lakini naamini MUNGU yupo simpo like why kama unaamini uchawi basi jua opposing force ya uchawi.

Kwa scientific newton law of motion ya 3 Ile "for every action there is an equal and opposite reaction"
 
Uthibitisho wa kwanza Mungu yupo ni wa kiasilia wala hakuna haja ya kupiga kelele.

Ipo hivi ,jamii zetu kihistoria hata uende kwa wahadzabe wanaoishi porini kuna kitu wanaabudu ambacho ni imagery yaani kinabaki kama imani ya moyoni ,wanaweza kuabudu hata mti kwa sababu mambo yanayotokea dunia hakuna kiumbe hai (anayeonekana anaratibu hayo mambo) kama magonjw ,vifo ,ulemavu ,watu kuzaliwa na jinsia tofuati & watu kuzaliwa na kasoro....Mfumo mzima wa maisha ya binadamu hakua ajuaje kesho ina maana akili ya binadamu hata yule primitive kabisa kama mnavyosoma alikuwa anaabudu kitu ambacho kipo kweny ulimwengu wa kiroho.



Binadamu wa zamani walikuwa na upeo mkubwa sana wa mambo ndio maana waliweza kuabudu hata miti na mizimu kwa sababu walijua binadamu halisi hana achojua kuhusu kesho yake ,kama laiti angejue angekuwa mtu wa kuhairisha mambo (procrastinating ) ...Nina maana gani kama mtu leo anajua anaenda kupata ajali basi asingeenda hiyo safari wala kupanda hiko kipando (gari, pikipiki,baiskeli)


Maisha ya binadamu ni fumbo hata yule Hawking na kejele zote ila kaishia kuwa zombie(paralyzed) hajielewi yaani yeye pia na akili zote hajui kesho yake ,je kapenda kuwa vile wakati alihangaika kujibu ikashindikana mpaka kama kama zombie mpaka umauti unamfika..

Wanakuja wazungu na wanasayansi nguli[emoji3578][emoji3578]
Mapema kabisa wanadamu anapoanza kufanya ugunduzi anakujw kugundua kila kinatokea katika "muunganiko wa hatua na force zinawezesha hilo jambo kufanyika" finally wanakuja kukubali kila kitu kinaendeshwa na "mechanism" ina maana kutokea kwa kila kitu kuna sababu...

Mbegu lazima ipande kweny ardhi kama sio lazima labda maabara basi lazima ipate mwanga na oxygen ,mtoto lazima patokee muingiliano wazazi kama ni surrogance lazimq mbegu za wazazi zikutane ...
Ina maana hata utengenezaji wa vitu dunia mpaka ndege na magari ,wataalum walitumbia formular ya mechanism na kufanya kitu fulani kifanye hivi kama ni gari itembee ,kama mashine izalishe .

Je ulimwengu huu hauna mechanism?[emoji3578] Na kama zipo je ni nn kipo chum ya mechanism hzi zinazoleta usiku na mchana ,kuzama kwa jua,kupata majria mbalimbali ya mwaka...kama mvua hutokana na miti mbona jangwani inayesha japo kwa uchache ..


Kuna binadamu anapenda kuzaa mtoto chizi ? Kuna binadamu anapenda kufeli mitihani yake ya kimasomo ? Kwa nn wengine wapo vizuri darsani na wengine la basi tuseme ni genetic zq ukoo na familia ila ipo familia ina vipanga na bado kuna mwamba anakuja kulamba zero kutoka familia hiyo hiyo.

What if kama binadamu wasingekuwa tofauti yaani wote wapo sawa ni wazima(hamna mgonjwa) ,wote wana pesa, wote weupe ,wote jinsia moja .
..

Ni kwamba tusingekuwa na mfumo wa kiutawala kwanza baina yetu na pia isingekuwa dunia hii tunaoishi.
Na jamaa anauliza kwanini iwe hivi Sasa kama ilivyo(Dunia)

Binadamu wanateseka, watoto wachanga wanumwa saratani bila hatia wamemkosea Nini MUNGU ingekuwa watu wazima tusengesema wanalipia Dhambi zao na mabaya.

Sasa mtoto Wa mwezi mmoja anaumwa saratani katobolewa mishipa Kila kona Yuko kwenge life support. Kiumbe huyu ni MUNGU kaumbwa nae. Jamaa anauliza alimuumba aje ateseke. Alimleta Dunia kuja kuteseka. Jamaa ana hoji upendo wa MUNGU kwa Hawa watoto uko wapi!?

Jamaa anataka majibu why Mungu mwenye uweza wa yote awape tabu viumbe wake wakati anao uwezo wa kufutilia mbali tabu na shida zote.

Jamaa anataka MUNGU ajidhihirishe mwenyewe kwa watu ndio wa muamini sio kwa hadithi za vitabu!?

Unaweza mpa maelezo jamaa na wengine tukafaidikia pia!!
 
Kwahiyo Mungu baba muumba wa vyote unamlinganisha na baba yangu labda alikua mtu wa tungi anatembeza bakora tu hataka kama huna kosa?

Makosa kafanya Adam na hawa iweje tuadhibiwe dunia nzima?
Tena yeye mwenyewe ndio kamtupia huyo nyoka aliyeshindwana naye na nyoka huyo akaapa kwa Mungu kuwa atapotosha binaadamu

Huyu Mungu alitarajia nini sasa wakati kamuumba Adam na Hawa akawapa udhaifu wa kupotoka na akampa shetani uwezo wa kupotosha halafu walipo potoshwa eti akakasirika na akawalaani wao na vizazi vyao vyote
Huyu ndio Mungu anatupenda kweli?
Kuna swali pia Mimi napenda kujua.

Adamu na HAWA Waliwazaa KAINI na ABEL

KAINI akamuua ABEL kwa wivu.

Baadae Adamu na Hawa wakamzaa Seth KAINI Na Seth walioa na kuzaliana.

Swali "Hao waliolewa na KAINI na ABEL walitokea Wapi!?

Bibilia haitoi majibu ya hili swali

Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa binadamu wa kwanza kuumbwa wakwe zao yaani wake za watoto wao KAINI na Seth walitokea Wapi!?

Basi tufanye tunajijibu hivi walizaa na dada zao yaani mabinti wa KAINI na ABEL. (Incest)

Hapo hapo biblia Inakuambia incest ni LAANA na dhambi how comes!?

Kuna mambo hayana logic kabisa tunamezeshwa tu hivyo hivyo ukihoji unaambiwa unakufuru.

KICHWA KINAUMA.
 
Waislamu kufeli mashuleni , mngeanzia apa, elimu ya Allah inaenda kinyume kabisa na elimu ya darasani

Mtoto lazima achanganyikiwe asijue Cha kujibu

Fikiri mtoto anaulizwa aelezee solar system!?!
Nenda kasome vizuri kwanza kabla sijakukosoa.
 
Kuna swali pia Mimi napenda kujua.

Adamu na HAWA Waliwazaa KAINI na ABEL

KAINI akamuua ABEL kwa wivu.

Baadae Adamu na Hawa wakamzaa Seth KAINI Na Seth walioa na kuzaliana.

Swali "Hao waliolewa na KAINI na ABEL walitokea Wapi!?

Bibilia haitoi majibu ya hili swali

Ikiwa Adamu na Hawa walikuwa binadamu wa kwanza kuumbwa wakwe zao yaani wake za watoto wao KAINI na Seth walitokea Wapi!?

Basi tufanye tunajijibu hivi walizaa na dada zao yaani mabinti wa KAINI na ABEL. (Incest)

Hapo hapo biblia Inakuambia incest ni LAANA na dhambi how comes!?

Kuna mambo hayana logic kabisa tunamezeshwa tu hivyo hivyo ukihoji unaambiwa unakufuru.

KICHWA KINAUMA.

Hapo Incest haikwepeki

Ama waliwazagamua dada zao kama walikuwepo au walimzagamua mama yao
Na wakaendele kuzagamuana ndugu kwa ndugu

Hizi hekaya hazina mantiki kabisa
 
Back
Top Bottom