Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Hakuna MUNGU......wanaoamini yupo ni wajinga na endapo watakataa kuelimishwa watakuwa wapumbavù.....nadharia ya uwepo wa Mungu ni subjective reality ambayo ni matokeo ya hisia hisia na fikra zetù...
 
Hakuna MUNGU......wanaoamini yupo ni wajinga na endapo watakataa kuelimishwa watakuwa wapumbavù.....nadharia ya uwepo wa Mungu ni subjective reality ambayo ni matokeo ya hisia hisia na fikra zetù...
Tumia lugha yepesi ili tuelimishane
 
What was before that?
kwa leo kwanza tuishie hapa
from planck's constant
e=hf
from einstein theory of general relativity
e=mc^2
kupitia hapo unaelewa kuwa mass is direct proportional to frequency(clock)
tukisema turudi nyuma kuitafuta singularity mass itakuwa ni ndogo to infinty kiasi cha kwamba kutakuwa hakuna muda..................kwasababu hakukuwepo na frequency
kwakifupi ni kwamba there was no before na ni kwasababu there was no space-time

kuelewa zaidi ukipata muda pita youtube utakutana na podcast ya lex fridman na roger penrose(nobel prize winner physicist) alielezea hii issue
kama nilielewa vibaya my bad but there is personal God maybe a mysterious one ambaye kwa namna anavyofanya operation zake neither I nor you understands...(yuval noah harari plus richard dawkins)
 
Hapo tu umenigusa!
 
God does not play dice.....reconsider anthropic pricinciple too....YOU KNOW WHAT?! THREE DIMENSIONAL SPACE SPEAKS ALOT...Truth is quite difficult for one to reveal...Time is seen fictious kwasababu asilimia kubwa ya tunachowaza sio kinachotendeka....mysterious God greets you fella....
 
What we have is laws of nature not a personal God...that one is dead.....,seek for your purpose and create your own God when you are at peace...stories are mostly not real because they are imagineable.....without taking with your mind a causal effect....we've got lots of mistakes from ones reality perception...Remember as we keep awareness around our uderstanding leads us towards intelligent life....think from first principle
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…