So where did atoms come from?Kulikuwa na msongamano wa Atomi zote za uliwengu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
So where did atoms come from?Kulikuwa na msongamano wa Atomi zote za uliwengu
SingularitySo where did atoms come from?
Jazia nyama ili ueleweke na jamiiSingularity
Tumia lugha yepesi ili tuelimishaneHakuna MUNGU......wanaoamini yupo ni wajinga na endapo watakataa kuelimishwa watakuwa wapumbavù.....nadharia ya uwepo wa Mungu ni subjective reality ambayo ni matokeo ya hisia hisia na fikra zetù...
Hawezi kujibu hiliMkuu hivyo ulivyo vitaja vina uhusiano gani na Mungu?
What was before that?Singularity
Where did singularity come from?Singularity
What was the causality?Singularity
Mkuu tafiti bado Zina enedeleaWhere did singularity come from?
kwa leo kwanza tuishie hapaWhat was before that?
Hapo tu umenigusa!Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi
Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa
This is the biggest scam ever
Rothschild's familyMungu gani?