Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Countries with Highest Rape Rates​

1. Botswana – 96.87
2. Lesotho – 89.29
3. Grenada – 88.87
4. Sweden – 87.97
5. Eswatini – 82.73
6. South Africa – 70.22
7. Saint Kitts and Nevis – 56.4
8. Panama – 53.98
9. Iceland – 46.3
10. Suriname – 43.3

😂😂😂U used one metric rape...hivi unajua rape ni Nini...Saudi Arabia mtoto wa miaka 11 akilazimishwa kuolewa na Mme wa miaka 50 sio rape....Ila west sijui ukimshika demu paja ni rape...so unabidi uelewe definition ya rape ni Nini katika hizo nchi....😂kingine Kama rape ndo kipimo Cha social welfare sawa
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever


Uongo mkubwa ni huu wa mungu ampe mimba mama yake halafu azaliwe , atahiriwe kijibamia chake na binadamu , acheze mdako na watoto wenzake, anyonye ziwa la mamayake , asafishwe mavi yake kwa kutiwa vidole kule makalioni , ale chakula , aingie chooni , akamatwe na mwanafunzi wake kichakani akiwa na chupi kaiweka begani, apelekwe mahakamani, vijana walmlishe mtama karibu na kujikojolea , bado kuna watu wanamwita ni mungu
 
Mimi naupendelea usanii wa Yesu zaidi.Hao wengine siwafahamu.

Mkuu usanii mwingi wa Yesu wamekuja kumtungia baada miaka mingi baada ya yeye mwenyewe kufa

Mfano Yesu mwenyewe hajua hata kama kuna dini inaitwa ukristo ina mapadiri na masista makatekista na wachungaji maana yeye alikua Myahudi na alikufa kama myahudi na akazikwa kama myahudi

Yesu hajui hata kama yeye ni “Mungu” ni akina Yohana luka matao paulo na mabaraza kadhaa ya mapapa ndio waliompachika huo uungu kwenye maandiko yao

Mudi naye alikua na sanaa zake
 
Kwa lengo la kuweka kumbukumbu ya kudumu. The biggest scam in the world

Ugawiaji wa Bandari Tanzania.
 
Kinachosikitisha zaidi

Hao Waliotuletea hizi dini ndo hao hao

1.walowatesa Babu zetu kwa vipigo Kisha kuwauza utumwani Kama bidhaa[emoji26]

2. wanaosema sisi waafrika chimbuko letu Ni nyani

Waafrika ukimwibia mtu ndizi wakati ule , akakukamata , anakupeleka sokoni ukauzwe , siku hizi mtu anakupiga bakora au kukutesa.

Ingalikuiwa waafrika walikamatwa kwa nguvu na kwenda kuuzwa , asingalibaki hata mwafrika mmoja.

 
Mkuu usanii mwingi wa Yesu wamekuja kumtungia baada miaka mingi baada ya yeye mwenyewe kufa

Mfano Yesu mwenyewe hajua hata kama kuna dini inaitwa ukristo ina mapadiri na masista makatekista na wachungaji maana yeye alikua Myahudi na alikufa kama myahudi na akazikwa kama myahudi

Yesu hajui hata kama yeye ni “Mungu” ni akina Yohana luka matao paulo na mabaraza kadhaa ya mapapa ndio waliompachika huo uungu kwenye maandiko yao

Mudi naye alikua na sanaa zake

Tupe ushahidi wa kuwepo yesu nje ya biblia
 
Dunia hii imepitia uongo/utapeli/propaganda kubwa sana na zikapita lakini uongo pekee ulio dumu kwa muda mrefu ni huu

Hebu fikiri unaambiwa kuna MUNGU muweza wa yote yupo sahihi na hajawahi kukosea

Ameumba dunia kwaajili yetu na ataiangamiza dunia kwaajili yetu
Alijua ataiangamiza dunia kabla hata hajaiumba lakini aliiumba hivyo hivyo ili aje kuiangamiza,
Ameumba moto wa jehanamu kwakuwa ametuumba tukosee ili atuchome moto japo alikua na UWEZO wakutuumba tusiwe wakosefu ili atuumbie Pepo tu tukale bata

Anajua tunacho hitaji lakini lazima tumuombe ili atupe, lakini hata tukimuomba hatupi tunavyo taka sisi maana tayari amekwisha tupangia kila mtu atampa nini, ataishije na atakufaje

Ndio muumba wa kila kitu(magonjwa, bangi, majini, ulabu nk) na anaweza kudhibiti chochote lakini anamlaumu msaidizi wake muasi(Shetani) kuleta mambo hayo mabaya duniani(magonjwa nk) kwa watu wake aliyewaumba wakati yeye ndiye aliye mtupa msaidizi wake huyo huku duniani
Yaani yeye kashindwana naye huko mbinguni kaja kumtupa kwetu sisi viumbe dhaifu tupambane naye na tukishindwa tutachomwa moto milele, lakini anasisitiza anatupenda sana kama mtu anavyopenda na kujali mboni ya jicho lake

Hebu tafakari hili, kawaumba Adam na Hawa na wakati bado wageni duniani akawatupia Nyoka(Shetani) ili awarubuni, na kwa ugeni wao wakarubunika matokeo yake katupa adhabu ya shuruba watu wote hata ambao tulikua hatupo na hata ambao hawajazaliwa chamoto watakiona...... Not fair

Mungu muweza wa yote hayupo WAZI PASI NA SHAKA kwa watu wote kujua huyu ndio MUNGU badala yake Mungu ndio amekua sehemu kubwa ya mgawanyiko wa watu na kusababisha kuwa na imani za MIUNGU zaidi ya milioni dunia nzima
Na kibaya zaidi unatakiwa to blindly believe him, usihoji wala kuwa na shaka juu ya uwepo wake(ni laana na kufuru) vinginevyo moto wa milele unakuhusu

Yaani kuna Fundi Kapenta mmoja huko Galilaya eti kafa kwaajili ya dhambi za watu wote duniani.... seriously [emoji15]?
Akaitwa Mungu lakini Mungu huyu akajaribiwa na shetani[emoji15]
Fundi kampenta huyu hakuandika kitabu chochote ila wahuni walio kuwa wanampinga ndio wakaja kuandika vitabu kuhusu fundi huyu na vinaitwa “Bibilia Neno la Mungu takatifu”
Mabilioni ya watu dunia kote wanakesha makanisani wakimlilia na kumuomba awape uponyaji, mali, waume/wake nk

Hebu fikiria huko Arabia kuna Maamuma mmoja hajui kusoma wala kuandika alidai anashushiwa maagizo na Mungu kukata vichwa watu wote watakao pinga na kutokutii maagizo yake, “akashushiwa” aya za vitisho na neema kwa watakao tii, yaani ukifa unampigania Mungu unakwenda kupewa mbikra 72 kazi yako ni kuzagamua tu [emoji23][emoji23][emoji23]
Mabilioni ya watu duniani wanasujudu mara 5 kwa siku na kushinda njaa mwezi kila mwaka ili wakale naye bata Peponi

Kwamba maisha yako hapa duniani ni ya mpito tu maisha yako yapo baada ya kufa
Unachotakiwa kufanya ni kumuamini na kufanya aliyoa agiza ili ukale bata sana baada ya kufa

This is the biggest scam ever
In imaginary way we are insignificant pearl in infinity palm of our lord , he has left us to find out our own purpose of life, the greatest meaning of our existence

In either way either we choose to believe in his mighty or not it will not change the fact that God exists

Choose wise.
 
Kwa lengo la kuweka kumbukumbu ya kudumu. The biggest scam in the world

Ugawiaji wa Bandari Tanzania.
Hivi imegaiwa au imeuzwa ,

The bigest scam ni uvamizi wa Zanzibar uliopewa jina la Muungano
 
Hivi imegaiwa au imeuzwa ,

The bigest scam ni uvamizi wa Zanzibar uliopewa jina la Muungano
Imegawiwa
Ni Waarabu coco peke yao ndio walio na fikra kama hizo zako😂😂😂
Wavamizi wa Zanzibar ni wajomba zako?
 
Mkuu usanii mwingi wa Yesu wamekuja kumtungia baada miaka mingi baada ya yeye mwenyewe kufa

Mfano Yesu mwenyewe hajua hata kama kuna dini inaitwa ukristo ina mapadiri na masista makatekista na wachungaji maana yeye alikua Myahudi na alikufa kama myahudi na akazikwa kama myahudi

Yesu hajui hata kama yeye ni “Mungu” ni akina Yohana luka matao paulo na mabaraza kadhaa ya mapapa ndio waliompachika huo uungu kwenye maandiko yao

Mudi naye alikua na sanaa zake
Mbona umeandika machache sana?Hata hivyo,nimesoma na kuendelea na ninaloliamini mpaka aje yeye mwenyewe akanushe.
 
Maalim.

M.Mungu kamuumba mwanadamu na kampa manual. Kazi ya manual ni nini (Quran).

Tofauti na vitabu vilivyochezewa unavyosema Mungu kaleta vitabu ili vikuongoze kwenda Mbinguni....... laa, na muislam hapaswi kuwa na fikra hizo.

Lengo la kuletelewa hii manual ni hii MMungu takuletea manual kutoka mbinguni hapa duniani ili tuishi maisha ya peponi hapa duniani.

Na maisha ya peponi hayana hizo mbambamba,

Sasa kwanini wanadamu wanaishi kwa mateso, visasi, kuumizana.

Jibu ni kwasababu tumeacha kutumia manual sahihi.
Na badala yake tunatumia manual za kibinadamu.

Na hivyo tunajiadhibu wenyewe hapa duniani.

Kwahiyo kama hivi Morocco inaonekana walizidi sana dhambi Allah akaamua kuwaadhibu na tetemeko?
Kwamba wale watoto wachanga pale hospitali ya kansa Muhimbili wamemkosea sana Mungu kwa kutofuata manual ya Allah?
 
Tupe ushahidi wa kuwepo yesu nje ya biblia

Hakuna

Tatizo ni kwamba hizo habari za Yesu hajaziandika yesu

Lakini pia pamoja habari hizo kuandikiwa bado hakuna mahali kumeandikwa pasi na shaka kwamba Yesu alisema YEYE NI MUNGU
Wala hakuna mahali kwenye hayo maandiko alioandikiwa yesu alisema amekuja kuleta dini mpya inaitwa ukristo
 
Uwepo wa ulimwengu unakupa ishara gani ? Kwamba je ulimwengu umetokewa pasi na chochote au Ulimwengu umejiumba ? Kama una sifa hizo mbili, thibitisha.

Kanuni inasema uwepo wa kitu fulani huonyesha uwepo wa kitu kingine.

Kwahiyo kuna mungu wasioisha (infinity) nyuma ya Mungu aliyeumba kila kitu?
 
Naomba uonyeshe uwezekano wa kuwepo Dunia ambayo Haina Mungu ?

Tupe sababu tano tu, kwa kuanzia.
😂Muulize na nanasi linakuwaje tamu bila Mungu ..na mkuksi unakuwaje mnato...😂maana ndo maswali yenu yanapoelekea asa sijui mnataka mjibiwaje
 
Swali la msingi, umejuaje kama hayupo ?

Shida yenu wakana Mungu huwa mnaona jukumu la uthibitisho lipo kwa wale wanao kiri, wakati kiuhalisia nyinyi ndio mnatakiwa muanze kuthibitisha ya kuwa umejuaje kama Mungu hayupo ?

Na utuambie kitu ambacho hakipo kina sifa gani ? Na je kitu ambacho hakipo na hakijawahi kuwepo umekidiriki vipi kama hakipo ?

Msikimbie hili swali la msingi.
Skia, mi Ninakuambia Nina mpira mzuri...kitu Cha kwanza utaniambia nikuonyeshe...nikianza kusema hoo unajua, wewe inabidi uprove Sina, unajuaje Sina mpira blah blah nyingi...si utanipotezea na kuniona kichaa...same as u ..tunavyokuona
 
Uwepo wa ulimwengu unakupa ishara gani ? Kwamba je ulimwengu umetokewa pasi na chochote au Ulimwengu umejiumba ? Kama una sifa hizo mbili, thibitisha.

Kanuni inasema uwepo wa kitu fulani huonyesha uwepo wa kitu kingine.
Huyo Mungu kajiumba?
 
mpuuzi ni wewe usiyeamini uwepo wa Mungu. Heri uamini yupo ili hata ukimkosa isiwe na sababu za kuhukumiwa kwenda kuunguzwa moto wa milele jehanamu
🤣🤣🤣Asa ukifika unakuta Zeus ndo Mungu na ana hasira umeamini miungu mingine isiyo yeye utafanyaje?
 
mpuuzi ni wewe usiyeamini uwepo wa Mungu. Heri uamini yupo ili hata ukimkosa isiwe na sababu za kuhukumiwa kwenda kuunguzwa moto wa milele jehanamu
Kumbe mna amini Mungu kwa kubeti.

Kwamba ni Mungu wa bahati nasibu.

Anaweza awepo ama Asiwepo...😄😄
 
Back
Top Bottom