Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Kutokuabudu na kuabudu ni matokeo, kwahiyo ukiona mtu anaabudu huyo amefanya hivyo kwa hiari yake na asiye abudu ni kwa hiari yake.

Ila ukaambiwa lengo la wewe kuumbwa ni kumiabudu yeye, kwahiyo ni hiari yako kuchagua lipi ni lipi, na ukiabudu ukaambiwa utalipwa pepo na usipo abudu utalipwa moto.

Sababu ametaka yote yatokee, kwa ajili ya kuwatahini waja wake, kuwaadhibu ili walifikie lile lengo la wao kuumbwa kwao.
Tatzo lililokumba Nchi zetu ni hili.

Watu wamejitengenezea purpose ya maisha hapa duniani.

Yaani mtu anaishi akijua duniani yuko kwa hisani ya Mungu (asiyepo) ,

Mtu anaridhika na umaskini akiamini yeye ni tajiri wa rohoni (roho isiyopo)

Mtu maisha yake yote yanatekwa na dini.
Kwa bahati mbaya dini ikikukaa vzuri na ukahisi umefikia level ya uMungu, hapo psychology yako inakuwa totally corrupted.

Hey African, hatuko duniani ili kusubiri kuinuliwa.

Ukweli mchungu ni kwamba we are nothing.
 
Usimgeuzie kibao bwana Loftins ... Huyo anaye amini uchawi afu amwamini Mungu ndo athibitishe anaaminije uchawi afu Mungu amwamini?

By the way, you are atheist.... From my experience, seems like atheist suffers mental problems... They are always rude... Wakisikia tu neno YESU KRISTO WA NAZARETH AU MUNGU ALIYE HAI... wanakuwa kama wamepagawa vile.....

Mtu yoyote mwenye akili timamu kama haamini kuna Mungu basi ujue pia haamini kama kuna Shetani, majini, roho, uchawi na vitu vyote vya kufikirika vya aina hiyo
 
Dunia imeonyesha wala wema sio wale wenye kufanya wema wakitegemea malipo ya peponi. Wema ni wale hawaamini uwepo wa pepo ya mbinguni ila wanafanya wema. Mtenda wema kwa kuogopa mungu ni mnafiki tu ila mtenda wema kwa kuamini ubinadamu tu ndio mwema.
Kama mtu anatenda mema kwa hofu ya Mungu tu, vipi ikija akathibitisha nayeye, au dini zikaamua kuacha na kutangaza kuwa Mungu hayupo!?

Wema hauna uhusiano na mambo ya Mungu

We respect humanity.
 
Nimesoma maoni yako vzr rafiki yangu ...lakini kumbuka mambo mabaya yanayotupata msabibishi si mungu ...

Mungu anapenda watu wamwabudu kwa hiari yaani kwa kupenda ,alikuwa na uwezo kutuumba tuwe ka roboti ili kwamba tufanye atakacho yeye lakini yeye ametupa uhuru wa kuchagua tumtii au tusimtii

Pia mungu hakumuumba shetani ,aliumba malaika wakamilifu huko mbinguni ila malaika mmoja alitumia uhuru wake vibaya ,kwakutamani kuabudiwa awe ka mungu ndo huyo malaika mwovu anaitwa Shetani

Na matokeo yake huyo shetani alipinga enzi ya mungu kutawala akamwasi Mungu.Akaja duniani akanzisha uasi kwa wanadamu wasitii maagizo ya mungu.

Kumbuka pia mungu alimwambia mwanadamu matokeo yangekuwa nini ikiwa angekosa kutii maagizo hayo

Kwa hiyo Mungu ameacha muda upite kuthibitisha ikiwa wanadamu bila mungu wanaweza kujitegemea wenyewe? Mungu sio mtawala wa ulimwengu huu anayeoongoza ni shetani

Hivyo mambo yoote mabaya tunayopata sasa ni matokeo ya utawala wa shetani ..suluhisho ya matatizo haya ni kusubiri utawala wa mungu uje tena unaoitwa Ufame wa mungu ..


Kwa maongezi zaidi 0624009037/0717382740

Huyu Shetani si katuletea Mungu ili aje kutupotosha na kutuletea majanga

Yaani anatupiga na matetemeko, maradhi vita u masikini tukiwa duniani

Halafu anatusababishia tukachomwe moto milele

Huyu Mungu ni katili sana kwetu
 
Wengi wamefikiria
Huyu Shetani si katuletea Mungu ili aje kutupotosha na kutuletea majanga

Yaani anatupiga na matetemeko, maradhi vita u masikini tukiwa duniani

Halafu anatusababishia tukachomwe moto milele

Huyu Mungu ni katili sana kwetu
Wengi wamefikiri hivo na dini nyingi zinafundisha hivyo kuwa mungu atawachoma kwenye moto wa milele lakn maandiko hayafundishi ivyo baali mungu ataondoa wale wanaoiharibu dunia si kwa moto zaburi 37:11
 
Wwe haujatoa hoja hata moja zaid ya suggestions..

Mungu yupo ndio katuumba na mjuzi wa yote haoa duniani 😂.

Unavyotaka labda watu wawe sawa hilo haliwezekani pangeanza kuwa na jinsiaoja tu ya kiume au kike, kila kitu kina sababu kaweka utofauti wa jinsia ili watu wazaane ...pia kuna majukumu baina ya jinsia


Kawapa watu akili na uwezo ili hawa wawasaidie wengine katika jamii ...

All in all , binadamu wote ni sawa kwa vile watakufa.

Hoja yangu ni kukuomba uproof jibu lako la kuwa kuna Mungu.

Na inaonesha ni kwamba umeshindwa lakini una imani potofu tu.

Wewe unataka nitoe hoja kuhusu nini?
 
Huyu Shetani si katuletea Mungu ili aje kutupotosha na kutuletea majanga

Yaani anatupiga na matetemeko, maradhi vita u masikini tukiwa duniani

Halafu anatusababishia tukachomwe moto milele

Huyu Mungu ni katili sana kwetu
Hapana huu si utawala wa mungu ..mtawala ulimwengu huu ni shetan na mungu kaacha ili athibitishe kuwa utawala wa shetan umeshindwa kuongoza wanadamu ndio maana tunasubiri utawala wake uje
 
Binadamu anapewa mitihani na ameumbwa kuhangaika ...Mpaka elimu yako wewe lazima haoa duniani unapewa elimu ila utapewa mitihani ili kupima uwezo wako .
Inawezekana vipi Mungu mjuzi wa yote atake kutupima?

Unamaanisha hajui matokeo?
 
Mungu ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa na hakuna kinachofanana nae.
Ndg elimu ni pana sana. Kama unataka kumelewa zaidi soma hao Masheikh na Mapadre wamesoma ndugu acha masihara na mambo ya imani.
 
Hoja yangu ni kukuomba uproof jibu lako la kuwa kuna Mungu.

Na inaonesha ni kwamba umeshindwa lakini una imani potofu tu.

Wewe unataka nitoe hoja kuhusu nini?
Uwepo wako wewe hapa duniani ndio unathibisha kama Mungu yupo

Na Ili upate uhakika katika hili nenda ukamulize baba yako shahawa zake zilizokuleta wewe hapa duniani yeye alizipata wapi atakuwambia alitunukiwa na Mungu

Kama atakupa jibu tofauti uje utuambie hapa hizo shahawa baba yako alizinunua katika super market gani?

Maana mbele ya Mungu wewe si chochote ila shahawa za baba yako
 
Mungu ni mmoja hakuzaa wala hakuzaliwa na hakuna kinachofanana nae.
Ndg elimu ni pana sana. Kama unataka kumelewa zaidi soma hao Masheikh na Mapadre wamesoma ndugu acha masihara na mambo ya imani.

Kama Mungu ni mmoja mbona kuna miungu zaidi ya milioni?

Hao mapadri na mashekh wenye wanatofautiana kuhusu mungu
 
Sio kweli kusifu kupo, kufanya kipo, kukemea kupo, kwa ufupi uzembe hautakiwi na kufikiria kitoto kadhalika.

Sio kwamba nahisi, bali ametaka mpaka hii jf iwepo ndio maana ipo na wewe unaandika. Bali anajua hata jani la mti gani limeanguka, kadhalika anajua hata kile ambacho hakipo kingekuwepo kingekuwaje.

Unaposema nadhani unakosea, yaani Mimi nina uhakika usio na shaka kabisa, na sio nadhani.

Unaposema contradictions za wazi ulitakiwa uzionyeshe hizo contradictions za wazi, Sasa unalo sema bila kuzionyesha huu ni upunguani wa hali ya juu.

Kadhalika hizo unazo dai ni Contradictions unaziona wewe sababu ya ujinga wako na kutoyafatilia mambo kiundani na kuyafikiria.
Imani bhana, eti hata Jani la mti likidondoka anajua, hata idadi ya mchanga wa Bahari zote duniani anajua[emoji3][emoji1787][emoji1787]
 
Mpaka nashangaa hili kimetoka wapi ? Nakuuliza swali wapi Allah Amesema amewaumba watu ili awachome ? Jibu kwanza hili swali, sababu nimekuonyesha hilo.

Hata hao ambao sio Waislamu hawachomwi mpaka ujumbe wa haki na kweli uwafikie na endapo watakufa hawakufikiwa ujumbe ipo namna ya wao kuhukumiwa.

Sasa leta hoja yako.

Ambayo ni ipi hiyo namna ya wao kuhukumiwa!?
 
Wapi Qur'aan imesema hivyo ? Jaribu ukiwa unaandika mambo uwe una uhakika nayo.

Mnatupa kazi mara mbili, kwanza kukosoa nukuu zenu na mengine.

Anga imepambwa na nyota, vimondo ndio huwa vinawapiga Mashetani. Sasa unaposema nyota inabidi utuwekee nukuu huko ulipo itoa.
Vimondo vinawapiga mashetani ah kummke[emoji1787][emoji1787] kile Cha mbozi kilimkosa shetani si ndio? Hivi kwani shetani ni kiumbe chenye mwili eeh Tena Cha kupigwa na mawe kama mnavyofanya kule mecca aisee[emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom