Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Uongo mkubwa zaidi kutokea dunia - The biggest scam in the world

Kwa kifupi, ndiyo. Supernova ni tukio muhimu katika malezi ya uhai katika ulimwengu. Wakati nyota inapokufa, hupuka katika mlipuko wa nguvu kubwa. Mlipuko huu hutoa kiasi kikubwa cha nyenzo kwenye nafasi, ikiwa ni pamoja na chuma na vipengele vingine muhimu kwa maisha.

Chuma ni muhimu kwa ajili ya malezi ya molekuli za protini, ambazo ni sehemu muhimu ya maisha. Vipengele vingine vinavyotolewa na supernova, kama vile hidrojeni na heliamu, pia ni muhimu kwa maisha.

Mlipuko wa supernova pia husaidia kuunda nebulae, ambazo ni mawingu ya gesi na vumbi ambayo yanaundwa na nyenzo kutoka kwa nyota iliyokufa. Nebulae ni mahali ambapo nyota mpya huzaliwa, na nyota hizi mpya zinaweza kutoa mwanga na joto muhimu kwa maisha.

Kwa hivyo, supernova ni muhimu kwa ajili ya malezi ya uhai kwa sababu hutoa nyenzo muhimu kwa maisha na husaidia kuunda nebulae ambazo ni mahali ambapo nyota mpya huzaliwa.

Hapa kuna baadhi ya njia maalum ambazo supernova zinaweza kusaidia kuunda uhai:

* Chuma hutolewa na supernova hutumiwa kuunda molekuli za protini, ambazo ni sehemu muhimu ya maisha.

* Vipengele vingine vinavyotolewa na supernova, kama vile hidrojeni na heliamu, pia ni muhimu kwa maisha.

* *Mlipuko wa supernova husaidia kuunda nebulae, ambazo ni mahali ambapo nyota mpya huzaliwa.
*
* Nyota mpya zinaweza kutoa mwanga na joto muhimu kwa maisha.

Summary: ASILI YA UHAI NI NYOTA

WanaJF mpo?

[emoji4]
 
Nadharia ya Big Bang inaeleza kwamba ulimwengu ulianza kama kiasi kidogo cha nishati yenye joto kali sana. Kadiri ulimwengu ulivyopanuka na baridi, nishati ilibadilika na kuwa chembe za msingi, ambazo ziliungana kuwa atomi za hidrojeni na heliamu.
.

Unapoandika msongamano bila shaka unamaanisha DENSITY, ndivyo?
 
Usawa wa joto wa ulimwengu unamaanisha kwamba joto la ulimwengu ni sawa katika mwelekeo wote. Hii ni kwa sababu ulimwengu ulikuwa na joto sawa mwanzoni mwa Big Bang. Kadiri ulimwengu ulivyopanuka, joto lilipungua sawasawa katika mwelekeo wote.

Usawa wa joto wa ulimwengu unaweza kupimwa kwa kutumia vifaa vinavyoitwa thermocouples. Thermocouples ni vifaa vinavyobadilisha tofauti ya joto kuwa umeme. Kwa kupima tofauti ya voltage katika thermocouples, wanasayansi wanaweza kuamua joto la ulimwengu katika sehemu tofauti.

Uchunguzi umeonyesha kwamba joto la ulimwengu ni sawa katika mwelekeo wote. Hii inaunga mkono nadharia ya Big Bang, ambayo inaeleza kwamba ulimwengu ulianza na joto sawa.

Hapa kuna maelezo zaidi kuhusu jinsi usawa wa joto wa ulimwengu unavyoweza kuelezewa na nadharia ya Big Bang:

Katika sekunde chache za kwanza baada ya Big Bang, ulimwengu ulikuwa na joto la juu sana, takriban bilioni 10 ya digrii Celsius.

Joto hili lilikuwa juu sana kwamba chembe za msingi ziliunganishwa pamoja na kuunda atomi za hidrojeni na heliamu.

Kadri ulimwengu ulivyopanuka, joto lilipungua. Hata hivyo, joto lilipungua sawasawa katika mwelekeo wote, kwa hivyo usawa wa joto wa ulimwengu ulibaki.

Leo, joto la ulimwengu ni karibu nyuzi joto -270. Hii ni bado joto la juu sana, na linaendelea kupungua.
Ndio shida ya kucopy maelezo google na kuyaleta hapa badala ya kujibu kwa uelewa wako...Bado nna maswali mengi zaidi

Wewe hauna ushahidi wa unachoita mwanzo wa ulimwengu ( Big bang ) zaidi ni kuwa umeamua "kuamini" hayo maandishi ya kugoogle au elimu ya kukalirishwa na kutumia kama ndio ufahamu wako kuhusu chanzo cha ulimwengu.
 
View attachment 2764129

[emoji115][emoji115] Picha hii inaonyesha ulimwengu unavyopanuka kutoka kwa nukta moja ya moto sana na yenye msongamano mkubwa. Kadiri ulimwengu unavyopanuka, joto lake linapungua na msongamano wake hupungua. Hii inaruhusu chembe za msingi kuunda, na hatimaye atomi za hidrojeni na heliamu.

Picha hii ni mfano tu, wa ulimwengu halisi.



Unapoandika msongamano bila shaka unamaanisha DENSITY, ndivyo?

If so, unafahamu kwamba DENSITY ni compatibility of MATERIALS, na materials ni MATTER, na kwenye maada -> SPACE

QUESTION: Unaweza kutuelezea materials yaliyosongamana kabla ya mlipuko kutokea yalitokana na nini? na kuwepo kwa space chanzo chake kilikuwa ni nini?
 
Ndio shida ya kucopy maelezo google na kuyaleta hapa badala ya kujibu kwa uelewa wako...Bado nna maswali mengi zaidi

Wewe hauna ushahidi wa unachoita mwanzo wa ulimwengu ( Big bang ) zaidi ni kuwa umeamua "kuamini" hayo maandishi ya kugoogle au elimu ya kukalirishwa na kutumia kama ndio ufahamu wako kuhusu chanzo cha ulimwengu.
Watu ambao kila kitu kwao huwa wanauliza, wameweza kugundua , quarks, anti matter, dark matter, etc,, na bado wanaendelea na uchunguzi.

Science technology imemtoa mwanadamu kwenye kuishi Kwa dhana, Bali Sasa mambo mengi amefanya solutions zenye mashiko kiutendaji.

Kumbukeni tulivyo ambiwa Joshua alimuomba mungu asimamishe jua, nalo likasimama, dunia ndio inalozunguka jua, jua Lina zama kwenye matope na asubuhi linaomba ruhusa lieendelee na safari.

Leo hii kwa akili zenu mnaona science ikiwatoa kwenye ujinga, na uongo mliokuwa mkidangwanywa , SEMA muna amua kujizima data kukumbatia Dini zenye maudhui ya uongo na upumbavu mwingi.

Binadamu anaye tumia hisia katika kufanya Kazi zake badala ya kuchanganua kwenye ubongo, Uyo ni kama mnyama anaye fugwa.

Kwa juhudi zinazo fanywa na wasomi mbalimbali duniani huenda siku za usoni tukapata suluhisho letu.
 
If so, unafahamu kwamba DENSITY ni compatibility of MATERIALS, na materials ni MATTER, na kwenye maada -> SPACE

QUESTION
: Unaweza kutuelezea materials yaliyosongamana kabla ya mlipuko kutokea yalitokana na nini? na kuwepo kwa space chanzo chake kilikuwa ni nini?
Kulikuwa na msongamano wa Atomi zote za uliwengu
 
If so, unafahamu kwamba DENSITY ni compatibility of MATERIALS, na materials ni MATTER, na kwenye maada -> SPACE

QUESTION
: Unaweza kutuelezea materials yaliyosongamana kabla ya mlipuko kutokea yalitokana na nini? na kuwepo kwa space chanzo chake kilikuwa ni nini?

Hizo ni THEORY tu know one know for sure
Lakini theories hizi zimeleta mapinduzi makubwa sana ya maendeleo ya binadamu na kutoa majibu yaliokuwa hayajibiki

It’s quite astonishing to me that religionists ask atheists questions about topics that have nothing to do with religion.
Who do you get your medical diagnoses from? Kwa fundi mchundo?

Sayansi kama haina majibu inatengeneza theories kulingana na sampuli zilizopatikana kwenye tafiti

So unaposikia Binadamu alikua nyani ni kwamba hawajui for sure laki kulingana na mabaki ya mifupa ya binadamu wa kale ndio wakatengeneza hiyo theory........ Unless uwe hujui maana ya theory

Mmekazana kuuliza maswali ya kisayansi ili yakikosa majibu iwe ndio ushahidi wa uwepo wa Mungu?
Binadamu hajui kila kitu na hii haimaanishi ndio kuna Mungu
 
Tatizo tunaingiza Imani za kibubusa kwenye maswala yenye ushahidi.

Elimu ya Bongo pia inaharibu wanafunzi,
Una Kuta teacher ni mfia dini anashindwa kueelezea mambo ya kisayansi akiohifia atakufuru Imani ya Yake .

Ndio maana western na far east waliamua kupiga chini hizi Dini za mashariki ya kati
 
Tatizo tunaingiza Imani za kibubusa kwenye maswala yenye ushahidi.

Elimu ya Bongo pia inaharibu wanafunzi,
Una Kuta teacher ni mfia dini anashindwa kueelezea mambo ya kisayansi akiohifia atakufuru Imani ya Yake .

Ndio maana western na far east waliamua kupiga chini hizi Dini za mashariki ya kati
Western ipi ambayo walipiga dini chini !??
 
Tatizo litakua hiyo mantiki umeitoa wapi?

Fundi Kapenta hakuandika kitabu chochote
Wala hakuna mahali popote “Mungu” aliagiza wakina Luka Matayo Paulo kuandika “Maneno yake matakatifu”

Sasa wewe utaanza kunukuu “Maneno ya Mungu” kutoka kwenye Injili ambayo hata fundi kampenta mwenyewe haijui

Fundi Kapenta alikua Jew na alikufa na kuzikwa kama Jew hajui hata kama kuna dini inaitwa Ukristo ina padiri na makatekista na masista na wainjilisti kama sio wachungaji
Nafurahi umeg'amua na kuonesha kukubali kuhusiana na fundi kapenta. Wewe umewezaje kujua kuwa fundi kapenta aliwahi kuwepo? Habari za fundi huyo ziliandikwa na nani hata umeg'amua na kuamini kuwa aliwahi kuwepo?

Inanitosha kuamini kuwa Mungu yupo kupitia maandiko ambayo ndimo humohumo wewe umeweza kuamini kuwa fundi kapenta aliandikwa. Namatukio mbalimbali aliyoyafanya huyo fundi kapenta ambaye hujakana kutokuwahi kuwepo, ni pamoja na ufundi kapenta na haikuishia kufanya kazi hiyo moja tu bali alihubiri habari njema za wokovu na hata kupelekea kifo chake.
MY TAKE;
Kama umeamini kitabu kilichomtambilisha huyo fundi kuwa alikuwa ni carpenter why unakomaza shingo kutokutaka kuamini na kazi alizozifanya ikiwemo kujitambulisha kwa walioandika kuwa alitumwa na Baba yetu aliye Mbinguni Muweza wa yote?
 
Watu ambao kila kitu kwao huwa wanauliza, wameweza kugundua , quarks, anti matter, dark matter, etc,, na bado wanaendelea na uchunguzi.

Science technology imemtoa mwanadamu kwenye kuishi Kwa dhana, Bali Sasa mambo mengi amefanya solutions zenye mashiko kiutendaji.

Kumbukeni tulivyo ambiwa Joshua alimuomba mungu asimamishe jua, nalo likasimama, dunia ndio inalozunguka jua, jua Lina zama kwenye matope na asubuhi linaomba ruhusa lieendelee na safari.

Leo hii kwa akili zenu mnaona science ikiwatoa kwenye ujinga, na uongo mliokuwa mkidangwanywa , SEMA muna amua kujizima data kukumbatia Dini zenye maudhui ya uongo na upumbavu mwingi.

Binadamu anaye tumia hisia katika kufanya Kazi zake badala ya kuchanganua kwenye ubongo, Uyo ni kama mnyama anaye fugwa.

Kwa juhudi zinazo fanywa na wasomi mbalimbali duniani huenda siku za usoni tukapata suluhisho letu.

Mkuu umeandika vyema sana.... people refuse to think when it came about God

Naamini miaka inavyokwenda binadamu wanazidi kuamka kwenye usingizi mzito wa “Mungu”

Dini zitaendelea kuwepo tu kwasababu zinaanzia kwenye root kabisa.... mtoto akizaliwa tu anakuwa forced kuamini Mungu, anakua brainwashed deep na wazazi viongozi wa dini na jamii wakati hana uwezo wa maamuzi ya kuchagua na kuamua
Matokeo yake ndio pale unaposema hakuna Mungu watu watakavyo ng’aka na kukuona UMEKUFURU vibaya sana kama sio kuchanganyikiwa

Lakini pia people don’t like things they don’t understand They’re okay with fantasies that give them a way out..... utasikia “mipango ya Mungu” “ Mungu ata/amefanya” “Mungu anajua” na ndio unaona watu wana Kesha makanisani kuomba wapate mume, kazi, nyumba, nk

Fear of death.......ni ngumu binadamu kukubali kuna siku maisha yake yatakwisha..... God helps them to feel like they will continue to live after death , kuna watu wanasahau hata kuishi maisha yao hapa duniani wapo busy kujiandalia maisha ya kwenda kula bata la milele kwa Mungu

There’s a lot of money involved too, angalia jinsi Maaskofu mitume na manabii wanavyopiga hela zisizo na kodi

Some People can no longer afford to waste their time hoping invisible Gods will help them out or do them a favour and grand them good life after death, instead they spend that time trying to help themselves and enjoy life
 
Nafurahi umeg'amua na kuonesha kukubali kuhusiana na fundi kapenta. Wewe umewezaje kujua kuwa fundi kapenta aliwahi kuwepo? Habari za fundi huyo ziliandikwa na nani hata umeg'amua na kuamini kuwa aliwahi kuwepo?

Inanitosha kuamini kuwa Mungu yupo kupitia maandiko ambayo ndimo humohumo wewe umeweza kuamini kuwa fundi kapenta aliandikwa. Namatukio mbalimbali aliyoyafanya huyo fundi kapenta ambaye hujakana kutokuwahi kuwepo, ni pamoja na ufundi kapenta na haikuishia kufanya kazi hiyo moja tu bali alihubiri habari njema za wokovu na hata kupelekea kifo chake.
MY TAKE;
Kama umeamini kitabu kilichomtambilisha huyo fundi kuwa alikuwa ni carpenter why unakomaza shingo kutokutaka kuamini na kazi alizozifanya ikiwemo kujitambulisha kwa walioandika kuwa alitumwa na Baba yetu aliye Mbinguni Muweza wa yote?

Mkuu tatizo sio uwepo wa fundi kapenta na maandiko kumuhusu yeye..... tatizo ni ukweli kuhusu fundi kapenta na maandiko yake

Dunia hii kuna zaidi ya watu mamilioni waliodai wametumwa na mungu na wakaandika vitabu au kuandikiwa vitabu kuhusu wao

Tatizo la wafia dini ni kwamba mme “refuse to think” kuhusu uwepo wa mungu
Yaani mmeamua kuamini tu..... PERIOD
 
Kama mlisha wahi kusikia Neno kufikiri nje ya Box,
Basi ni kuondokana na fikra zote za uongo na za kipumbavu.

Na kuutumia ubongo wako kuchanganua taarifa kutokana na mazingira , ndipo utakapoaza kuujua ukweli wa mambo

Cos mambo yalivyo AU kuyaona AU kusikia, Sio kama yalivyo so unatakiwa ujiulize ni kwanini hiki kitu kimitokea,Kiko hivi , kimetokea vile ,, etc,,,

Sio kila kitu ukiambia basi wewe unanyanyuka nacho,

👆 Hata hii taarifa unatakiwa ujiulize Kwa nn nimeiandika
 
Kama mlisha wahi kusikia Neno kufikiri nje ya Box,
Basi ni kuondokana na fikra zote za uongo na za kipumbavu.

Na kuutumia ubongo wako kuchanganua taarifa kutokana na mazingira , ndipo utakapoaza kuujua ukweli wa mambo

Cos mambo yalivyo AU kuyaona AU kusikia, Sio kama yalivyo so unatakiwa ujiulize ni kwanini hiki kitu kimitokea,Kiko hivi , kimetokea vile ,, etc,,,

Sio kila kitu ukiambia basi wewe unanyanyuka nacho,

[emoji115] Hata hii taarifa unatakiwa ujiulize Kwa nn nimeiandika

Siku mmoja nilikua natoka Dar nakwenda Tanga kwenye harusi ya mdogo wangu
Nikapanda Basi la Simba mtoto

Basi mlendani ukaanza mjadala ukahamia kwa mungu
Jamaa mmoja akasema kuna watu hawaamini mungu yupo
Mi nikasema hata mimi siamini..... aiseee zilipigwa astaghfirullah karibu na basi zima, Nikaonekana kama nimechanganyikiwa vile [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjadala ukaanza...... yaani arguments zao zote zipo around Quran au Bibilia tu....... they don’t use even a every simple commonsense ( wamefungia fikra zao ndani ya vitabu tu)

Ilikua ni VITISHO tu vilitawala na mifano mibaya iliowapata watu waliohoji au kupinga uwepo wa mungu
Just imagine mmoja akasema “si ulisikia yalio mpata Kingunge alikua haamini mungu matokeo yake mbwa wake mwenyewe akamuua” [emoji23][emoji23]

Angalau humu Jf na sehemu zenye wasomi wanaweza kujibu kiujanja ujanja kumficha Mungu, mle ndani ya basi Hadithi zilikua nani kakupa pumzi? Nani analeta mvua, unaringia afya aliyokupa mola nk nk
Baada ya hapo ni vitisho vya moto wa milele na kupatwa na baya
Nilikua nimekaa na mlokole mmoja kakazana kweli kunifungulia Bibilia na vifungu, alipo nichosha nikwambia hiyo ni barua ya paulo kwa wakolosai sio MANENO ya Mungu....... alibaki mdomo wazi akanitumbulia macho akaamua kukaa kimya( nadhani alikua ananifanyia maombi)[emoji23]

Hadi tunafika Tanga hakuna hata mmoja aliweza walau kutoa ushahidi wa uwepo wa mungu zaidi ya vifungu vya quran hadith na bibilia
 
Ger

Mkuu unapenda ligi kinoma,
Kwan hujaona church za ulaya zikibadilishwa kuwa hotel , AU maeneo ya makumbusho Kwa kukosa waumini
Sio napenda ligi mkuu, Lazima nihoji

Neno kupiga chini dini maana yake hakuna dini kabisa huko

Ina maana unataka nikubaliane na hii hoja mzee ?
 
Sio napenda ligi mkuu, Lazima nihoji

Neno kupiga chini dini maana yake hakuna dini kabisa huko

Ina maana unataka nikubaliane na hii hoja mzee ?
Apo nimekuelewa Mzee,

Western na far east Dini zipo , Ila kuanzia ngazi za family mpaka gavo, Dini hazijapewa kipaumbele kwenye shughuli zao za maendeleo .

Wao kikubwa ni mtoto apate elimu safi na maarifa Bora
 
Siku mmoja nilikua natoka Dar nakwenda Tanga kwenye harusi ya mdogo wangu
Nikapanda Basi la Simba mtoto

Basi mlendani ukaanza mjadala ukahamia kwa mungu
Jamaa mmoja akasema kuna watu hawaamini mungu yupo
Mi nikasema hata mimi siamini..... aiseee zilipigwa astaghfirullah karibu na basi zima, Nikaonekana kama nimechanganyikiwa vile [emoji23][emoji23][emoji23]

Mjadala ukaanza...... yaani arguments zao zote zipo around Quran au Bibilia tu....... they don’t use even a every simple commonsense ( wamefungia fikra zao ndani ya vitabu tu)

Ilikua ni VITISHO tu vilitawala na mifano mibaya iliowapata watu waliohoji au kupinga uwepo wa mungu
Just imagine mmoja akasema “si ulisikia yalio mpata Kingunge alikua haamini mungu matokeo yake mbwa wake mwenyewe akamuua” [emoji23][emoji23]

Angalau humu Jf na sehemu zenye wasomi wanaweza kujibu kiujanja ujanja kumficha Mungu, mle ndani ya basi Hadithi zilikua nani kakupa pumzi? Nani analeta mvua, unaringia afya aliyokupa mola nk nk
Baada ya hapo ni vitisho vya moto wa milele na kupatwa na baya
Nilikua nimekaa na mlokole mmoja kakazana kweli kunifungulia Bibilia na vifungu, alipo nichosha nikwambia hiyo ni barua ya paulo kwa wakolosai sio MANENO ya Mungu....... alibaki mdomo wazi akanitumbulia macho akaamua kukaa kimya( nadhani alikua ananifanyia maombi)[emoji23]

Hadi tunafika Tanga hakuna hata mmoja aliweza walau kutoa ushahidi wa uwepo wa mungu zaidi ya vifungu vya quran hadith na bibilia

Daa Pole mkuu , hakuna aliyekutishia Maasha Kweli😂.

Kutoka nje ya Box, kutumia jicho la 3 sijui, Haya yote ni kuzunguka mbuyu . Tu


Ishu APA ni kutoa fikra potovu nakuanza kutumia ubongo kubaini kila kitu kinachotokea, kujua chanzo vya kila kitu katika mazingira.

Ukiweza Ku control mazingira Kwa kupitia ubongo wako, basi utaweza Ku control mazingira na vinavyokuzunguka, including people.

Zaidi ya hapo wewe ndio utakuwa kondoo wa bwana, utaongozwa na wanosoma mazingira
 
Back
Top Bottom