Niliposikia hili swala nilistaajabu sana ya kwamba Bw.Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Kibera (Slum ya Nairobi) alishawahi kuwa Waziri wa Nyumba huko Kenya na bado hakuweza kuwapatia watu wa Jimbo lake la Kibera/Slum makazi bora iweje leo hii Mtu huyo huyo anasema kwamba anataka kutawala Kenya na kwamba atakuwa Raisi (Raila) bora wa Kenya, ni kwa nini Wakenya hawamuulizi kama Kibera ilimshinda atawezaje Kenya yote?
Niliposikia hili swala nilistaajabu sana ya kwamba Bw.Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Kibera (Slum ya Nairobi) alishawahi kuwa Waziri wa Nyumba huko Kenya na bado hakuweza kuwapatia watu wa Jimbo lake la Kibera/Slum makazi bora iweje leo hii Mtu huyo huyo anasema kwamba anataka kutawala Kenya na kwamba atakuwa Raisi (Raila) bora wa Kenya, ni kwa nini Wakenya hawamuulizi kama Kibera ilimshinda atawezaje Kenya yote?
Niliposikia hili swala nilistaajabu sana ya kwamba Bw.Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Kibera (Slum ya Nairobi) alishawahi kuwa Waziri wa Nyumba huko Kenya na bado hakuweza kuwapatia watu wa Jimbo lake la Kibera/Slum makazi bora iweje leo hii Mtu huyo huyo anasema kwamba anataka kutawala Kenya na kwamba atakuwa Raisi (Raila) bora wa Kenya, ni kwa nini Wakenya hawamuulizi kama Kibera ilimshinda atawezaje Kenya yote?
Mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu. Wewe hapa juzi tu ulitokwa na povu wakati wenzio walimkashifu mgombea wako wa urais Lowassa ambaye pia aliwahi kuwa waziri mkuu Tanzania, na hiyo nchi bado ipo kwenye lindi la umaskini. Sasa iweje leo wewe hapa umekua na ubavu wa kumsuta Raila na kwa lawama kama zile zinazomfuata huyo huyo Lowassa.
Niliposikia hili swala nilistaajabu sana ya kwamba Bw.Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Kibera (Slum ya Nairobi) alishawahi kuwa Waziri wa Nyumba huko Kenya na bado hakuweza kuwapatia watu wa Jimbo lake la Kibera/Slum makazi bora iweje leo hii Mtu huyo huyo anasema kwamba anataka kutawala Kenya na kwamba atakuwa Raisi (Raila) bora wa Kenya, ni kwa nini Wakenya hawamuulizi kama Kibera ilimshinda atawezaje Kenya yote?