Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,817
Niliposikia hili swala nilistaajabu sana ya kwamba Bw.Raila Odinga ambaye aliwahi kuwa Mbunge wa Kibera (Slum ya Nairobi) alishawahi kuwa Waziri wa Nyumba huko Kenya na bado hakuweza kuwapatia watu wa Jimbo lake la Kibera/Slum makazi bora iweje leo hii Mtu huyo huyo anasema kwamba anataka kutawala Kenya na kwamba atakuwa Raisi (Raila) bora wa Kenya, ni kwa nini Wakenya hawamuulizi kama Kibera ilimshinda atawezaje Kenya yote?