fizo talent
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 2,255
- 3,889
Naam wakati tukiwa ktk maombolezo ya ndugu zetu waliopoteza maisha ktk ajali iliyotokea ktk ziwa victoria ikihusisha kivuko cha MV Nyerere.Mungu azilaze roho za marehem mahala pema peponi Aamiin.
Tukija ktk mada wakati tukiwa watoto wadogo hususani ktk kipindi ambacho hujaanza kung'amua mbivu na mbichi huwa una maswali mengi ambayo huwa unayauliza,na maswali yenyewe huwenda yakawa na maana au yasiwe na maana ila majibu unayopewa mengine ni ya ukweli ama mengine ni uongo/chai.
Baadhi ya maswali niliyouliza na nikapewa majibu ambayo baada ya kujitambua nilikuja gundua kua ni chai/uongo wa kutupwa;
swali:mama mimi nimetoka wapi
jibu;umetoka humu(hapo mama anapanua kinywa na kunionesha nilipotokea)
swali:baba shuleni ulikuwa unatoka mtu wa ngapi
jibu;mimi nilikua mwalimu kazi yangu kufundisha(hata taaluma ya ualimu hana[emoji13] [emoji13] [emoji13])
swali;bibi kwa nini huna meno
jibu;meno yangu kachukua kunguru
Nitaongezea kadri nitakavyokumbuka,weka na ww uongo uliokua unapewa au unawapa wanao kutokana na maswali yao
Tukija ktk mada wakati tukiwa watoto wadogo hususani ktk kipindi ambacho hujaanza kung'amua mbivu na mbichi huwa una maswali mengi ambayo huwa unayauliza,na maswali yenyewe huwenda yakawa na maana au yasiwe na maana ila majibu unayopewa mengine ni ya ukweli ama mengine ni uongo/chai.
Baadhi ya maswali niliyouliza na nikapewa majibu ambayo baada ya kujitambua nilikuja gundua kua ni chai/uongo wa kutupwa;
swali:mama mimi nimetoka wapi
jibu;umetoka humu(hapo mama anapanua kinywa na kunionesha nilipotokea)
swali:baba shuleni ulikuwa unatoka mtu wa ngapi
jibu;mimi nilikua mwalimu kazi yangu kufundisha(hata taaluma ya ualimu hana[emoji13] [emoji13] [emoji13])
swali;bibi kwa nini huna meno
jibu;meno yangu kachukua kunguru
Nitaongezea kadri nitakavyokumbuka,weka na ww uongo uliokua unapewa au unawapa wanao kutokana na maswali yao